Tundu Lissu afanya misa ya shukrani Ikungi, Singida. Aahidi kutompitisha mtu kwenye maumivu aliyopitia

Tundu Lissu afanya misa ya shukrani Ikungi, Singida. Aahidi kutompitisha mtu kwenye maumivu aliyopitia

Tatizo lako ni kuangalia TBC na Chanel ten muda wote sasa utajuaje kama aliwahi kufika Ikungi?
Hizo tv stations unazoangalia zenyewe zinakaa kichuki chuki na kichawi chawii ukitaka kutoka kifungoni achana nazo kwanza.
Kupita Ikungi barabarani sio kufika nyumbani kwao huko ndani kwa wanakijiji wenzake.
 
Baada ya kuchukua form alienda na alifanya mkutano mkubwa nyumbani kwao na kesho yake alihudhurìa misa ya asubuhi
 
Wacha upumbavu wako wewe.Hapa yuko wapi? Hujielewi umekalia kupotosha na muongo mkubwa wwView attachment 1568734
Unapokuwa CCM unatakiwa usitumie akili yako.....Unatakiwa ufikiri kwa kutumia tumbo. CCM wamezoea kuzusha, kuiba pesa za nchi na kuiba kura. Nimemsikia Magufuli akiongea upupu leo eti faida ya kiwanja ni Museveni kuja kwake Chato....Kwani Kikwete, Mkapa, Mwinyi, na Nyerere walishindwa kuwaalika marais kwao? Kwani kama Museveni angeshindwa kuja Bukoba au Mwanza na kutua kwenye viwanja hivyo viwili au akaja Dodoma? Akili za CCM ni kama za mwenyekiti wao.
 
Nimehoji kuanzia alipokuja Tanzania.
Nimehoji speech zake.
Nimehoji kabla ya kuondoka kwake.
Usijibu kisanii jombii jibu hoja....
yaani anaahidi mkate nyumba za jirani wakati home kuna uporo wa ugali??
umeona nyomi la mkutano wake huko ifakara?
 
Magu amekuwa kwenye dola na ameshika dola hivyo kuibadilisha Chato ni rahisi sana kwake kuliko Lissu asiye kusanya kodi wala kusimamia matumizi yake kwakuwa hana dola. Uliza Ndugai kafanya nini Kongwa? Mkapa alifanya nini Lupaso na Masasi? Usipoelewa hapo itabidi tukubadilishe jina uitwe Pumbavu lao
Wakati anaomba kura za ubunge miaka hiyo alitoa sababu za kushikwa au kutokushikwa kwa dola??
Kwa hiyo wabunge wenu wote walishindwa kuleta maendeleo sababu ya kutokuwa na dola?
Hivi Singida Mashariki haikuwa na madiwani wa Chadema??
 
Ni jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.

Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.

Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Wewe siyo jingalao tena bali pumbavulao. Lissu alipotoka Dodoma kuchukua form alienda kijijini kwao.
 
umeona nyomi la mkutano wake huko ifakara?
Ifakara kuna daraja la Magufuli kuvuka mto kilombero ambapo miaka nenda rudi walikuwa wanazama na kivuko...Ni John Pombe Magufuli amewafutia shida hiyo iliyowashinda wajerumani....My point is Jembe litakuja huko IFOZA halafu ndio tukuoneshe maana ya nyomi...
 
Ifakara kuna daraja la Magufuli kuvuka mto kilombero ambapo miaka nenda rudi walikuwa wanazama na kivuko...Ni John Pombe Magufuli amewafutia shida hiyo iliyowashinda wajerumani....My point is Jembe litakuja huko IFOZA halafu ndio tukuoneshe maana ya nyomi...
Kodi zetu, ndio zinalipia au kulipia
 
Hakuna mbunge au diwani anayeleta maendeleo katika jimbo au kata yake kwa fedha zake wao ni wawakilishi tu wa wananchi. Hapo Ukonga alikuwepo Matap tap Mwita. Kaleta maendeleo gani? Majimbo mengi yanayo wakilishwa na wabunge na madiwani wa CCM hali ni mbaya kama ilivyo kwa jimbo la Lissu na si makosa yao. Kazi hiyo ni ya serikali ndiyo maana unaona hata kwa Ndugai, Majaliwa nk ni hoi.
Wakati anaomba kura za ubunge miaka hiyo alitoa sababu za kushikwa au kutokushikwa kwa dola??
Kwa hiyo wabunge wenu wote walishindwa kuleta maendeleo sababu ya kutokuwa na dola?
Hivi Singida Mashariki haikuwa na madiwani wa Chadema??
 
Ifakara kuna daraja la Magufuli kuvuka mto kilombero ambapo miaka nenda rudi walikuwa wanazama na kivuko...Ni John Pombe Magufuli amewafutia shida hiyo iliyowashinda wajerumani....My point is Jembe litakuja huko IFOZA halafu ndio tukuoneshe maana ya nyomi...
Ni Kikwete ndiyo alijenga hilo daraja la Kilombero, tunajua na wakati lilipojengwa na nani alilisimamia. Wewe acha sifa za kijinga....Hilo daraja limejengwa wakati mnyapara wa barabara ni waziri wa ujenzi hivyo hakuna input yake binafsi zaidi ya kutumwa na Kikwete na maamuzi ya baraza la mawaziri. Acha ujinga wewe...unataka kumdanganya nani wewe? Tunaijua Ifodha vizuri.
 
Kazi yake ni kuwasilisha mahitaji na chamgamoto za jimbo lake serikalini ambayo ndiyo dola yenyewe na siyo yeye kufanya na hakuna mbunge wa CCM anayeleta maendeleo kwa pesa zake hata Magufuli anatumia za serikali ila kinacho msaidia ana uwezo na nguvu ya kuamua na kuamrisha. Kama hutaelewa basi ni shida!
Wakati anaomba kura za ubunge miaka hiyo alitoa sababu za kushikwa au kutokushikwa kwa dola??
Kwa hiyo wabunge wenu wote walishindwa kuleta maendeleo sababu ya kutokuwa na dola?
Hivi Singida Mashariki haikuwa na madiwani wa Chadema??
 
Back
Top Bottom