Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kupita Ikungi barabarani sio kufika nyumbani kwao huko ndani kwa wanakijiji wenzake.Tatizo lako ni kuangalia TBC na Chanel ten muda wote sasa utajuaje kama aliwahi kufika Ikungi?
Hizo tv stations unazoangalia zenyewe zinakaa kichuki chuki na kichawi chawii ukitaka kutoka kifungoni achana nazo kwanza.
Nenda www.youtube.com, andika Lissu Singida-ikungi halafu uone kitakachotokea...Acha uvivu wa kufikiri wewe. Kila kitu hadi utafuniwe?Alienda lini ??By the way huenda mara ngapi??
Alifika nyumbani kwao na kuongea na waliomchagua, hivi ninyi mmeshaanza kulewa pombe na pesa anazowapa Polepole na huyo Bashiru Mhutu?Kupita Ikungi barabarani sio kufika nyumbani kwao huko ndani kwa wanakijiji wenzake.
Acha kuzunhuka mbuyu ...halafu tena wewe ni mkongwe uliyetohoa jina la mwanaJF bora Field Marshall EMSNenda www.youtube.com, andika Lissu Singida-ikungi halafu uone kitakachotokea...Acha uvivu wa kufikiri wewe. Kila kitu hadi utafuniwe?
Weka uthibisho akiwa nyumbani kwao. Nani analipwa na Polepole, acha dharau kijana.Alifika nyumbani kwao na kuongea na waliomchagua, hivi ninyi mmeshaanza kulewa pombe na pesa anazowapa Polepole na huyo Bashiru Mhutu?
Wewe ni hainiSasa Wanini huyo
mwache Amalizie Kampeni zake Kitakacho mtokea atabakia midomo wazi
ana Jazwa upepo na Vibendera wa Mitandaoni wenye Acc Kumi kumi
Weee unalipwa na polepoleWeka uthibisho akiwa nyumbani kwao. Nani analipwa na Polepole, acha dharau kijana.
Acha habari za kipuuzi.Weee unalipwa na polepole
Wacha upumbavu wako wewe.Hapa yuko wapi? Hujielewi umekalia kupotosha na muongo mkubwa wwView attachment 1568734
Unapokuwa CCM unatakiwa usitumie akili yako.....Unatakiwa ufikiri kwa kutumia tumbo. CCM wamezoea kuzusha, kuiba pesa za nchi na kuiba kura. Nimemsikia Magufuli akiongea upupu leo eti faida ya kiwanja ni Museveni kuja kwake Chato....Kwani Kikwete, Mkapa, Mwinyi, na Nyerere walishindwa kuwaalika marais kwao? Kwani kama Museveni angeshindwa kuja Bukoba au Mwanza na kutua kwenye viwanja hivyo viwili au akaja Dodoma? Akili za CCM ni kama za mwenyekiti wao.
umeona nyomi la mkutano wake huko ifakara?Nimehoji kuanzia alipokuja Tanzania.
Nimehoji speech zake.
Nimehoji kabla ya kuondoka kwake.
Usijibu kisanii jombii jibu hoja....
yaani anaahidi mkate nyumba za jirani wakati home kuna uporo wa ugali??
Wakati anaomba kura za ubunge miaka hiyo alitoa sababu za kushikwa au kutokushikwa kwa dola??Magu amekuwa kwenye dola na ameshika dola hivyo kuibadilisha Chato ni rahisi sana kwake kuliko Lissu asiye kusanya kodi wala kusimamia matumizi yake kwakuwa hana dola. Uliza Ndugai kafanya nini Kongwa? Mkapa alifanya nini Lupaso na Masasi? Usipoelewa hapo itabidi tukubadilishe jina uitwe Pumbavu lao
Wewe siyo jingalao tena bali pumbavulao. Lissu alipotoka Dodoma kuchukua form alienda kijijini kwao.Ni jambo linaloonesha ni namna gani aliyekuwa Mbunge huko Singida Mashariki ndugu Lissu alishindwa kuwathamini wananchi wa huko kwa miaka aliyokuwa Mbunge na hata baada ya kuvuliwa ubunge.
Mbaya zaidi Lissu aliona Dar ndio sehemu muhimu kwake na hata ukifuatilia speech zake huwezi kumsikia akiiongelea lililokuwa jimbo lake.
Mbaya zaidi Lissu hana jambo lolote analoweza kulielezea kama mafanikio aliyopeleka kwa wananchi wa hali ya chini jimboni Singida Mashariki
Angalia kwenye Youtube au google. Ndiyo mnalipwa kwa kuandika propaganda na kubisha kila kitu.Weka uthibisho akiwa nyumbani kwao. Nani analipwa na Polepole, acha dharau kijana.
Ifakara kuna daraja la Magufuli kuvuka mto kilombero ambapo miaka nenda rudi walikuwa wanazama na kivuko...Ni John Pombe Magufuli amewafutia shida hiyo iliyowashinda wajerumani....My point is Jembe litakuja huko IFOZA halafu ndio tukuoneshe maana ya nyomi...umeona nyomi la mkutano wake huko ifakara?
Naona mods wamewaokoa kwa kuunganisha hii thread....Wewe siyo jingalao tena bali pumbavulao. Lissu alipotoka Dodoma kuchukua form alienda kijijini kwao.
Kodi zetu, ndio zinalipia au kulipiaIfakara kuna daraja la Magufuli kuvuka mto kilombero ambapo miaka nenda rudi walikuwa wanazama na kivuko...Ni John Pombe Magufuli amewafutia shida hiyo iliyowashinda wajerumani....My point is Jembe litakuja huko IFOZA halafu ndio tukuoneshe maana ya nyomi...
Wakati anaomba kura za ubunge miaka hiyo alitoa sababu za kushikwa au kutokushikwa kwa dola??
Kwa hiyo wabunge wenu wote walishindwa kuleta maendeleo sababu ya kutokuwa na dola?
Hivi Singida Mashariki haikuwa na madiwani wa Chadema??
Ni Kikwete ndiyo alijenga hilo daraja la Kilombero, tunajua na wakati lilipojengwa na nani alilisimamia. Wewe acha sifa za kijinga....Hilo daraja limejengwa wakati mnyapara wa barabara ni waziri wa ujenzi hivyo hakuna input yake binafsi zaidi ya kutumwa na Kikwete na maamuzi ya baraza la mawaziri. Acha ujinga wewe...unataka kumdanganya nani wewe? Tunaijua Ifodha vizuri.Ifakara kuna daraja la Magufuli kuvuka mto kilombero ambapo miaka nenda rudi walikuwa wanazama na kivuko...Ni John Pombe Magufuli amewafutia shida hiyo iliyowashinda wajerumani....My point is Jembe litakuja huko IFOZA halafu ndio tukuoneshe maana ya nyomi...
Wakati anaomba kura za ubunge miaka hiyo alitoa sababu za kushikwa au kutokushikwa kwa dola??
Kwa hiyo wabunge wenu wote walishindwa kuleta maendeleo sababu ya kutokuwa na dola?
Hivi Singida Mashariki haikuwa na madiwani wa Chadema??