Pre GE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

Pre GE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
364
Reaction score
468
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
 
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
Punguza haraka. Afu soma ulicho kiandika. Lissu ana kosa gani kwa sada hivi. Mtoto wa mbowe au mlupo wa mbowe mmeguswa pabaya.
 
Ninatamani nikwambie jambo lkn fahamu ya kwmba, chadema ilianzishwa na viongozi wakubwa qa inch hii, na wakampa mbowe aisimamie, lkn wataki uahapita kwa maana walianzisha wameshatangulia,

Waliokuwepo sasa wanataka watoke ktk mpango wa mwanzo ili watimize lengo la chama, na aliekabidhiwa chama ambae ni mbowe akitoka tu lengo la kuanzisha chadema litakufa kqa maana watakao ingia wanahitaji mabadiliko,


Hii ngoma mbichi kabisaaa
 
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
Huu ujinga bakia nao huko unaposhinda ghetto kwa mbowe ukivuta bangi, humjui wala kumfahamu lisu na kama ungemjua usingemsingizia hayo yote ya kijinga uliyoyaandika kisa njaa zako umekula pesa za mbowe na kuja na ujinga eti lisu afukuzwe? Kusema madudu ya mbowe udhaifu mapungufu ya mbowe kuna ubaya gani? Hiki ni kipindi cha kampeni unataka kumpangia Lisu cha kusema ? Kisa eti atafukuzwa akisema madhambi ya mbowe? Chadema itaoza ikiendelea kuwa na watu wajinga kama wewe
 
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
Usiwe na shaka. Kwa taarifa nilizonazo Lissu LAZIMA afukuzwe Chadema au aondoke kwa aibu!
 
Back
Top Bottom