Pre GE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

Pre GE2025 Tundu Lissu afukuzwe CHADEMA haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo mfano wako ni wa kijinga sana kwani hujui kuwa utawala wa magufuli ulikuwa hatari kwake, na kitendo cha kusindikizwa na mabalozi unaona ni cha kawaida? Wewe hapo ulipo kuna Balozi anakujua? Kuwa na mabalozi ni ufahali mkubwa na pia Lisu anao watu wengi sana lakini kwa kuwa umekula pesa za mbowe na kuvuta Bangi umejitoa fahamu zote na kuja na mifano usiyojua hata maana yake
 
Mbowe kaa kwa uangalifu juu ya pesa zako zitaliwa bure humu na hao chawa wako vilaza watupu badala wajenge hoja wamekalia kuandika visivyowezekana na hata vikiwezekana Lisu hana cha kupoteza, Lisu ni msomi ni mwanataaluma nje ya siasa hatakosa pa kwenda kazi zipo kibao ataishi kwa raha, shida ni mbowe akimaliza pesa zote
 
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
Mpumbafuu
 
Matahira na mandondocha ya ccm kama hili sjui huwa yanawaza nn
 
Hahaha nitoke vipi na mie chawa mpya? Washamaliza points wanarudiarudia tu sasa uchafu uleule
 
Umemwelewa alichokiandika au umekurupuka? Yeye ameanika madudu ya waliyowahi kuyafanya viongozi wa CHADEMA na Lissu akiwepo na akayafumbia macho. Inakuwaje unamshutumu tena?

Hayo watashughulikia wengine kwani lazima Lissu ndo ayaone? Mwambie mtoa mada kama alijua hayo kwa nn kasubiri hadi aseme leo baada ya posho?
 
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
WEWE NI TAPELI KAMA MATAPELI WENGINE.. TANGU UTUMIWE KUMTENGENEZEA LWAKATARE KESI TUNAKUONA KAMA VIMA TUU NA KICHAA. HUNA CREDIBILITY YA KUMUONGELEA LISSU FUNGA BAKULI LAKINI HUNA JIPYA. UNAJIFANYA KUIJUA CHADEMA WAKATI UNATUMIKA
 
Nimeona mchakato huu usipite bila kutoa neno japo dogo kwa kuanzia.

Kwa mambo aliyofanya na kusema mpaka sasa, kuna jambo moja pekee ambalo ni muafaka kwa Tundu Lissu nalo ni Kufukuzwa CHADEMA.

Kwetu sisi tunaomfahami hasa maisha yake nje ya media, tunajua kuwa ni Muongo na mjanjamjanja sana. Amedanganya kila kitu. Wakati anajua kila kilichotokea CHADEMA ikiwa ni pamoja na mambo ya kihalifu, Lissu hawezi kujitenga na upuuzi wa CHADEMA.

Kwa wasiokumbuka, Lissu alishabikia vitendo vya udhalilishaji alivyofanyiwa mkuu wa wilaya wa kike na wahuni wa CHADEMA. wakati huohuo alisimamia waziri mmoja wa leo (hakuwa waziri wakati ule) kutekwa Nyara na wahuni wa CHADEMA.

Lissu amesimamia maamuzi yote ya kuwafukuza na kuwaaibisha waliojaribu kugombea uenyekiti huko nyuma akiwa mwanasheria mkuu wa Chama akifikia kuwatuhumu kwa uhaini dhidi ya chama.

Ni yeye aliyetetea mafisadi wakubwa walipoanza kufikishwa mahakamani wakati ule na akageuka mtetezi wa mafisadi.

Lissu alihusika kuficha taarifa za wanachama kukituhumu chama kuhusika na ajali ya kada aliyekuwa amejipenyeza Chadema kikachero lakini wakamgundua na kumuwahi.

Naam, Lissu amekuwa katili na asiye na Roho ya utu hata kidogo. Alishangilia kifo cha Mwenyekiti wa CCM kilipotokea.

Binafsi sina maslahi na nani anaweza kuwa mwenyekiti. Mimi natamani Lissu naye sasa apitie kile ambacho yeye mwenyewe aliwapitisha wenziye. Afukuzwe uanachama wa Chadema haraka na bila huruma.
Ludovick, ni wewe kweli umeleta hii maada?. Anyway, hoja hujibiwa kwa hoja, kwenye maada hii sioni hoja ya msingi uliyojenga hivyo naacha tu inipite hii maada yako.
 
Mbowe Division 0 darasani nje ya Siasa atakufa kwa njaa kwani pesa yote ya Akiba anaitumia kununua uenyekiti chawa Wajumbe wanakula pesa zake kama mchwa pesa alifuja yote itaishia kwa wajanja wachache waliotumia fursa hii kula pesa za mbowe, alikuwa mchoyo mkubwa pesa alikuwa akila peke yake, Lisu kampelekesha sasa wengi wanakula pesa zake kwa wingi,Mbowe hatakaa amsahau Lisu maishani
 
Lisu hatufai kwa sasa, kakosa staha, amfuate Msigwa.
Kula pesa ya mbowe kwanza, Lisu bila chadema ataishi bila shida siyo lazima kwenda kokote, Taasisi za kimataifa zinamhitaji sana, Mbowe nje ya Siasa na endapo mmekula pesa zake zote atakuwa mzee baraza vijijini kwani Mbowe ni division zero Darajani, Pesa anayotumia sasa kuununua uenyekiti itokee akosa kuwa mwenyekiti atakuwa kichaa lazima augue sana
 
Eti huyu naye anafanya propaganda mbaya dhidi ya lissu ili apate mkate akale ashibe. Hizi ni siasa za kipuuzi hazimtishi Lissu
 
Mtu analipwa hela kidogo za kuandika uharo apate kula maana ana njaa kali. Kwani lissu akifukuzwa ina maana hakuna wapinzani wengine ndani ya chadema dhidi ya mbowe au ccm inayomuogopa?
 
Kaka nashukuru sana kwa kumuunga mkono mjomba wangu, kazi iliyobaki ni kutetea kikoba chetu kirudi uchagani. Pia malizia ada ya uanachama ili tukalipie deni la mbege iliyotumika jana.
🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom