Tundu Lissu afutiwa kesi zote za uchochezi

Tundu Lissu afutiwa kesi zote za uchochezi

Hii ni habari iliyoandikwa na gazeti la MWANANCHI la leo.

Wakati ni habari iliyotarajiwa ifurike maoni mitandaoni kinyume chake ni kama vile haipo kabisa.

Hata mimi humu nimei post mara ya kwanza ikafutwa na sijui kama hii mara ya pili haitafutwa.

View attachment 2036038
Una undugu na Henry Kisanduku aliyempiga risasi 36 Tundu Lissu?
JamiiForums2139368417.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mungu ni mkubwa sana kuliko suluhu yoyote hapa duniani.
Watu wengi wa CCM ni kama vitumbili. Hawana upeo wa kujua kilicho zaidi ya nusu mita mbele yao. Laiti wangejua wakati wanapiga kelele, ndani ya serikali na jumuia ya kimataifa kuna majadiliano na maridhiano yanafanyika kwa nguvu zote ili wahanga kama kina Lissu warudi na kuendesha mambo yao kwa uhuru. Taratibu tu lakini watakuja kushangaa mambo yanavyokwenda kubadilika.
 
Samia punguza speed Mama, utawaua hawa SUKUMA gang kwa Sononi, Kifafa, Kifaduro na Pressure mapema sana! Punguza speed ya kupindua Meza za hawa majambazi waliojivika uzalendo fake, waliojipa uTZ namba moja na kuwaona watu wengine wote mavi.
 
Watu wengi wa CCM ni kama vitumbili. Hawana upeo wa kujua kilicho zaidi ya nusu mita mbele yao. Laiti wangejua wakati wanapiga kelele, ndani ya serikali na jumuia ya kimataifa kuna majadiliano na maridhiano yanafanyika kwa nguvu zote ili wahanga kama kina Lissu warudi na kuendesha mambo yao kwa uhuru. Taratibu tu lakini watakuja kushangaa mambo yanavyokwenda kubadilika.
Siyo CCM wote, ni haya maporipori yaliyoonjeshwa kupanda V8 ukubwani
 
Arudi nyumbani sasa!

Kumenoga!

Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu yupo uhamishoni / exile akinusuru maisha yake toka kwa watu wasiojulikana ambao mpaka leo vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania vimeshindwa kuonesha ushahidi kuwa vimejaribu njia zote kuwasaka na kuwakamata waovu wale.

Lakini pia vyombo hivyo vimeshindwa kuomba msaada kwa wananchi kutoa taarifa au kutafuta msaada kwa nchi zenye ujuzi zaidi kuwapa msaada wa kuwatafuta wasiojulikana wakamatwe.

Katika hali kama hiyo inakuwa ngumu kurudi bila kumuhakikishia makamu mwenyekiti wa CHADEMA na viongozi wengine wa upinzani, wanachama na wapenzi wa siasa mbadala kuwa hali ipo shwari na salama Tanzania.

Vyama vingi vya siasa kote ulimwengu kulipokuwa na mazingira hatarishi ya kufanya siasa , baadhi ya viongozi, makada, wanachama na wasomi wenye imani na vyama visivyo ktk utawala waliondoka au kukimbia nchi zao na kurejea pale tu mazingira yote yalipoonekana kuwa mabadiliko makubwa ya dhati yamefanyika .

exile: strategy and tactics 1960-1993
www.sahistory.org.za › archive › african-national-congress-exile-strategy-a...
Thumbnail image

26 Jun 2019 ... The African National Congress in exile: strategy and tactics 1960-1993. A dissertation submitted to the faculty of the University of North ...

Living in Exile:
www.sahistory.org.za › sites › default › files › Williams_Paper
File Format: PDF/Adobe Acrobat

movements, Kongwa camp Dodoma Tanzania has been a key site in Southern Africa's exile history. First SWAPO and. FRELIMO, and later the ANC, MPLA, ZAPU and other movements, ...


Oliver Tambo returns from exile | South African History Online
www.sahistory.org.za › dated-event › oliver-tambo-returns-exile
Thumbnail image

Oliver Tambo, former President of the African National Congress (ANC), returns to South Africa after going into exile nearly thirty years ago


Robert Mugabe returns to Rhodesia after being in exile for five years ...
www.sahistory.org.za › dated-event › robert-mugabe-returns-rhodesia-after...
Thumbnail image

On 27 January 1980, the Rhodesian nationalist leader Robert Mugabe returned to Rhodesia after being in exile for five years. Mugabe had been trying to ...
 
07 December 2021

ACT WAZALENDO, CUF NA NCCR MAGEUZI WAUNGANA KUDAI MBOWE AACHIWE, RAIS SAMIA AMEANGUSHIWA JUMBA BOVU


Mbinyo toka kambi ya upinzani kwa serikali ya CCM wazidi



Source : Mubashara Studio
 
Siyo rahisi Tundu Lisu kurudi nchini! Huku hatakuwa na uhalali wa kula bure na kulala bure kama huko ugaibuni ambako anakula kuku kwa mrija kwa gia ya ukimbizi wa kisiasa!!
Jaribu kua na adabu duniani niwachache Sana mtu Kama LIsu.jiheshimu mkuu
 
LEO Desemba 05, 2021

NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"



LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye ... Mzee Nnauye na wazee wengine wa TANU / CCM walitulea na kutufundisha upendo ...


15 October 2013


Rais Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Singida kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Nyuma ni James Mbatia NCCR Mageuzi, Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi


15 October 2013



Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, akimkaribisha Ikulu, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe, Dar es Salaam leo. Nyuma kushoto ni Kiongozi wa NCCR Mageuzi James Mbatia na Professa Ibrahim Lipumba wa CUF
 
Kesi za kina Jummaa pumba maharage , dah ila mwamba alikua kashindikana aisee, ilikua ngumu kumuonea onea kifala kama wanavyoonewa wengine, na urais akagombea na kura akapata vile vile ni kwakau tu ...............aliapa hatatoka
Kweli jamaa alikuwa nguli kwenye sheria, na jasiri haogopi na akirudi watapata tabu sana hawa ndugu zangu CCM
 
Toka Maktaba :

02 December 2021
Bunge la Ulaya / EP / EU
Brussels, Belgium

Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya, yakataa ripoti ya EESA kuhusu Tanzania, Bunge la Ulaya lataka Tanzania ichukuliwe hatua.



Mwenyekiti David James McAllister MEP akakumbushia barua yake aliyoandika kuwaonya wataalamu wa Umoja wa Ulaya EEAS About the European External Action Service (EEAS) mwaka jana mwezi November 2020 kuhusu "kuubeba" utawala dhalimu usiofuata haki za msingi za kibinadamu. Akiwasilisha Ripoti, mmoja wa wataalamu wa EEAS Ms. Rita Laranjinha EEAS: High Representative Josep Borrell announces senior appointments | Press Club Brussels Europe alinukuu taarifa ya EEAS ilisema kuna maendeleo 'makubwa' nchini Tanzania mbali ya changamoto ndogo ndogo.

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya akakumbushia hicho kinachoitwa 'changamoto ndogo ndogo' kwa hakika ni kikubwa na hakipaswi kutupiliwa mbali ikiwa watu wanakamatwa ovyo, kutupwa mahabusu, kufunguliwa mashtaka, kutishiwa haki ya kuishi n.k mambo ambayo ndiyo msingi mkubwa wanaousimamia Umoja wa Ulaya wakati wa kutoa msaada kwa nchi yoyote ulimwenguni

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya amesema mfano wataalamu hao je wameweza kukutana ndani ya Tanzania na mwenyekiti wa CHADEMA au makamu mwenyekiti wa CHADEMA? Ambao ni viongozi wa chama kikuu cha upinzani, mmoja akiwa rumande kwa kesi ya kutunga huku mwingine akiwa uhamishoni Belgium halafu wataalamu hao wanasema ni changamoto ndogo ndogo?


Pia kuna raia wanaoshiriki siasa Tanzania wenye mtizamo mbadala walio wanachama, wapenzi na wafadhili wazalendo wa KiTanzania wanabaguliwa kushiriki ktk vyombo vya maamuzi ngazi zote, wanaoozea ktk jela mbalimbali Tanzania au biashara zao kuhujumiwa je hayo ni mambo madogo ? Amehoji David James McAllister mwenyekiti huyo makini wa kamati ya Bunge la ulaya.

Hivyo amewataka wataalamu hao waliotumwa na bunge la Umoja wa Ulaya kuwabebeleza watawala wa Tanzania kuacha ukandamizaji, kujitathmini kama wanataka kulimwa barua nyingine kali ya karipio kuhusu ripoti yao iliyozua maswali mengi ndani ya Bunge la Ulaya na miongoni mwa wabunge wa Bunge hilo la Ulaya mwaka 2020 na vivyo hivyo pia mwaka huu mwezi November 2021 inayojadiliwa na Kamati hiyo ya Bunge la Ulaya.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge la ulaya amewataka wataalamu hao kuja na majibu mujarabu ya kuibana serikali ya Tanzania kwa kuwa inatumia misaada ya Umoja wa Ulaya itokanayo na kodi za raia wa nchi wanachama zinazoamini katika utawala bora, haki za binadamu kulindwa na demokrasia hivyo haiwezekani nchi viongozi wa nchi walio wakandamizaji kama wa Tanzania kufaidi jasho na nguvu wa walipa kodi wa Ulaya wanaoamini katika uhuru, haki na Maendeleo ya kweli ya watu ktk demokrasia inayozingatia utu.

amesema yeye na wajumbe wabunge wa kamati ya mambo ya nje wanajiandaa kupendekeza hatua "kali" dhidi ya utawala unaoendekeza udhalimu waziwazi na kwa kificho.

David James McAllister mwenyekiti wa Kamati Ya Bunge la Ulaya ya Mambo ya Nje anasema mbali na ripoti hiyo ya wataalamu wake pia wanapata habari kupitia balozi za Marekani, Canada , Uingereza na balozi wa nchi wanachama wanaohudhuria kesi namba 16 ya mwaka 2021 ya tuhuma nzito za kupikwa dhidi ya Mbowe na wenzie 3, na kesi hiyo ni kichekesho dhidi ya Umoja wa Ulaya na raia wa wa Umoja wa Ulaya ambao wote wanaamini ktk haki mbele ya sheria, demokrasia na kutokuwepo ugandamizaji wa haki za kibinadamu za aina yoyote.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge anataka kuona wataalamu hao wanakuja na mkakati gani wa kuibana serikali ya Tanzania inapotaka misaada na mikopo, kwani sasa siyo muda tena wa maongezi / dialogue yasiyo na kikomo kuhusu hali hii mbaya ya kisiasa nchini Tanzania, bali ni wakati wa Umoja wa Ulaya kufanya matendo kwani muda wa maneno umekwisha, ili ujumbe uwaingie watawala dhalimu.
Mwanajeshi anatumaliza ccm kirahisi hao wajumbe usikute wamehongwa na dola gandamizi
 
Hii ni habari iliyoandikwa na gazeti la MWANANCHI la leo.

Wakati ni habari iliyotarajiwa ifurike maoni mitandaoni kinyume chake ni kama vile haipo kabisa.

Hata mimi humu nimei post mara ya kwanza ikafutwa na sijui kama hii mara ya pili haitafutwa.

View attachment 2036038
Hakukuwa na kesi,ccm walijitekenya na kucheka wenyewe,just bullshits!
 
Mwanajeshi anatumaliza ccm kirahisi hao wajumbe usikute wamehongwa na dola gandamizi

CCM ni nguli wa kununua watu, miye hata hilo ninafikiri inawezekana kabisa ndiyo maana mwenyekiti wa kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya amesema wataalamu hao wa EESA wasipokuja na ripoti isiyotia shaka atawalima barua kwa mara nyingine.
 
CCM ni nguli wa kununua watu, miye hata hilo ninafikiri inawezekana kabisa ndiyo maana mwenyekiti wa kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Ulaya amesema wataalamu hao wa EESA wasipokuja na ripoti isiyotia shaka atawalima barua kwa mara nyingine.
Miaka 5 ijayo tujiandae kua na ulaya mbovu kabisa Mana wale vichwa kabisa washakua wazee wamebakia ambao waliomenyewe niseme robot ...uingereza kujiondoa imetazama mbalisana
 
02 December 2021

Yusuf Makamba -"Anayekuchokoza Usichokozeke, anakushinda hivyo mfanye awe rafiki yako "

Mzee Yusuf Makamba asema kiongozi lazima awe na ngozi ngumu na asikubali kuchokozeka, maana atafanya visasi wakati ana nguvu zote za kumfanya adui wake wa kisiasa rafiki na kwa pamoja wakajenga nchi kama vile Rais Abraham Lincoln alivyokuwa anapingwa vikali na Edwin Staton, lakini rais huyo tajwa ktk historia ya Marekani hakutilia shaka uzalendo na mapenzi ya Edwin Staton kwa nchi ya Marekani....




A History Of Rivals In The White House
Stanton was in some ways a curious choice for his job. Neither a Republican nor a Lincoln supporter before the war, he was notably unimpressed with the new president on first meeting.8 Aug 2017
View attachment 2034293
2017/08/08

Stanton: Lincoln's War Secretary - NPR


 
Back
Top Bottom