Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ka tweet akiwa wapi? Nchini au Ughaibuni? Kwa mabeberuAmeandika hivi kupitia mtandao wa X:
Waheshimiwa Majaji & wanasheria mlioko Tume hii naomba kuwauliza: Ibara ya 74(1) ya Katiba yetu inatambua jina rasmi la Tume kuwa ni 'Tume ya Uchaguzi.' Hili jina jipya la 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi' lina uhalali wowote kisheria au ni mbwembwe & ulaghai wa kisiasa wa CCM tu?
Kukujibu hilo swali ni matumizi mabaya ya akili ya kutambu kama uko timamu au vinginenyo.Ka tweet akiwa wapi? Nchini au Ughaibuni? Kwa mabeberu
Mbeberu huyo.Ka tweet akiwa wapi? Nchini au Ughaibuni? Kwa mabeberu
Watu wenye akili hujadili maudhui siyo aliyeandika maudhi alikuwa wapi? Wewe ulisoma vitabu vya ngugi na wengine walikuwa Tanzania? Unatumia Google hapo ulipo ipo Tanzania? Tuache ujinga ushamba na upumbavu nchi ya kwetu sote hii. Kama huna cha kuandika acha wenye akili wa jadiliKa tweet akiwa wapi? Nchini au Ughaibuni? Kwa mabeber
Jibu hoja tuHapa natakiwa kujibu hoja au nimtukane tu?
Na je, nikimtukana buku saba yangu nitalipwa kama kawaida?
Ameandika hivi kupitia mtandao wa X:
Waheshimiwa Majaji & wanasheria mlioko Tume hii naomba kuwauliza: Ibara ya 74(1) ya Katiba yetu inatambua jina rasmi la Tume kuwa ni 'Tume ya Uchaguzi.' Hili jina jipya la 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi' lina uhalali wowote kisheria au ni mbwembwe & ulaghai wa kisiasa wa CCM tu?
Maana yake kama katiba imebaki vile vile na hakuna mabdiliko yeyote ya kifungu kuendana na katiba basi tunapoteza muda tuu!Ameandika hivi kupitia mtandao wa X:
Waheshimiwa Majaji & wanasheria mlioko Tume hii naomba kuwauliza: Ibara ya 74(1) ya Katiba yetu inatambua jina rasmi la Tume kuwa ni 'Tume ya Uchaguzi.' Hili jina jipya la 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi' lina uhalali wowote kisheria au ni mbwembwe & ulaghai wa kisiasa wa CCM tu?
Jibu swaliKa tweet akiwa wapi? Nchini au Ughaibuni? Kwa mabeberu
Safi sana LissuAmeandika hivi kupitia mtandao wa X:
Waheshimiwa Majaji & wanasheria mlioko Tume hii naomba kuwauliza: Ibara ya 74(1) ya Katiba yetu inatambua jina rasmi la Tume kuwa ni 'Tume ya Uchaguzi.' Hili jina jipya la 'Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi' lina uhalali wowote kisheria au ni mbwembwe & ulaghai wa kisiasa wa CCM tu?
Wewe hata bendera fuata upepo ina nafuu , yaani sijui nikuiteje , kipeperushi au sijui kitu gani yaani !kwani kakatazwa kuhoji?
Sheria ya bunge haitakiwi kupingana na Katiba.Ila SHERIA ziko sawa.?