Tundu Lissu ahoji uhalali wa kikatiba wa jina jipya la Tume Huru ya Uchaguzi

Anamuuliza nani nae aendelee na matembezi mpaka miguu ichomoke!
 
Maana yake kama katiba imebaki vile vile na hakuna mabdiliko yeyote ya kifungu kuendana na katiba basi tunapoteza muda tuu!
Mnachekesha sana, mnasahau kwamba katiba hiyohiyo inampa mamlaka Rais kufuta au kuanzisha taasisi yoyote nchini, nafasi ya naibu waziri mkuu Iko ibara ya ngapi ya katiba? vipi kuhusu ofisi ya taifa ya mashitaka? TL hayuko sawa upstairs sikuhizi.
 
Mnachekesha sana, mnasahau kwamba katiba hiyohiyo inampa mamlaka Rais kufuta au kuanzisha taasisi yoyote nchini, nafasi ya naibu waziri mkuu Iko ibara ya ngapi ya katiba? vipi kuhusu ofisi ya taifa ya mashitaka? TL hayuko sawa upstairs sikuhizi.
Mwenzio ametaja kifungu na ibara ila wewe unaleta maneno matupu, kweli nchi hii kuna kazi kwelikweli.
 
Mnachekesha sana, mnasahau kwamba katiba hiyohiyo inampa mamlaka Rais kufuta au kuanzisha taasisi yoyote nchini, nafasi ya naibu waziri mkuu Iko ibara ya ngapi ya katiba? vipi kuhusu ofisi ya taifa ya mashitaka? TL hayuko sawa upstairs sikuhizi.
Taja kifungu katika katiba acha mdomo.
 
NCHI HII KWA SASA INATUMIA KATIBA YA CCM NA NDIO MAANA KUNA WABUNGE 19 BUNGENI WASIO NA CHAMA KINYUME NA KATIBA YA NCHI LAKINI KWA KATIBA YA CCM NI SAHIHI
 
hivi bado kuna watanzania wanamwamini huyu mbelgiji?
 
Hivi huko serikalini hakuna hata mmoja mwenye angalau kuepusha hii aibu?
 
🤣 kibaraka bana dah!!

huko ni kufilisika hoja au uchovu, hata jina una babaika nalo...🐒
 
Maana yake kama katiba imebaki vile vile na hakuna mabdiliko yeyote ya kifungu kuendana na katiba basi tunapoteza muda tuu!

Neno Tume Huru ya Uchaguzi ni mbwembwe za kishetani za CCM kuwadanganya wasio na akili.
 
Aishangazi maana alitangaza maridhiano alafu unachagua mtekaji,mtukanaji aliyetuhumiwa kudhulumu maisha kwenda kumwakilisha mkoa Fulani...
Hizo 4R na tumehuru ni mazingaombwe tuu hakuna uhalisia wowote.
Ogopa sana mtu ndani ya mfungo anafanya haya....
 
hivi bado kuna watanzania wanamwamini huyu mbelgiji?
Hebu tuambie,wewe unaitwa "Silicone Valley", na imeandikwa kwenye cheti chako cha kuzaliwa na vyeti vyako vya shule.
Tukimtafuta "Silicon Vally" itakuwa ni wewe au ni mwingine!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…