TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Lissu in 'the Heist',!? Kumbuka mwisho wa Tokyo!
Lissu anaongea kwa hoja sio ubabeTundu Lissu kamwaga sumu Morogoro uku akishangiliwa mwanzo wa mkutano mpaka mwisho View attachment 1566658View attachment 1566659View attachment 1566660View attachment 1566661
Ccm ingekuwa inategemea sanduku la kura saivi ingesha sahaulika kitambo sanaChadema hufurahia picha za mikutano. CCM hufurahia kura za sandukuni.
Ndiyo tofauti zao
Bora anyamaze tu atazidi kuharibuTutarajie kumwona polepole tena akitumia masaa 6 kujibu nondo za Lissu
SaharavoiceTofauti kubwa kati ya kampeni za uchaguzi za Tundu Lissu na zile za yule wa CCM ni kwamba, kwa Rais Mtarajiwa Tundu Lissu wapigakura hutaka kuzisikia sera mbadala, wakati kwa yule huenda kwa matarajio ya kuwaona wasanii maarufu wa Bongo fleva.
Hii ndiyo maana mikutano ya Rais Mtarajiwa hujaa watu wazima ambao wanajitokeza kwa hiari yao wenyewe. Wakati kwa bwana yule ni mwendo wa kubeba mamburura kwa malori na wanafunzi walolazimishwa na walimu wao ambao pia wamelazimishwa kuwalazimisha kufanya hivyo.
Hahahaha mavi yanakutokaSio ya uongo ila amecheza na angle ili picha ionekane anavyotaka yeye . kwa wapiga picha wanalijua hili ,pia ame crop na kuondoa vitu ambavyo hakutaka vionekane
Vip za CCM za kupiga picha asubuhi kwenye mikutano ya chadema?Yaani ukisoma posts za wafuasi wa Lissu unaishia kucheka tu. Mods mngekuwa mnazipeleka Jukwaa la Utani!
PumbaSisi tunaotembea tembea vijijini ukisoma baadhi ya uzi humu unabaki unacheka tu,
Mtu amekaa bar anakula balimi zake akishapata stim anaanzisha uzi
Nimetoka morogoro vijijini inaitwa morogoro mashatiki
Mbunge na madiwani wote wamepita bila kupingwa na wananchi awana hata hamasa ya uchaguzi
Uchaguzi wa 2015 kulikuwa na diwani mmoja tu wa upinzani akitokea ACT kata ya kiloka kijiji cha tomondo na kungwe
Mwaka huu yule diwani kaunga mkono juhudi karudi ccm kapita bila kupingwa
Hivi tunavyo ongea karibu madiwani wote wa ccm wamepita bila kupingwa
Kifupi mkoa wa Morogoro upinzani ZIRO..
Kilichoandikwa humu ni porojo..soma potezea ...matembele wametuzidi..
Hivi Lissu anafikiri anaweza kuwalaghai waislamu kwa kuvaa kanzu na kofia kila Ijumaa? Nafikiri Lissu hajui imani ya uislamu! Hata, figisu figisu za mabeberu wameshindwa kujua imani ya usilamu ikoje, sasa huyu Lissu anaona anaweza kuwahadaa simply kwa kuvaa kanzu na balaghshia kila ijumaa! Uislamu siyo maigizo hata kidogo - alijue hilo na asije akajikosesha kura zao kwa kukebehi dini yao.Sasa hizo picha ndo kufuta CCM morogoro? Au hiyo kanzu na baraghashia ndo kufuta CCM Moro?
Ajabu Sana.
Watu wanakusanywa, wanapewa pesa na manguo ya ccm wanaambiwa wavae, then wanasombwa na malori kwenda kwa mikutano ya ccm.. na siyo wanachama!Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja
Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani
Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja th kumshangaa Lisu
Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia Chukua picha zote za uzinduzi wa Chadema na za CCM utaona hilo tofauti wazi bila chenga
Hapo hapoAshuke sehemu aliyoua viwanda???
Wewe umeumizwaje bwashee?!Leo niliwepo hapa Morogoro katika kiwanja cha Mashujaa kumsiliza Lissu,huyu jamaa Mungu kamjalia kujenga hoja na anapozungumza nashawishika kumsikiliza kila neno.Yuko tofauti na washindani wake.Alichoongea pale Morogoro leo imekuwa gumzo.Wakati tunarudi nyumbani nimewasikia watu wakisema CCM safari hii sasa basi.Watanzania wengi wameumizwa na utawala huu kwa namna tofauti tofauti
Hiyo kijani ni ccm
Lissu anavaa kanzu kama ishara ya kuheshimu dini ya uislamu, anavaa kanzu kuonesha kuwa atakuwa kiongozi wa dini zote sio wakristo tu, anavaa kanzu kuonesha anaguswa na madhira wanayofanyiwa waislamu wa nchi hii hasa masheikh waliopo magerezani.Hivi Lissu anafikiri anaweza kuwalaghai waislamu kwa kuvaa kanzu na kofia kila Ijumaa? Nafikiri Lissu hajui imani ya uislamu! Hata, figisu figisu za mabeberu wameshindwa kujua imani ya usilamu ikoje, sasa huyu Lissu anaona anaweza kuwahadaa simply kwa kuvaa kanzu na balaghshia kila ijumaa! Uislamu siyo maigizo hata kidogo - alijue hilo na asije akajikosesha kura zao kwa kukebehi dini yao.
Mbona sijamuona akivaa kama singasinga!