kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 628
Sisi tunaotembea tembea vijijini ukisoma baadhi ya uzi humu unabaki unacheka tu,
Mtu amekaa bar anakula balimi zake akishapata stim anaanzisha uzi
Nimetoka morogoro vijijini inaitwa morogoro mashatiki
Mbunge na madiwani wote wamepita bila kupingwa na wananchi awana hata hamasa ya uchaguzi
Uchaguzi wa 2015 kulikuwa na diwani mmoja tu wa upinzani akitokea ACT kata ya kiloka kijiji cha tomondo na kungwe
Mwaka huu yule diwani kaunga mkono juhudi karudi ccm kapita bila kupingwa
Hivi tunavyo ongea karibu madiwani wote wa ccm wamepita bila kupingwa
Kifupi mkoa wa Morogoro upinzani ZIRO..
Kilichoandikwa humu ni porojo..soma potezea ...matembele wametuzidi..
Mtu amekaa bar anakula balimi zake akishapata stim anaanzisha uzi
Nimetoka morogoro vijijini inaitwa morogoro mashatiki
Mbunge na madiwani wote wamepita bila kupingwa na wananchi awana hata hamasa ya uchaguzi
Uchaguzi wa 2015 kulikuwa na diwani mmoja tu wa upinzani akitokea ACT kata ya kiloka kijiji cha tomondo na kungwe
Mwaka huu yule diwani kaunga mkono juhudi karudi ccm kapita bila kupingwa
Hivi tunavyo ongea karibu madiwani wote wa ccm wamepita bila kupingwa
Kifupi mkoa wa Morogoro upinzani ZIRO..
Kilichoandikwa humu ni porojo..soma potezea ...matembele wametuzidi..