Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aifuta CCM Morogoro

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aifuta CCM Morogoro

Sisi tunaotembea tembea vijijini ukisoma baadhi ya uzi humu unabaki unacheka tu,
Mtu amekaa bar anakula balimi zake akishapata stim anaanzisha uzi

Nimetoka morogoro vijijini inaitwa morogoro mashatiki

Mbunge na madiwani wote wamepita bila kupingwa na wananchi awana hata hamasa ya uchaguzi

Uchaguzi wa 2015 kulikuwa na diwani mmoja tu wa upinzani akitokea ACT kata ya kiloka kijiji cha tomondo na kungwe
Mwaka huu yule diwani kaunga mkono juhudi karudi ccm kapita bila kupingwa

Hivi tunavyo ongea karibu madiwani wote wa ccm wamepita bila kupingwa
Kifupi mkoa wa Morogoro upinzani ZIRO..

Kilichoandikwa humu ni porojo..soma potezea ...matembele wametuzidi..
 
Tundu Lissu kamwaga sumu Morogoro uku akishangiliwa mwanzo wa mkutano mpaka mwisho View attachment 1566658View attachment 1566659View attachment 1566660View attachment 1566661
Nilikuepo Leo uwanjani acha kuwaongopea watu , kwani uanja haukujaa sana kama unavyotuaminisha , ila nimsifu lissu watu tulikuja wenyewe kwa hiari yetu kabisa sema alituangusha sana leo kwani hakuongea chochote kuhusu ilani ya chadema wala atatufanyia nini , sijawahi hudhuria mkutano wowote wa lissu ila kwa leo nilichokitegemea sicho nilichokutana nacho . Pia naona ishu ya michango haijapokelewa vizuri maana alipoanza tu kuomba michango watu wakaanza kuondoka kwa wingi . Pia team ya kampeni yake ilipwaya sana hakukua na watu wa kumwaga nondo zaidi tu bananga alijitahidi . Pia MC wa leo alikua moto sana kwangu ndio Man of the match
IMG_20200911_165748.jpeg
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja

Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani

Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja th kumshangaa Lisu

Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia Chukua picha zote za uzinduzi wa Chadema na za CCM utaona hilo tofauti wazi bila chenga
 
Tundu Lissu kamwaga sumu Morogoro uku akishangiliwa mwanzo wa mkutano mpaka mwisho View attachment 1566658View attachment 1566659View attachment 1566660View attachment 1566661
Nimemsikliza kwa makini ingawa kuna sehemu sisikii sauti(maybe my PC) na dhahiri kuwa hana uoga na wala miezi michache iliyopita hatukutegemea kuwa atatokea mtu wa kuyasema haya aliyosema LIssu hadharani bila uoga.
Jambo la pili kwa watu wanaofikiri na kuona mbali tayari ameweza ku pre empty hoja ya mambo yaliyofanywa na serikali hasa katika ujenzi.
Anaweza asipate u Raisi lakini amediriki kumueleza mfalme pale ambapo kanzu yake imetoboka.
Kwa unyenyekevu ninaouona katika uso wa Magufuli hasa akiwa kanisani naamini akipata kipindi cha pili atabadilka sana na TUOMBEE HIVYO.
 
Nilikuepo Leo uwanjani acha kuwaongopea watu , kwani uanja haukujaa sana kama unavyotuaminisha , ila nimsifu lissu watu tulikuja wenyewe kwa hiari yetu kabisa sema alituangusha sana leo kwani hakuongea chochote kuhusu ilani ya chadema wala atatufanyia nini , sijawahi hudhuria mkutano wowote wa lissu ila kwa leo nilichokitegemea sicho nilichokutana nacho . Pia naona ishu ya michango haijapokelewa vizuri maana alipoanza tu kuomba michango watu wakaanza kuondoka kwa wingi . matchView attachment 1566733
Asante kutupa picha halisi sio ile waliyo edit kitengo cha editing cha Chadema
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja

Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani

Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja th kumshangaa Lisu

Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia Chukua picha zote za uzinduzi wa Chadema na za CCM utaona hilo tofauti wazi bila chenga
Kwa uoga uliopo hata hao wachache waliovaa Tshirt za Chadema wamejikaza hasa.Watu Wengi hawapendi kuhusishwa na upinzani hasa katika awamu hii
 
Nilikuepo Leo uwanjani acha kuwaongopea watu , kwani uanja haukujaa sana kama unavyotuaminisha , ila nimsifu lissu watu tulikuja wenyewe kwa hiari yetu kabisa sema alituangusha sana leo kwani hakuongea chochote kuhusu ilani ya chadema wala atatufanyia nini , sijawahi hudhuria mkutano wowote wa lissu ila kwa leo nilichokitegemea sicho nilichokutana nacho . Pia naona ishu ya michango haijapokelewa vizuri maana alipoanza tu kuomba michango watu wakaanza kuondoka kwa wingi . Pia team ya kampeni yake ilipwaya sana hakukua na watu wa kumwaga nondo zaidi tu bananga alijitahidi . Pia MC wa leo alikua moto sana kwangu ndio Man of the matchView attachment 1566733
Hiyo picha yake ni ya uongo?
 
Lissu ameshamchanganya Magufuli; kwasasa anaendelea kufuta alikopita Magufuli.
Anajichanganya mwenyeweeeee hadi ifike October kachanganyikiwa kabisa 😁😁😁😁😁
 
CCM ilishafutika siku nyingi sana hapo morogoro, sijajua kwanini yule aliyekuwa mgombea wa cdm 2015, sijui Marcos kilimpata nini, maama yule wa mgombea wa cdm, 2010, aliuza jimbo, kwa huyo mwarabu, na ndio maana this time akataka apite bila kupingwa maana anajua huwa hashindi uchaguzi,

Devotha Minja karudishwa?
 
Jambo la pili kwa watu wanaofikiri na kuona mbali tayari ameweza ku pre empty hoja ya mambo yaliyofanywa na serikali hasa katika ujenzi.
Goto hoja ya kuponda ujenzi ilisababisha azomewe mbagala.Kule wanajengewa barabara ya mwendo kasi alipojitia kuponda ujenzi wakaamza kumzomea

Fikiria kijiji kilikuwa hakina Barabara wala zahanati watu wakijitwika waja wazito vichwani kupeleka mgonjwa.kujifungua mbali leo uponde useme hizo barabara na hospital zilizojengwa hazima maana hazigusi maendeleo yao kama watu eti hayo ni maendeleo ya vitu sio watu!!! Wakikupiga mawe hao wanakijiji utasema wamekuonea?

Hizo hoja aongelee labda kule ambako watu hawana shida nazo.Ukute watu hawana daraja kila mwaka watu wanaliwa na mamba wakivuka mto kwa miguu. SERIKALI Imewajengea daraja wananusurika halafu Lisu afike aponde you ujenzi wa hilo daraja sipati picha ya kitakachomkuta

In short Lisu anaruka ruka sababu sera Jan a pia watu hutaka maendeleo watu wanajengewa shule na waliihitaji ufike pale useme hii mijemgo sio maendeleo ya watu ni ujinga mtupu yeye ndie mjinga
 
Sisi tunaotembea tembea vijijini ukisoma baadhi ya uzi humu unabaki unacheka tu,
Mtu amekaa bar anakula balimi zake akishapata stim anaanzisha uzi

Nimetoka morogoro vijijini inaitwa morogoro mashatiki

Mbunge na madiwani wote wamepita bila kupingwa na wananchi awana hata hamasa ya uchaguzi

Uchaguzi wa 2015 kulikuwa na diwani mmoja tu wa upinzani akitokea ACT kata ya kiloka kijiji cha tomondo na kungwe
Mwaka huu yule diwani kaunga mkono juhudi karudi ccm kapita bila kupingwa

Hivi tunavyo ongea karibu madiwani wote wa ccm wamepita bila kupingwa
Kifupi mkoa wa Morogoro upinzani ZIRO..

Kilichoandikwa humu ni porojo..soma potezea ...matembele wametuzidi..
Morogoro zero? Mbona uko biased kina Kiwanga,Lijualikali na Prof.Jay walishinda majimbo ya mkoa wa dodoma ama?

Mabadiliko ni process sio event ya wiki moja..... Kwa aina ya siasa za miaka 5 hii hakuna aliyedhani sio tu kupata wagombea ila hata upinzani kusikilizwa mikutano yao so badala ya kukejeli elewa context.
 
Dah vijana wa bavicha kwa kujipa matumaini hewa mko vizuri.

Acha aendelee kujitifua sisi tunamsubiria tarehe 28/12020 tufanye yetu.
 
Wakuu morogoro ni noma, nimeshuhudia maandamano makubwa baada ya mkutano ya kumsindikiza mhe Lissu. Hakika ukombozi upo karibu
 
Goto hoja ya kuponda ujenzi ilisababisha azomewe mbagala.Kule wanajengewa barabara ya mwendo kasi alipojitia kuponda ujenzi wakaamza kumzomea
Acha uongo mkuu Mbagala mie nilikuepo mwanzo Mwisho hakuna aliyezomewa zaidi ya TBC alipotimuliwa na walipoulizwa mbunge wa CCM alikua wapi miaka hii 5 kuwapigania bungeni?

Kiufupi CCM ishakufa mbagala toka 2015 kilichobaki ni wapinzani tu kuungana na kumuangusha yule mgombea fisadi aliyepitishwa ila msijitie moyo humu kwamba mwendokasi imeshangiliwa mbagala. Afterall wameona changamoto ya huo usafiri kwa Kimara.
 

Attachments

  • 20200828_180733.mp4
    12.7 MB
Back
Top Bottom