Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

With what basis for NEC to feel that Shame?
Au ni kawaida kudakia mada na kupata mihemko?
 
Hawa jamaa mwaka huu watapoteana. 2015 almost majimbo yote Dar na Kilimanjaro walichukua wao lakini bado hawakuacha kuitukana Tume. Sasa 2020 naona hawana sera na ule upepo wa Mhe. Lowassa hauvumi tena, yani watapoteanaaaaa. Yeye atukane tu ila tarehe 28 Oktoba 2020 sio mbali wa tz wataamua.
 
Mbona kwenye maendeleo anatajwa mtu tena kwa jina muda wote, iweje akitajwa upande wa pili wa shilingi hamtaki atajwe kwa jina? Haitishi tume, bali ameanika unafiki wa hiyo tume isiyo huru ya uchaguzi. Nilitarajia ungesema asimtaje Magufuli kwa jina,lakini ukiri mambo aliyoyotaja kuwa tume inafanya kwa double standard. Kinyume na hapo haya maoni yako ni mambo ya mahaba niue.
Na wewe jipange ukipata ufanye ili uitwe jina lako.
Maana huna jipya zaidi ya Wivu wa kichawi
 
Ni wa kati gani Rais wa nchi anakuwa sio Rais? Tatizo hapa sio ahadi, tatizo ni mtu anatukana wagombea wenzake tena kwa kuwataja kwa majina. Lissu kwenye jambo hili yupo guilty kabisa na ndio maana anajishuku. Mbona wenzake hawajapanic????

Yeye anadhani anaweza kuitisha Tume kwa kauli zake za vitisho lakini anajidanganya.
Aambiwe kabla hajaifikia Tume iliyo kwa Mujibu wa Sheria! Na inalitumikia Taifa. Sisi Wananchi tusiokubaliana na ujinga huu. Tutamalizana nae yeyy na genge lake
 
Mkurugenzi alisisitiza umhimu wa kutunza amani kipindi hiki cha uchaguzi kuwa ni jukumu la wagombea wote sasa kuhamasisha kuvunja amani haiwezi kuwa ajenda ya chama chochote cha siasa na wananchi makini tukabariki tuilinde amani kwa nguvu zote maana hatuna nchi nyingine zaidi ya hii na amani ikipotea wazee, watoto, akinamama ndo watakao umia zaidi hivyo tusikubali kuvuruga amani kwa maslahi ya kikundi cha watu wachache wenye nia ovu
Hili hawajaliona Boss wangu!
Wananchojua wao ni propaganda Mshenzi tu!
 
NEC can't be ashamed of baseless allegations leveled by such an idiot/a sellout, this guy is really betraying his country and we the people of Tanzania [emoji1241] will show him that we are not ready to be colonised once more.
SHAME ON YOU NEC.
 
Vijana Mishen town hawa. MADALALI WA BINADAMU [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
NEC can't be ashamed of baseless allegations leveled by such an idiot/a sellout, this guy is really betraying his country and we the people of Tanzania [emoji1241] will show him that we are not ready to be colonised once more.
Thank you [emoji3508] kalee for making this very clear!!
Ufipa boys, take note!!
 
Kama Rais wao anatembeza kikapu unaweza kuona ni kwa jinsi gani wao wana njaa. Yani chama kimekaa design kama kundi la wanyang'anyi.
Vijana Mishen town hawa. MADALALI WA BINADAMU [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Point yako nini labda?[emoji23][emoji23]

Ebu punguza kunifokea bhasi.

Ngoja nikupe SHULE kama Lissu anavyowapa DARASA.

IPO HIVI....!

Wanafunzi wanaohudhuria mikutano ya CCM ni kwasababu wanapewa maagizo na vitisho, wanakuja kwa kutokupenda. SAWA?

ALAFU

Wanaokuja mikutano ya upinzani hawapewi MAAGIZO wanakuja kwa RIDHAA YAO. UMENIPATA?
Mbona Jiwe anatoa amri kwa watendaji na kuahidi kutoa pesa kutatua matatizo wakati wa uchaguzi lakini kada Mahera yuko kimya?
Mbona Jiwe anakusanya wanafunzi wakati wa masomo na Mahera yuko kimya?
Hii nchi ina maajabu sana....

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
majukwaa ya kampeni sio njia ya kufikisha malalamiko ya kiuchaguzi.huyo lissu alichukua hatua gani kuwasilisha malalamiko kwenye kamati za maadili au amezoea mipasho kila kitu anajua ni siasa
 
Huyu mjamaa hata muonekano wake tu yupo kama mtu mhalifu na matendo yake pia ya kihalifu. Mipombe ya Ulaya imemharibu kichwa.
 
Mwenyezi Mungu huwa halali;kiufupi kumsema vibaya mlemavu yeyote kwa sababu ya hali yake ni Laana (Mwanadamu hajafa hajaumbika).Magufuli pamoja na yote hajawahi kufanya haya unayoyasema-Its shaim;someday God will pass you Through this and its where you will understand.
Kwenye familia zetu wengine tunaishi na walemavu ambao kifikra tunatofautiana lakini si vyema kumsema kwa ukilema wake kujenga hoja binafsi
Kwa jina la yes awezi ruhusu nguvu za kiibilisi Kama za lisu na wafuasi wake .hakika watashindwa vibaya Sana
 
Point yako nini labda?[emoji23][emoji23]

Ebu punguza kunifokea bhasi.

Ngoja nikupe SHULE kama Lissu anavyowapa DARASA.

IPO HIVI....!

Wanafunzi wanaohudhuria mikutano ya CCM ni kwasababu wanapewa maagizo na vitisho, wanakuja kwa kutokupenda. SAWA?

ALAFU

Wanaokuja mikutano ya upinzani hawapewi MAAGIZO wanakuja kwa RIDHAA YAO. UMENIPATA?
Ndiyo Imani unayojipa?!
Haya umetumika kuwalazimisha wanafunzi wangapi?
Na wakiohiyari kwenda unawajua?
Siasa zenu kila kona ni uongo uongo tu!
Tume iliyompitisha huyo Mgombea wenu haijawahi kuwa na Fitna wala majungu na huyo ndugu yenu. Mwambie aache kujipendekeza tupige kampeni tukutane Jumatano ya 28 OKTOBA. Tupimane kwa sera bora
 
majukwaa ya kampeni sio njia ya kufikisha malalamiko ya kiuchaguzi.huyo lissu alichukua hatua gani kuwasilisha malalamiko kwenye kamati za maadili au amezoea mipasho kila kitu anajua ni siasa
Mwanasheria asiyetaka kufuata Sheria. Anakuambia anataka katiba mpya sasa kama Maadili tu ya Uchaguzi yanamshinda hiyo katiba mpya ataweza kweli? Ndio yaleyale ya kusema akishinda hatakusanya kodi halafu akimaliza mkutano anachangisha pesa za kampeni yani jamaa wana njaa mpaka kichogoni.
 
å Ni majibu ya kauli ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dr. Wilson Mahera Charles aliyoitoa jana alipokuwa anazungumza na vyombo vya habari.

å Kwamba, baadhi ya wagombea katika mikutano yao ya kampeni wanakiuka kanuni na maadili ya uchaguzi mkuu wa 2020.

å Na kwamba, tume inaweza kuwachukulia hatua za kinidhamu ikiwemo kuwazuia kuendelea na kampeni zao.

å Tundu Lissu akiwa Mbozi leo tarehe 16/9/2020 akichanja mbuga kuendelea na mikutano yake ya kampeni, kabla ya kuwahutubia wananchi alitumia dakika 12 kuijibu NEC juu ya kauli yake hii kupitia kwa mtendaji wake mkuu, Mkurugenzi wa Uchaguzi Dr Wilson Mahera Charles.

å Katika kujibu, Tundu Lissu akaikaripia vikali NEC kuwa ndiyo mkiukaji mkubwa wa KANUNI na MAADILI hayo ya Uchaguzi mkuu 2020.

å Akataja makosa matano (5) ya ukiukaji KANUNI na MAADILI yanayofanywa na mgombea Urais wa CCM, ndg John Pombe Magufuli huku NEC wakiwa kimyaaa.

Tazama video hii

Tumeshamjua Lissu amerudi Tanzania kuhakikisha anavuruga uchaguzi ili awape mabwana zake huko Ulaya sababu ya kuutia kasoro uchaguzi maana anaamua kuishambulia Tume ili imchukulie hatua za sheria alafu ionekane anaonewa. Ila kama kweli anayo malalamiko ya maadili apeleke kwenye kamati za maadili sio kushambulia watu kwenye kampeni maana inavyoonekana hana Sera na sasa anatafuta huruma za mabwana zake waliomtuma.
 
Kuwafungisha shule watoto wa shule na kwenda kwenye kampeni ndio kufuata Sheria?
Wewe Ni kiazi kibichi na Bora ushtuke mapema sidhani Kama wiki ijayo mtapewa 'allowance' hapo koridoni Lumumba
Kumbe ata mihula ya shule kwa mwa 2029 huijui kazi yako ni kuwa bendera tu.muwe mnapitapita mnajua yanayoendelea duniani sio kukropoka tu
 
Mwenyezi Mungu huwa halali;kiufupi kumsema vibaya mlemavu yeyote kwa sababu ya hali yake ni Laana (Mwanadamu hajafa hajaumbika).Magufuli pamoja na yote hajawahi kufanya haya unayoyasema-Its shaim;someday God will pass you Through this and its where you will understand.
Kwenye familia zetu wengine tunaishi na walemavu ambao kifikra tunatofautiana lakini si vyema kumsema kwa ukilema wake kujenga hoja binafsi
Hivi Mnamjua Mungu?
Anayechukizwa na uongo na fitna, ndio huyo huyo mnaemuita aje kuwatetea mnapoumbuliwa!
Mungu hawahudumii WACHAWI na WAFITINI
Amini nakuambia!
 
Back
Top Bottom