Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waje lakini sio kwa KULAZIMISHAImeadikwa WAACHENI WATOTO WADOGO WAJE KWANGU.
Hivi wewe upo kijijini wasanii Kama Diamond, Kiba, Hamonize nk unawaona tu katika tv leo wamekuja na Shule mmeshatoka mtaacha kwenda kuangalia na kuwaona Live.Waje lakini sio kwa KULAZIMISHA
kama tume sio huru kwa nini mnashiriki uchaguzi?
Mimi najielewa na nipo kweli bushHivi wewe upo kijijini wasanii Kama Diamond, Kiba, Hamonize nk unawaona tu katika tv leo wamekuja na Shule mmeshatoka mtaacha kwenda kuangalia na kuwaona Live.
Tume imepiga jiwe gizani kwa kutokitaja Chama chochote zaidi ya kutoa Onyo kwa vyama hivyo. Sasa Kama Chadema hawana makosa wanajibu nini? Si wakae kimya halafu Tume ifanye kazi.Lissu ni chaguo letu sio yule wa kuleta wanafunzi na wasanii kuaminisha anapendwa[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111]
Ndio maana anakuwa mkali na kutufokea wananchi mara nina sura mbaya mara mtajuta,
Mbona lissu kajawa furaha na amani?
Ni kwasababu anapendwa na watu bila kutumia nguvu fake.
Ni yeyeView attachment 1571684View attachment 1571685View attachment 1571686
Lissu ni saiz yake,makavu ndiyo anayaelewa-shida Lumumba hawajawahi kufikiria siku moja mtu atatokea na kuwafungua macho wananchi kwa style ya lissu ya kuhutubia;Lissu ana skills ya kufikisha taarifa ngumu kwa mtu wa chini kwa jinsi rahisi ambayo ataielewa. Mpaka uchaguzi uishe Mzee mkubwa credibility yake itakuwa imepungua mno kwa jinsi Lissu anavyo yafumbua mambo yake yake ya kificho hadharani sababu wananchi walikuwa wanamvumilia wakiamini hana scandal ila mambo ni tofauti
Lissu katoa Darasa murua kuhusu makosa ambayo wao tume wamefanya pamoja na jiwe.Tume imepiga jiwe gizani kwa kutokitaja Chama chochote zaidi ya kutoa Onyo kwa vyama hivyo. Sasa Kama Chadema hawana makosa wanajibu nini? Si wakae kimya halafu Tume ifanye kazi.
Pili. Tundu Lisu amesoma hayo Maadili, na kusema kua wameshurutishwa kusaini ni uongo. Yeye alikua Ubelgiji kaja kuchukua Fomu na kurudisha. Angegoma Basi kusaini siku ya uteuzi.
Tatu, Maadili hayo yanasimamiwa na Kamati maalum ya Maadili Kitaifa yeye anajua na wajumbe wa hiyo Kamati ni wawakilishi kutoka Kila Chama kinachoshiriki Uchaguzi Mkuu, hivyo Mgombea anaeona Kuna shida nadhani Maadili yamemtaka kupeleka malalamiko huko kwa kamati. Sio kulalamika majukwaani.
Hivyo naishauri Chadema na vyama vingine wanaoona Kuna shida hizo Kamati zipo kuanzia ngazi ya Kata, Jimbo na Taifa na kuna Kamati ya Rufaa.
Uelewa mdogo pia ni shida sana, huwezi kupewa maelekezo namna ya kufuata Mwongozo ukaanza kujitetea kwa kusema mbona fulani anafanya....katika Ulimwengu wa sheria hiyo sio sawaa kabisa..Huyu jamaa yenu anawalisha matango pori tu Tena ya kwasababu anapiga kelele tu mitandaoni badala ya kufuata utaratibu nimesoma kanuni za maadili ya Uchaguzi zinasema unatakiwa kutoa taarifa ya maandishi ktk sehemu husika ndani ya masaa 72 toka ukiukwaji wa maadili ulipofanyika.sasa kulalama tu Kama hayawani bila kutekereza hayo ni kazi bure.
Aende wapi huyo ataishia kuchechemea tuTwende na Tundu Lissu, 2020...!!
Mwaka huu tunavunja 'unyumba' wa NEC na huyo Boss wao.,!Ni Bossi wao yule hawataweza..,hakuna 'independence'..typical scenario showing conflict of interest
Wataka ukawaone wapi Nyumbu weweVibwengu wa lumumba siwaoni hapa
Nyie mtabaki kuwa manyumbu tu na mtaambulia manyoyaTunashukuru Lisu ameweka wazi unafiki wa tume ya uchaguzi hadharani. Hii inazidi kudhihirisha kuwa tume sio huru.
Itoshe kusoma wewe ni zwazwa mkuu, yaani kwa Hali hii ya 'kisiasa' malalamiko yapelekwa kwa akina Hashim rungwe na profesa chawa?Maadili ya uchaguzi yanataka anaelalamika kuhusu mwenendo wa kampeni kupeleka malalamiko katika kamati za Maadili ambazo zinaundwa kwa asilimia kubwa na vyama vya siasa vinavyo shiriki uchaguzi katika ngazi husika sasa kulalamika kwa wananchi hakutoi suluhu yoyote kinachotakiwa ni kupeleka malalamiko kwenye kamati katika ngazi husika ili hatua stahiki zichukuliwe na kamati
Wacha weee!!!! Penye TL waweza kuweka JPM bila kuharibu maana ya fungu.TL is an idiot.