Naskia JPM anahusika pia kwenye utekaji wa Sarungi 😂Dharauu sanaaa.....kuna mtekaji mmj toka PK alikuja kimya kimya......akamteka mtu wake amsafirishe kimya kimya kwenye buti gari.....Mungu bariki....alikamatwa traffick kabla Morogoro....jamaa kwenye buti akagonga sana gari mateke....ngumi...deal ikaishia hapo......jamaa alikaa miaka 2 pale central ....diplomasia ikamuokoa ! Lakini yule mtu alipobea hapo...
Dah 🙌Au ile ya Lissu kupigwa risasi!
Haswaaaa.....watu wa jpm nfio wa sa 100.....tofauti miaka na majina tiss wale wale PT wale waleNaskia JPM anahusika pia kwenye utekaji wa Sarungi 😂
Dah bc JPM katili sana 😂 Naskia nae Sativa nae alitekwa na JPM pamoja na yule mzee wa chadema aliyeshushwa kwenye bus la abiria na kuuawa 😎Haswaaaa.....watu wa jpm nfio wa sa 100.....tofauti miaka na majina tiss wale wale PT wale wale
Kama vigalula ni wakukatwa vichwa, na hawa vijana wadogo?!Wangekata hiyo kichwa
Kigalula yule
Mwenyekiti wa CHADEMA anapaswa kuwa active kwa jinsi hii...Taarifa yake iliyonukuliwa na Vyombo vya Habari hii hapa
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu ameitaka Serikali ya Kenya kuingilia kati katika madai ya kutekwa kwa mwanaharakati Maria Sarungi.
Taarifa za kutekwa kwa Maria zimesambaa leo Jumapili Januari 12, 2025 baada ya mtandao wa kimataifa wa haki za binadamu-- Amnesty International kuripoti taarifa hiyo.
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
“Maria alikuwa amekimbilia uhamishoni nchini Kenya tangu kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambapo amekuwa akiendesha televisheni ya mtandaoni ya Mwanzo TV, inayotoa maudhui ya kuunga mkono demokrasia.
“Ingawa tunatumai na kusali kwa ajili ya maisha na usalama wa Maria, ni lazima tutoe wito kwa Serikali ya Kenya na watu wote wenye nia njema kutoka duniani kote kuingilia kati, kuhakikisha usalama wa Maria,”ameandika Lissu.
View attachment 3200002View attachment 3200003
Waaambieni vijana waende shamba wakalimeKama vigalula ni wakukatwa vichwa, na hawa vijana wadogo?!
View: https://youtu.be/ARIMdLAgVa8?si=xutlDHq25h9jyyac
Hata ile ilikuwa kiki tu, kwani unajifanya hujui mpaka leo?😀Au ile ya Lissu kupigwa risasi!
Haya tusubiri tuone 😎Sidhani ila bila shaka Kenya serikali isingeruhusu litokee kwenye ardhi yake baada ya kutekwa kwa Kiiza Besigye na kuibuka uganda basi kama hili maria angeibuka TZ au akafa ingezidi kuwatia doa kimataifa. Ngoja akizungumza kesho itafahamika kwanini kaachiliwa mapema
Maria kakosoa utawala wa magu na akawa salama!Taarifa yake iliyonukuliwa na Vyombo vya Habari hii hapa
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu ameitaka Serikali ya Kenya kuingilia kati katika madai ya kutekwa kwa mwanaharakati Maria Sarungi.
Taarifa za kutekwa kwa Maria zimesambaa leo Jumapili Januari 12, 2025 baada ya mtandao wa kimataifa wa haki za binadamu-- Amnesty International kuripoti taarifa hiyo.
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
“Maria alikuwa amekimbilia uhamishoni nchini Kenya tangu kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambapo amekuwa akiendesha televisheni ya mtandaoni ya Mwanzo TV, inayotoa maudhui ya kuunga mkono demokrasia.
“Ingawa tunatumai na kusali kwa ajili ya maisha na usalama wa Maria, ni lazima tutoe wito kwa Serikali ya Kenya na watu wote wenye nia njema kutoka duniani kote kuingilia kati, kuhakikisha usalama wa Maria,”ameandika Lissu.
View attachment 3200002View attachment 3200003
Nilimsikia akiwasemea pia ?😂😂 Awapambanie waliotekwa chini ya utawala huu nchini kwake
SasaaaaTaarifa yake iliyonukuliwa na Vyombo vya Habari hii hapa
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu ameitaka Serikali ya Kenya kuingilia kati katika madai ya kutekwa kwa mwanaharakati Maria Sarungi.
Taarifa za kutekwa kwa Maria zimesambaa leo Jumapili Januari 12, 2025 baada ya mtandao wa kimataifa wa haki za binadamu-- Amnesty International kuripoti taarifa hiyo.
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
“Maria alikuwa amekimbilia uhamishoni nchini Kenya tangu kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambapo amekuwa akiendesha televisheni ya mtandaoni ya Mwanzo TV, inayotoa maudhui ya kuunga mkono demokrasia.
“Ingawa tunatumai na kusali kwa ajili ya maisha na usalama wa Maria, ni lazima tutoe wito kwa Serikali ya Kenya na watu wote wenye nia njema kutoka duniani kote kuingilia kati, kuhakikisha usalama wa Maria,”ameandika Lissu.
View attachment 3200002View attachment 3200003
Kweni Mwalimu Nyerere wakati anaanza "harakati" za kudai Uhuru, si alikuwa akichangiwa?!Unafanya harakati hela ya nauli unagongea kwa mbowe?
Najua ilikuwa kiki Bro! Hata aliyekuwa Makamu wetu aliwahi kusema kwamba askari wa Tanzania aliyefundishwa vizuri atumie risasi 16 halafu ubaki hai! Hakuna kitu kama hicho nami nakubali hilo!Hata ile ilikuwa kiki tu, kwani unajifanya hujui mpaka leo?😀
Massawe feki habari za GeitaWaaambieni vijana waende shamba wakalime
Harakati sio jambo jepesi
Unafanya harakati hela ya nauli unagongea kwa mbowe?
Wapumbavu nyie
Wapeni vijana njia watafute maisha yao
Bwanako Mbowe tutampelekea moto aana time hiiMassawe feki habari za Geita
Gaidi MboweMaria kakosoa utawala wa magu na akawa salama!
Kamkosoa Samia Kawa salama!
Kajaribu kukosoa uenyekiti wa Mangi wamepita nae!
Uenyekiti wa CHADEMA una Nini? Kwanini kila anayejaribu kuchallenge anashughulikiwa namna hii?
Kwanini kila anayegombea uenyekiti wa Mbowe lazima aumizwe?
Kenya hakuna usalama tena.Serikali ya Kenya ikemee jambo hilo haraka na kuionya nchi inayotumia ardhi yake kuteka watu
Taarifa yake iliyonukuliwa na Vyombo vya Habari hii hapa
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lissu ameitaka Serikali ya Kenya kuingilia kati katika madai ya kutekwa kwa mwanaharakati Maria Sarungi.
Taarifa za kutekwa kwa Maria zimesambaa leo Jumapili Januari 12, 2025 baada ya mtandao wa kimataifa wa haki za binadamu-- Amnesty International kuripoti taarifa hiyo.
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
“Maria alikuwa amekimbilia uhamishoni nchini Kenya tangu kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambapo amekuwa akiendesha televisheni ya mtandaoni ya Mwanzo TV, inayotoa maudhui ya kuunga mkono demokrasia.
“Ingawa tunatumai na kusali kwa ajili ya maisha na usalama wa Maria, ni lazima tutoe wito kwa Serikali ya Kenya na watu wote wenye nia njema kutoka duniani kote kuingilia kati, kuhakikisha usalama wa Maria,”ameandika Lissu.
View attachment 3200002View attachment 3200003