Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Zamani kwenye kifurushi cha TV nilichokuwa nanunua kuna channel ilikuwa inaitwa ‘bad movies’ (literally).
Humo kulikuwa kuna cinema ukiangalia script unaweza sema imeandikwa na mtoto wa miaka kumi. Yaani kulikuwa na cinema unakuta story mbaya kweli kweli na poorly shot film, just bad movies.
Ndio hii cinema ya Maria (what a coincide) mtu anamrekodi Maria going about her business; mara vuu anatekwa tena mbele ya watu. Two hours later she if found unharmed in her house.
Si achukue passport ya upande wa mama ake, aende popote kuishi duniani anapotaka kama kachoka kuishi Kenya kuliko kutengeneza cinema mbovu ivyo.
Humo kulikuwa kuna cinema ukiangalia script unaweza sema imeandikwa na mtoto wa miaka kumi. Yaani kulikuwa na cinema unakuta story mbaya kweli kweli na poorly shot film, just bad movies.
Ndio hii cinema ya Maria (what a coincide) mtu anamrekodi Maria going about her business; mara vuu anatekwa tena mbele ya watu. Two hours later she if found unharmed in her house.
Si achukue passport ya upande wa mama ake, aende popote kuishi duniani anapotaka kama kachoka kuishi Kenya kuliko kutengeneza cinema mbovu ivyo.