Tundu Lissu aitaka Serikali ya Kenya Kuingilia kati kutekwa kwa Maria Sarungi

Haya Matamko huwa wanayatoa baada ya kuwasiliana na hizi serikali au wanaongea tu?

Lisu kawasilina na nani katika Serikali ya Kenya na kumtaka aingilie kati utekwaji wa Maria Sarungi?

Unaitakaje serikali ingilie kati kana kwamba unawafahamu watekaji?
 
Serikali ya Kenya imekataa kutumika kuua watu
hata hivyo inaonekana ni serikali dhaifu! Inakuwaje watekaji wa nchi zingine wanaingia katika ardhi yake bila kujulikana kisha wanafanya utekaji?
 
Waaambieni vijana waende shamba wakalime

Harakati sio jambo jepesi

Unafanya harakati hela ya nauli unagongea kwa mbowe?

Wapumbavu nyie

Wapeni vijana njia watafute maisha yao
hukohuko shambani harakati zinafanywa hata kama huna hela
 
mbowe ana maguvu kama ya dola? Anaweza kufanya uharamia mpaka kwenye nchi ya kigeni?
 
Najua ilikuwa kiki Bro! Hata aliyekuwa Makamu wetu aliwahi kusema kwamba askari wa Tanzania aliyefundishwa vizuri atumie risasi 16 halafu ubaki hai! Hakuna kitu kama hicho nami nakubali hilo!
maoni ya kishenzi, ujiumize kiasi cha kufa kisa kutaka kiki? Huu ni uchuro
 
Kenya hakuna usalama tena.
Yule jamaa wa Uganda kanyakuliwa kama kifaranga.
kenya imeonekana kuingiliwa na maharamia kirahisi na kufanya yao, ulinzi na usalama ni sifuri, hata magaidi huingia kirahisi
 
sasa kama hawafahamu inakuwaje uzembe wa kiusalama utokee katika ardhi yao maharamia kuingia kinyemela na kufanya yao?
 
umeambiwa aliutumia sana mtindo wa tekateka, tulia na kibwagizo chako ulichokifanya korasi
Ila c ameshakufa kitambo, ila moto uko pale pale 😂 au anafanya utekaji kwa njia ya online akiwa kaburini?
 
Lisu sasa nenda kenya uwashinikize maana wewe unasema ni siasa za mshike mshike,,,,,, fanya tuone sasa....
 
sasa kama hawafahamu inakuwaje uzembe wa kiusalama utokee katika ardhi yao maharamia kuingia kinyemela na kufanya yao?
Sasa Lisu anaposema anaitaka Serikali ya Kenya iingilie, anamaanisha nini kaongea na nani huko Serikali ya Kenya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…