Tundu Lissu aitaka Serikali ya Kenya Kuingilia kati kutekwa kwa Maria Sarungi

Mbona bado moto upo pale pale na jamaa hayupo mwaka wa tatu huu
yeye ndio muasisi wa utekaji na uibaji kura

kaacha misingi ya hivyo vitu na tutakaanavy kwa muda sana
 
yeye ndio muasisi wa utekaji na uibaji kura

kaacha misingi ya hivyo vitu na tutakaanavy kwa muda sana
Labda ulikuwa unaishi nje ya Tanzania au ulikuwa bado mdogo !
Watesi walikuwepo tu
Na mpaka sasa wapo tu !
Ni kawaida ya watu wanaoishiwa uwezo wa kushindana kwa hoja hutumia nyenzo nyingine wanazoona wao zinafaa !!
 
Shule ulienda kusomea ujinga? Jukumu la kila serikali ni kulinda usalama wa raia wake kwahiyo iwe serikali imehusika au haijahusika ni sahihi lisu kutoa tamko hilo kama umeumia nenda kizi mkazi kanywe madafu
Hahaha Lisu anatafuta kiki za kijinga sana, hizo statement wanatoa viongozi wa serikali dhidi ya viongozi wenzao, Lisu hana hata mawasilino ya Ruto, sasa ujumbe wake alimpa nani?
 
Hahaha Lisu anatafuta kiki za kijinga sana, hizo statement wanatoa viongozi wa serikali dhidi ya viongozi wenzao, Lisu hana hata mawasilino ya Ruto, sasa ujumbe wake alimpa nani?
SIku hizi kuna media mbalimbali haihitajiki uwe na namba ya simu ya ruto ili ujumbr umfikie, amka
 
Dah bc JPM katili sana 😂 Naskia nae Sativa nae alitekwa na JPM pamoja na yule mzee wa chadema aliyeshushwa kwenye bus la abiria na kuuawa 😎
Yeah, literally ni Jiwe kwa kuwa wale vibaka wake wa TISS/PT wanaendeleza yale aliyoyaasisi.
Maiti yake ichapwe viboko pamoja na kuwa imeshaoza kitambo.
 
Yeah, literally ni Jiwe kwa kuwa wale vibaka wake wa TISS/PT wanaendeleza yale aliyoyaasisi.
Maiti yake ichapwe viboko pamoja na kuwa imeshaoza kitambo.
Kwahy vibaka wake kuendeleza n kosa la jpm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…