Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ni habari katika picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandamano yamewashinda sasa mnahangaika na Tigo. Mahakama ya London sana sana itakuwa na uwezo wa kusikiliza kesi inayoihusu Millicom ambayo iko huko London na wala si vinginevyo.Ni habari katika picha:
MAKAMBI YA WANYANGANYI! WAUAJI, WAFIRAJI, WATEKAJI, WAPOTEZAJI, WABAKAJI ........and you name it all!Kwa mahakama za nje atashinda lakini kwa haya makambi ya CCM ni hakuna
Kifupi CCM ni zaidi ya shetaniMAKAMBI YA WANYANGANYI! WAUAJI, WAFIRAJI, WATEKAJI, WAPOTEZAJI, WABAKAJI ........and you name it all!
Vipi mbona hakukuona kwenye maandamano ya 23/9/2024 ukamwacha DJ na mtoto wake waandamane pekee yao?MAKAMBI YA WANYANGANYI! WAUAJI, WAFIRAJI, WATEKAJI, WAPOTEZAJI, WABAKAJI ........and you name it all!
Kwani Hana sifa?Atagombea Urais 2025?!😂😂
Kama ulivyo shetani wewe!Kifupi CCM ni zaidi ya shetani
Shetani huyu huyu aliyempandisha Yesu juu ya kilele Cha Mlima? 🐼Kifupi CCM ni zaidi ya shetani
Vipi kuna maandamano tena mengine au?Kimenuka!
Kwa heshima ya mumeo naomba nisikujibuKama ulivyo shetani wewe!
Yes shetani ana utu kuliko CCMShetani huyu huyu aliyempandisha Yesu juu ya kilele Cha Mlima? 🐼
Na mimi kwa heshima ya basha wako naomba nisikujibu mkuu!Kwa heshima ya mumeo naomba nisikujibu
Akishamilikishwa hiyo kampuni ya TIGO anaweza kuwa mwekezaji wa Kimataifa tu 😂Kwani Hana sifa?
Hutu tushikaji yaani mikwara yao ukiwa raisi legelege unakimbia ikulu chap na haraka .
Poa sister angu tupo pamojaNa mimi kwa heshima ya basha wako naomba nisikujibu mkuu!
Umeshageuka 😃😃😃Yes shetani ana utu kuliko CCM