Hilo alipingwiCCM ni hekalu la shetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo alipingwiCCM ni hekalu la shetani
Ccm wakiona Hilo andiko wanamchukia adi Mungu kwanini aandike kuhusu haki.Haki HUINUA TAIFA
Sawa, ndio kinachotakiwa. Hawa jamaa hata line yao ya simu natupilia mbali nitaki na AirtelMaandamano yamewashinda sasa mnahangaika na Tigo. Mahakama ya London sana sana itakuwa na uwezo wa kusikiliza kesi inayoihusu Millicom ambayo iko huko London na wala si vinginevyo.
Ulivyo mjinga na akili yako imefubazwa na mauwaji ya damu unafikili London ni wapuuzi Kama nyie. Pigeni simu mtoe maelekezo. Kama kwenye mzombi yenu huku.Maandamano yamewashinda sasa mnahangaika na Tigo. Mahakama ya London sana sana itakuwa na uwezo wa kusikiliza kesi inayoihusu Millicom ambayo iko huko London na wala si vinginevyo.
Ulishindwa na risasi kumuua Lisu unaweweseka na Domo. Unafikili London ni chamwino siyo. Vipi ule mpango wa kumuuwa mange umeishia wapi?.Hakuna kampuni ya Tigo wewe
Mla rushwa huyo Lisu anadhani akitishia nyau tigo watampa rushwa anyamaze
Lisu ni mla rushwa sana tu ukiona anaibua issue ooh mtashitakiwa sijui MiGA serikali anawinda rushwa toka serikalini
Alipiga yowe sana kuwa Lowassa fisadi papa CCM wakakata jina la Lowasa asiwe mgombea wa CCM kuwa mla Rushwa wakimwamini Lisu ,Lowasa alipompa pesa Lisu yeye akiwa mwanasheria wa Chadema akaidhinisha Lowasa kuwa mgombea uraisi wa Chadema akaulizwa kwa nini? Yeye kama mwanasheria baada ya kula pesa za Lowassa akasema kama CCM walimuona Lowasa fisadi mbona hawakumpeleka mahakamani? Lowassa mtu safi CCM walimuonea tu kutomteua mgombea uraisi
Lisu mla rushwa hatari.Nashangaa wazungu kumkumbatia
Hapo yeye na wakili wake mzungu wanawinda rushwa
Milicom na Tigo msihangaike na Lisu na huyo tapeli wake Wakili Amsterdam International conman lawyer
Mkahonga
Hao ni muungano wa matapeli wawinda rushwa
Kwani yeye anataka nini? Au ulidhani anataka tigo yakoMaandamano yamewashinda sasa mnahangaika na Tigo. Mahakama ya London sana sana itakuwa na uwezo wa kusikiliza kesi inayoihusu Millicom ambayo iko huko London na wala si vinginevyo.
Labda ashinde njaaKwa mahakama za nje atashinda lakini kwa haya makambi ya CCM ni hakuna
HATOGOMBEA!!Atagombea Urais 2025?!😂😂
@ssholeNa mimi kwa heshima ya basha wako naomba nisikujibu mkuu!
alipandishwa na Roho Mtakatifu ili ajaribiwe na shetani. (mjaribu wetu)Shetani huyu huyu aliyempandisha Yesu juu ya kilele Cha Mlima? 🐼
Ni kweli kabisa Neta!Kwa mahakama za nje atashinda lakini kwa haya makambi ya CCM ni hakuna
Wafi what?WAFIRAJI
Wewe ni jinga kweli!BASATA iandikishe rasmi chadema katika maswala ya drama
Si umeona Bon yai ni full utapeli wa polisi na mahakamaHumu ndani simu moja tu toka juu inamaliza kesi
Hakuna mahakama hapo zaidi ya utapeli tupuHahahaaa makambi ya ccm na kweli ndiyo maana wanuwa watu wakijua makambi ya ccm
hatari na nusuHilo alipingwi