Tundu Lissu akielekea London kuwashughulika tigo na watu wasiojulikana

Ukiutoa upuuzi wa dini, upuuzi namba 2 ni siasa, yaani humu watu wanatukanana bila hat kujuana na wengine wanavunjiana heshima bila kujua wanaowavunjia heshima ni watu wa aina gani.

Hao wanasiasa wanawatumieni ninyi kwa upumbavu wenu mnatwangana lkn wao mambo safi.

Amkeni nyie vilaza
 
Hao wengine wote kwenye picha hawajatokea kwenye maandamano
 
Ulivyo mjinga na akili yako imefubazwa na mauwaji ya damu unafikili London ni wapuuzi Kama nyie. Pigeni simu mtoe maelekezo. Kama kwenye mzombi yenu huku.
Nyumbu!
 
Sawa, ndio kinachotakiwa. Hawa jamaa hata line yao ya simu natupilia mbali nitaki na Airtel
Kwani ukitupa unafikiri watapata hasara wakati matumizi yako ni 2,000 kwa mwezi!
 
Sasa mkuu ni kitu gani umeongea utadhani hauna kichwa?

Wewe una akili kuliko Cliffords?

Hiyo akili yako ndo imetoka tigo imeenda huko Milicon.

Hujui kitu unaongea tuliza kitenesi.
Sawa nyumb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…