Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akili nyingi, alichokisema kuhusu pesa kupotea mtaani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akili nyingi, alichokisema kuhusu pesa kupotea mtaani

Prof Koboko

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
350
Reaction score
2,550
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla

Usha tembea hata nje ya nchi !!!

Nakupa fact nchi zilizo tajiri uwezi kuona mzunguko wa kijinga jinga kama unavo zani.ndio maana kwa wenzetu kuna maskini wa kutupa uku kwetu tuna subiri.

Mzunguko wa pesa ni watu kwa watu,ajira na waajilii pamoja na fursa kiufupi.

Mambo yale ya zamani pesa ije ije ijulikani wapi hakuna sasa.fanya kazi tafuta fursa pesa hipo.ukienda kwa wenzetu ndo utakapo jua wewe ni wa mwisho kuanzia akili,kuongea mpaka fursa una jipya
 
Kama unamuona tundu akili nyingi, basi nina wasi wasi na intelligence yako, ...
Mwenye akili ndogo kama wewe uliyezoea kuimba mapambio ya Polepole a.k.a Babu huwezi elewa hoja za Lissu. Siku nyingi muwe na Shabaha ya kupiga Risasi usumbufu wote huu msingeupata...
 
Usha tembea hata nje ya nchi !!!

Nakupa fact nchi zilizo tajiri uwezi kuona mzunguko wa kijinga jinga kama unavo zani.ndio maana kwa wenzetu kuna maskini wa kutupa uku kwetu tuna subiri.

Mzunguko wa pesa ni watu kwa watu,ajira na waajilii pamoja na fursa kiufupi.

Mambo yale ya zamani pesa ije ije ijulikani wapi hakuna sasa.fanya kazi tafuta fursa pesa hipo.ukienda kwa wenzetu ndo utakapo jua wewe ni wa mwisho kuanzia akili,kuongea mpaka fursa una jipya
We utumizi akili sawa sasa. Hizo ajira zitoke wapi? Matrilioni yanaenda Uturuki huoni?
Maduka ya biashara yanayofungwa huoni au umefumba macho?
 
Mwenye akili ndogo kama wewe uliyezoea kuimba mapambio ya Polepole a.k.a Babu huwezi elewa hoja za Lissu. Siku nyingi muwe na Shabaha ya kupiga Risasi usumbufu wote huu msingeupata...
Achana na buku 7 wa Lumumba huyo
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla
Dili bado zipo ila wanaopiga ni wasukuma tu. Mayanga Construction & co
 
Kwani mkuu.. hiyo "hifadhi ya kutosha ya fedha za kigeni" anayotutaka mkuu kila "siku kutembelea kifua mbele" na kuwa inaweza "kufanya manunuzi ya nje kwa miezi 6" wewe unaielewaje?

Nadhani wewe ndio unahitaji darasa la nchi inavyoendeshwa
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla
Yaah!
Angekuwa anawapa TBA au SUMA JKT hela ingekuwepo mitaani
 
We utumizi akili sawa sasa. Hizo ajira zitoke wapi? Matrilioni yanaenda Uturuki huoni?
Maduka ya biashara yanayofungwa huoni au umefumba macho?

Uchumi uendeshwi na serekali ila serekali inaweza kusimamia uchumi.mifumo ya mizunguko tulikuwa tumeaharibu wenyewe na kufanya tuamini mzunguko lazima utoke serekalini uje kwetu.si kweli

Kuna sentesi hii

Serekali inaweza kuwa na pesa ila wananchi wakawa hawana pesa.

Wananchi wanaweza kuwa na pesa ila serekali ikawa haina pesa.
 
Kama unamuona tundu akili nyingi, basi nina wasi wasi na intelligence yako, ...
Kam unabisha Nina wasi wasi Sana na kichwa chako...TL Ni kichwa ndio maana Kuna watu wanateseka !
One against Milions +mifumo
 
Mimi nafikiri kama $ zinahitajika nchi huwa zinachukua mikopo nje na sio kubadili kwa hela za ndani
Haihitaji rocket science kujua hayo
 
Usha tembea hata nje ya nchi !!!

Nakupa fact nchi zilizo tajiri uwezi kuona mzunguko wa kijinga jinga kama unavo zani.ndio maana kwa wenzetu kuna maskini wa kutupa uku kwetu tuna subiri.

Mzunguko wa pesa ni watu kwa watu,ajira na waajilii pamoja na fursa kiufupi.

Mambo yale ya zamani pesa ije ije ijulikani wapi hakuna sasa.fanya kazi tafuta fursa pesa hipo.ukienda kwa wenzetu ndo utakapo jua wewe ni wa mwisho kuanzia akili,kuongea mpaka fursa una jipya
Nchi gani hiyo mkuu huko nje ambako wastani wa kipato cha watu wao ni USD 1080.00 kwa mwaka na bado wanashangilia kama sisi?
 
Back
Top Bottom