Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akili nyingi, alichokisema kuhusu pesa kupotea mtaani

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akili nyingi, alichokisema kuhusu pesa kupotea mtaani

Kama ujua Lissu anajua masuala ya katiba, Basi wewe ni Moja ya watu wasioijua katiba ya nchi yao.
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla
Huo ni ujinga mtupu nani kakwambia pesa hakuna pesa huna wewe wenzio wanazo tatizo ufanye kazi wapo watu wengi wanamapesa kibao acha kusemea watu watanzania wanaelewa pesa zipo hazijapotea tumepewa fursa kuzitafuta kwa kufanya kazi
 
Mbona hili jambo rahisi tu. Mfano kama inajengwa nyumba mtaani kwako na tuseme inahusisha mafundi na vibarua 20 na wastani wa malipo ni shs 20000 kwa kila mtu kwa siku ujue hapo mtaani mzunguko wa pesa utaongezeka. Mama ntilie watauza chakula zaidi. Wauza mboga watauza zaidi watoto wa shule watapata poketi mane sona na msji nk.nk.
Ikiwa mafundi wataleywa na magari na vyakula na vifaa vya ujenzi ujue mta huo utaendelea kuwa na shida ya pesa.
Kama nchi ni miradi mikubwa ya matrilioni lakini vifaa vinatoka nje, wataalamu wanatoka nje na malipo ni kwa hela za kigeni ujue pesa nyingi hazitakuwa katika mzunguko kwani zitaenda nje. Zitabaki tu za vibarua ambazo si nyingi.
Point ya Lissu ni kwamba makampuni ya ndani yakipewa kazi na sehemu kubwa ya material ikitoka ndani na malipo yakiwa kwa fedha za ndani ujazi wa pesa utaongezeka na mzunguko kuwa mkubwa.
Wengine mmekalia kupinga kiuwehu tu!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Usha tembea hata nje ya nchi !!!

Nakupa fact nchi zilizo tajiri uwezi kuona mzunguko wa kijinga jinga kama unavo zani.ndio maana kwa wenzetu kuna maskini wa kutupa uku kwetu tuna subiri.

Mzunguko wa pesa ni watu kwa watu,ajira na waajilii pamoja na fursa kiufupi.

Mambo yale ya zamani pesa ije ije ijulikani wapi hakuna sasa.fanya kazi tafuta fursa pesa hipo.ukienda kwa wenzetu ndo utakapo jua wewe ni wa mwisho kuanzia akili,kuongea mpaka fursa una jipya
Namtumbo huko ukute hata msumbiji hujawahi kufika unaongea ugoro hapa kwa wenzetu part time job zipo za kutosha kwa sababu ya mzunguko mzuri wa hela, huku kwetu hata kazi za saidia fundi sikuhizi ni ishu kuzipata
 
Lissu ni great thinker., yule mtu upande ule hashauriki alifikiria kununua ndege hakufikiria watu watakula nini
 
Uchumi uendeshwi na serekali ila serekali inaweza kusimamia uchumi.mifumo ya mizunguko tulikuwa tumeaharibu wenyewe na kufanya tuamini mzunguko lazima utoke serekalini uje kwetu.si kweli

Kuna sentesi hii

Serekali inaweza kuwa na pesa ila wananchi wakawa hawana pesa.

Wananchi wanaweza kuwa na pesa ila serekali ikawa haina pesa.
Kama ulisoma uchumi basi elewa pesa za wazazi/walezi wako au watanzania zilienda na maji
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla
Huyu mwamba ni kiboko. He is very Bold.
 
Kwani mkuu.. hiyo "hifadhi ya kutosha ya fedha za kigeni" anayotutaka mkuu kila "siku kutembelea kifua mbele" na kuwa inaweza "kufanya manunuzi ya nje kwa miezi 6" wewe unaielewaje?

Nadhani wewe ndio unahitaji darasa la nchi inavyoendeshwa
Nadhani Hajui Kuwa Umoja, Upendo, Mshikamano Upo Kwasababu Ya Uoga Wetu Watanzania, Mwaka Ambao Tutaondoa Nidhamu Ya Uoga Na Kuwachagua Viongozi Tunaowataka Na Kuhakikisha Tunawasimamia Wanapatikana Hayo Maneno Tunayaweka Pembeni Kwanza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usha tembea hata nje ya nchi !!!

Nakupa fact nchi zilizo tajiri uwezi kuona mzunguko wa kijinga jinga kama unavo zani.ndio maana kwa wenzetu kuna maskini wa kutupa uku kwetu tuna subiri.

Mzunguko wa pesa ni watu kwa watu,ajira na waajilii pamoja na fursa kiufupi.

Mambo yale ya zamani pesa ije ije ijulikani wapi hakuna sasa.fanya kazi tafuta fursa pesa hipo.ukienda kwa wenzetu ndo utakapo jua wewe ni wa mwisho kuanzia akili,kuongea mpaka fursa una jipya
LOOoo, wewe maelezo yako ni ya kichizi kweli. Hata mwenyewe huelewi ulichoandika hapa, na bado unategemea watu wakuelewe?
 
We utumizi akili sawa sasa. Hizo ajira zitoke wapi? Matrilioni yanaenda Uturuki huoni?
Maduka ya biashara yanayofungwa huoni au umefumba macho?
Huyo mchumia tumbo, usipate shida naye. Mlamba viatu hayo yote anajifanya haoni hayo. Na pengine anakaa kwa shemeji yake
 
We utumizi akili sawa sasa. Hizo ajira zitoke wapi? Matrilioni yanaenda Uturuki huoni?
Maduka ya biashara yanayofungwa huoni au umefumba macho?
Kaangalie simenti yote inayojenga inanunuliwa Tanzania,kokoto zote za reli zinanunuliwa Tanzania.Wafanyakazi wa kituruki hawafiki hata asilimia mbili ya wafanyakazi wa Tanzania ,Nondo zote zinanunuliwa Tanzania viwanda vya Tanzania unaposema ajira zitoke wapi hujielewi
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI[/US
[/QUOTE]
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla
tumeelewana
 
Mbona hili jambo rahisi tu. Mfano kama inajengwa nyumba mtaani kwako na tuseme inahusisha mafundi na vibarua 20 na wastani wa malipo ni shs 20000 kwa kila mtu kwa siku ujue hapo mtaani mzunguko wa pesa utaongezeka. Mama ntilie watauza chakula zaidi. Wauza mboga watauza zaidi watoto wa shule watapata poketi mane sona na msji nk.nk.
Ikiwa mafundi wataleywa na magari na vyakula na vifaa vya ujenzi ujue mta huo utaendelea kuwa na shida ya pesa.
Kama nchi ni miradi mikubwa ya matrilioni lakini vifaa vinatoka nje, wataalamu wanatoka nje na malipo ni kwa hela za kigeni ujue pesa nyingi hazitakuwa katika mzunguko kwani zitaenda nje. Zitabaki tu za vibarua ambazo si nyingi.
Point ya Lissu ni kwamba makampuni ya ndani yakipewa kazi na sehemu kubwa ya material ikitoka ndani na malipo yakiwa kwa fedha za ndani ujazi wa pesa utaongezeka na mzunguko kuwa mkubwa.
Wengine mmekalia kupinga kiuwehu tu!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Nitajie mradi wowote mkubwa hapa nchini ambao ulifanywa na makandarasi wazawa na hivyo hela kubaki nyingi hapa nchini tangu wakati wa Kambarage hadi Jakaya. Sio kila kitu anachosema huyo msema uongo wenu Tundu ni kweli ndio maana anafungiwa na tume ya uchaguzi kwa kusema uongo. Siyo mara ya kwanza katika nchi hii hela kuadimika mitaani. Nakumbuka wakati Rais Mkapa anaingi Madarakani mwaka 1995 alijitahidi sana kubana matumizi ya serikali na kubana mianya ya ubadhirifu wa fedha katika taasisi za umma na rasilimali za nchi. Hali hiyo ilipelekea hela kupatikana kwa jasho hadi watu wakaibatiza hiyo hali ya kutopatikana pesa kiurahisi jina la UKAPA.

Tukumbuke kwamba Mkapa alipoingia madrakani alikuta hazina nyeupe kabisa maana Mzee Ruksa (Mwinyi) alikuwa ameachia mambo yaende holela holela na hivyo kupelekea serikali kutokusanya mapato ya kutosha. Ilifikia kipindi watu binafsi wakawa na hela za kufuru mtaani huku serikali ikiwa hoi bini taabani kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya watumishi wa umma kwa wakati likiwemo jeshi la wananchi.

Pia tukumbuke kabla rais Magufuli hajaingia madarakani serikali chini ya Jakaya Kikwete ilikuwa imelemewa na ubadhirifu wa mali za umma karibia kila sekta na pia kukithiri kwa biashara haramu ya meno ya tembo na madawa ya kulevya na hivyo kufanya mzunguko wa fedha kuwa mkubwa mtaani. Mzunguko wa namna hii ambao hautokani na uzalishaji katika nchi bali ubadhilifu na wizi wa mali za umma na mambo mengine maovu huwa ni mzungukao wa bandia wa fedha.

Ndio maana alipoingia JPM na kubana kidogo tu hiyo mianya ya ubadhirifu tayarai hali ikaanza kuonekana kwamba mzunguko wa fedha mtaani umepungua. Ni kweli mzunguko wa fedha umepungua kulinganisha na kipindi cha Jakaya cha mzunguko wa fedha ambao ni mzunguko Bandia. Huwezi kuwa na mzunguko wa fedha endelevu kwa kuachia ubadhirifu na matendo ya wizi na ufisadi wa mali za umma na raslimali za nchi wakati uzalishaji ni mdogo. Na mara nyingi sana huo mzunguko bandia wa fedha mtaani huwa unafanya watu wasijitume sana katika shughuli za uzalishaji mali na hata maofisini maana fedha inakuwa inapatikana kiurahisi sana na hivyo kufanya watu wawe wavivu na wazembe wa kufanya kazi.
 
Usha tembea hata nje ya nchi !!!

Nakupa fact nchi zilizo tajiri uwezi kuona mzunguko wa kijinga jinga kama unavo zani.ndio maana kwa wenzetu kuna maskini wa kutupa uku kwetu tuna subiri.

Mzunguko wa pesa ni watu kwa watu,ajira na waajilii pamoja na fursa kiufupi.

Mambo yale ya zamani pesa ije ije ijulikani wapi hakuna sasa.fanya kazi tafuta fursa pesa hipo.ukienda kwa wenzetu ndo utakapo jua wewe ni wa mwisho kuanzia akili,kuongea mpaka fursa una jipya
Huko kwa wenzetu ndio wapi huko?punguza mbwembwe kiongozi,hii isue ya pesa kuadimika tatizo ni mipango isio na chambuzi za kiuchumi.Sasa kama umeingia madarakani cement kwa mikoa ya pwani ilikua 12500-13000 leo cement ni 15000 lakini mishahara haiajaongezwa huoni kwamba huku ni kutesa wananchi?
Na hapa ndipo kwenye shida kwani utawala huu raisi yeye ndio waziri wa kila wizara anawaamulia kibabe matokeo ndio haya.
 
Mitaani duuuu au wengine mko sayari nyingine - huku mambo yako poua (tumeuza mhogo tshs 250/kgm, pamba tshs 900/kgm, kahawa, chai, korosho) nk nk mzunguko wa fedha ni mzuri saaana

Tumetoa ajira za ualimu 13,000 ( mambo safi)
 
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi.

UNAJUA ALISMAJE?
Lissu alisema kua pesa zimeadimika mtaani siyo eti kwa porojo za CCM kwamba dili hakuna, alisema kua pesa zimeadimika mtaani ni kwa sababu serikali inafanya mamiradi makubwa bila tathmini ya kiuchumi inawapa wakandarasi kutoka nje na inapoanza kuwalipa inawalipa kwa USD kama yalivyo makubaliano ya kimkataba, kwahiyo ili umlipe mtu in terms of USD inabidi ufanye Exchange ya pesa zetu za madafu.

Kwahiyo inabidi utoe pesa nyingi za madafu ili ununue USD na hii ndiyo tafsiri ya pesa kupotea mtaani.

Achaneni na porojo na upotoshaji unaofanywa na CCM eti Pesa zimepotea kwa sababu dili hakuna.

Lissu Mungu amejaaliwa kipawa kikubwa sana cha akili ameoneshwa uwezo mkubwa sana kuliko JPM tumpe nchi kama alivyosema jamaa yangu PASKALI Mayalla
Kweli Lissu atakuwa rais mzuri sana na atarudisha uchumi na demokrasia iliyopotea.
 
Warudishe semina,warsha etc,,hela iliadimika semina zilipopigwa stop,,hotel,gest,bar,wachoma chips hawapati hela,wauza nyanya za kachumbari ya kulia mishikaki hawapati hela,kadri watu wanavyopata pesa msunguko unakuwa stimulated na unasisimua uwekezaji zaidi na hivyo walipa kodi huongezeka na hivyo serikali huongeza kipato
 
Back
Top Bottom