Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akipitishwa kugombea na chama chake, asitume hii kauli mbiu kwani tayari kuna mtu ameshaiharibu na imeshakosa mvuto kwa watanzania wengi

Yaani, ukiwa na chakula cha kukutosha mwaka mzima - mara hiyo ni sababu ya kumcheza binti yako! Ngoma itamaliza chakula hicho kwa siku tatu na utakufa njaa siku si nyingi!
 
Huyu kwenye picha ndio lisu? Huyu mchoraji atakuwa ccm sio bure
 
Kwa hiyo Tanzania mwenye mshahara ni yeye peke yake

Muulize aliyetaka jibu

Ila kama una akili timamu,kusuggest lockdown wakati 70% wanategemea kipato cha siku was insane

Jamii imewapotezea cdm

Lazima uwe unavuta bangi kuamini matokeo tofauti
 

Nimefurahia comment yako

Ukiitumia reserve hauwezi kuirudisha kirahisi

Dunia nzima uchumi utakiwa chini kwa miaka 6 ijayo
 
Atagombea Urais akiwa Ubeligiji kama alivyogombea Umakamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa?
 
Nimefurahia comment yako

Ukiitumia reserve hauwezi kuirudisha kirahisi

Dunia nzima uchumi utakiwa chini kwa miaka 6 ijayo

The opposite is True:

Kwa mujibu wa World bank kiwango cha umasikini Tanzania ni only 26. 4%

Kwa hiyo kumbe serikali hata ingeweka lockdown, Majority (about 73.6%) wangeweza kujimudu kwa msosi, Serikali yenyewe ingesaidia wachache tu wasiojiweza wasiozidi hiyo 26%

Cheki hizi facts kwenye attachment:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…