Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mshindi 2025 anajulikana na NEC, NEC inasubiri kumtangaza tu uchaguzi ni maigizo tupuNdio uzuri wa Chadema mnashangilia nyomi badala ya Ushindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshindi 2025 anajulikana na NEC, NEC inasubiri kumtangaza tu uchaguzi ni maigizo tupuNdio uzuri wa Chadema mnashangilia nyomi badala ya Ushindi
Mbunge mmoja tena mke wa kada wa CCMKwani chadema huwa haishindi
Ukweli mchunguMshindi 2025 anajulikana na NEC, NEC inasubiri kumtangaza tu uchaguzi ni maigizo tupu
Hata nyie UWT mtaishia viti maalumuUkweli mchungu
Nyie gombeeni viti maalumu tu
Sawa bwana Nape.Tundu Lisu alipata fursa 2020 akaipoteza
Chadema haitoi fursa mara mbili
2025 ni zamu ya J J Mnyika
Wananchi hatutakubaliNchi hii kushinda uchaguzi na kupewa madaraka ni vitu viwili tofauti. Huyo Lissu kwa jinsi alivyouongelea muungano, hawezi kupewa madaraka.
19 tutawagawia nyie BawachaHata nyie UWT mtaishia viti maalumu
Kaa nao UWT19 tutawagawia nyie Bawacha
Wananchi hatutakubali
Ukweli mtupu, ccm ebu badilikeni halafu wengi mnaishi maisha magumu kuliko vijana au wananchi wasio kuwa ccm. Mnaishi maisha ya kuombaomba tu kama mbwa badilikeni wote tutafute Katiba mpya kuliokoa taifaKwa hili la Mkandara naomba Mungu amtie nguvu Lisu arudi ili kuitafuta katiba mpya.
Lisu akiridi Katiba tutaipata kwa njia yoyote kwani sijamwona na simwoni Mwanaccm mwenzangu wakuweza kuzuia harakati zake tukumbuke tukimweka jela ni bure kwani wakati ujibiwe na wakati.
Tuache uchama kwa hili hata shina langu lole halitakubali tena kutumika kama daraja la kuvukia.
Kwenye maisha ya watu tuweke uchama pembeni
Sasa nyie mtaishije hapo ufipa st?Kaa nao UWT
Hatauwa woteZanzibar wanaopinga matokeo ya uchaguzi wanauliwa, wanatiwa vilema, na mengine mengi tuu. Na nyie jaribuni myaone.
Muda ni rafiki mzuri sana.Zanzibar wanaopinga matokeo ya uchaguzi wanauliwa, wanatiwa vilema, na mengine mengi tuu. Na nyie jaribuni myaone.
Mm kwa hili sina mjadala kabisa kwani katiba mpya ni wakati wake.Ukweli mtupu, ccm ebu badilikeni halafu wengi mnaishi maisha magumu kuliko vijana au wananchi wasio kuwa ccm. Mnaishi maisha ya kuombaomba tu kama mbwa badilikeni wote tutafute Katiba mpya kuliokoa taifa
Tutashitakiwa MIGA!Akija mwaka huu atashinda ila akija mwezi mmoja kabla ya uchaguzi imekula kwake [emoji1787]
Mm kwa hili sina mjadala kabisa kwani katiba mpya ni wakati wake.Ukweli mtupu, ccm ebu badilikeni halafu wengi mnaishi maisha magumu kuliko vijana au wananchi wasio kuwa ccm. Mnaishi maisha ya kuombaomba tu kama mbwa badilikeni wote tutafute Katiba mpya kuliokoa taifa