Tutashitakiwa MIGA!Akija mwaka huu atashinda ila akija mwezi mmoja kabla ya uchaguzi imekula kwake [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutashitakiwa MIGA!Akija mwaka huu atashinda ila akija mwezi mmoja kabla ya uchaguzi imekula kwake [emoji1787]
Wataongea nini kila kitu kipo kwenye mstari. Sasa ivi wanajificha kwenye kichaka Cha maridhiano lakini kiukweli hawana ajengaLipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.
Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.
Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.
Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.
View attachment 2326176
Mwambie arudi kwani hautaki Urais?Lipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.
Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.
Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.
Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.
View attachment 2326176
Yupo Hilda NewtonSasa nyie mtaishije hapo ufipa st?
Jamaa ana nyota na anapendwa na wananchi,,Kweli tupu, wananchi wanapenda sn zile amsha amsha zake
Arudi mapema aanzeJamaa ana nyota na anapendwa na wananchi,,
Iam sure atarudi nakama atakaza shingo basi ni kiburiArudi mapema aanze
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Jamaa ana nyota na anapendwa na wananchi,,
Ivi kumbe, nikajua wanajificha kwenye vichaka kumlamba Dada akoWataongea nini kila kitu kipo kwenye mstari. Sasa ivi wanajificha kwenye kichaka Cha maridhiano lakini kiukweli hawana ajenga
Mzee haamini kuwa mwamba anapumua dadeki [emoji23][emoji23][emoji23]
Waambie sasa wakupe sera zao,ni vituko 🤣🤣Samia Suluhu hana mpinzani come 2025. Mungu amjalie afya tu.
Inaitwa mob psychology,vijana wakihemka basi Chadomo wanajua ndio ushindi 😜😜Ndio uzuri wa Chadema mnashangilia nyomi badala ya Ushindi
Kwa sera zipi hasa? Nitajie hata moja.Tundu Lissu naamini bado anauzika kwa watanzania, lakini pia niwe mkweli, ile michango yake bungeni ni kitu nilichoki-miss zaidi toka kwake, uwepo wake bungeni ni wa muhimu sana.
Kwangu napenda zaidi kumuona Lissu akigombea ubunge kuliko Urais, ile miaka mitano bungeni kwake italisaidia zaidi hili taifa kuliko kugombea urais halafu Tume ije kufanya yale mambo yake yaliyozoeleka.
Nikiangalia 2025 kule majimboni naamini patakuwepo na nafasi kubwa zaidi ya wapinzani kushinda, na sidhani kama patakuwepo na zile rafu za makusudi walizochezewa 2020.
Hali hii itawarudishia wengi tumaini la kurudi kwenye majimbo yao ya awali wakaanzie pale walipoishia, ukiongezea na pressure toka nje kuhusu kukuza demokrasia toka kwa wafadhili, naona jamaa zangu wataachia baadhi ya majimbo hasa zile ngome za upinzani ili kudumisha urafiki na wafadhili.
Samia amejua kuwaweza.. Watakwambia serikali ina matumizi makubwa mara ya hovyo..Wataongea nini kila kitu kipo kwenye mstari. Sasa ivi wanajificha kwenye kichaka Cha maridhiano lakini kiukweli hawana ajenga
Huyu Mwamba hata Rais Samia anamkubali.Lipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.
Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.
Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.
Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.
Watanzania hawahitaji pesa za serikali wawekewe mifukoni. Wanataka mifumo ya haki na uwajibikaji. Kula wanajitafutia.Ana nini cha kuwapa wa watanzania?
Au unazungumzia biashara za kisiasa?
Akikujibu nitagKwani chadema huwa haishindi