Tundu Lissu akirudi mwaka huu kuanza harakati za kisiasa 2025, anashinda

Tundu Lissu akirudi mwaka huu kuanza harakati za kisiasa 2025, anashinda

Lipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.

Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.

Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.

Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.

View attachment 2326176
Wataongea nini kila kitu kipo kwenye mstari. Sasa ivi wanajificha kwenye kichaka Cha maridhiano lakini kiukweli hawana ajenga
 
Lipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.

Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.

Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.

Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.

View attachment 2326176
Mwambie arudi kwani hautaki Urais?
 
ELIAH_NGASE%F0%9F%85%B0_on_Instagram%3A_%E2%80%9CNiyeye!!!!%E2%80%9D%22_.jpg
 
Tundu Lissu naamini bado anauzika kwa watanzania, lakini pia niwe mkweli, ile michango yake bungeni ni kitu nilichoki-miss zaidi toka kwake, uwepo wake bungeni ni wa muhimu sana.

Kwangu napenda zaidi kumuona Lissu akigombea ubunge kuliko Urais, ile miaka mitano bungeni kwake italisaidia zaidi hili taifa kuliko kugombea urais halafu Tume ije kufanya yale mambo yake yaliyozoeleka.

Nikiangalia 2025 kule majimboni naamini patakuwepo na nafasi kubwa zaidi ya wapinzani kushinda, na sidhani kama patakuwepo na zile rafu za makusudi walizochezewa 2020.

Hali hii itawarudishia wengi tumaini la kurudi kwenye majimbo yao ya awali wakaanzie pale walipoishia, ukiongezea na pressure toka nje kuhusu kukuza demokrasia toka kwa wafadhili, naona jamaa zangu wataachia baadhi ya majimbo hasa zile ngome za upinzani ili kudumisha urafiki na wafadhili.
Kwa sera zipi hasa? Nitajie hata moja.

Mkijitahidi ni wabunge ndio mtaongeza idadi tuu.
 
Wataongea nini kila kitu kipo kwenye mstari. Sasa ivi wanajificha kwenye kichaka Cha maridhiano lakini kiukweli hawana ajenga
Samia amejua kuwaweza.. Watakwambia serikali ina matumizi makubwa mara ya hovyo..

Unfortunately Hata hiyo kiki Rais Samia anaenda kuishughulikia Tena kwa kusema kabisa Kwamba anakusudia kukata matumizi ya mafuta, vipuri na magari kutoka bil.550 kwa mwaka hadi yabakie bil.50 tuu..
 
Lipo wazi kwa sasa hawa wapinzani wetu wapo kimya kizito sana, bila shaka Kuna ajenda na makubaliano waliwekeana maana haiwezekani wote kwa mkupuo wakae kimya kwanzia mwenyekiti, tundu lissu, God bless Lema, mnyika jj, na wengine vinara wa sauti za mpasuko achana na hawa watoto wadogo twaha na John. Bila shaka kama kuna nafasi adhimu na golden kwa Tundu lissu basi ni Sasa.

Akirudi bongo Kuna uchafu mwingi ataongea nahata yamaliza. Wananchi wenyewe hawataki hata kumwona huyu mama. Tundu lissu bila shaka mafao uliyopewa na ujio wa mama ubelgiji umekufanya kuwa mwenye hofu maana taasisi ya Rais ikiwa rafiki na mpinzani kuchomoka kwenye uringo ni ngumu sana ila jitahidi kujizima data ingia kwenye mapambano yakuisaka demokrasia kama kipindi cha jiwe.

Ukija Anza na Sakata la bei ya mafuta utoe wote walio nyuma ya hili, sekta ya Habari na mawasiliano Kuna madudu ambayo hata mimi nayajuwa ukija nitakuja kukunong'oneza, matozo za upigaji na kufukuzwa kwa chinga ni big mistake kwa ccm chukua kama fursa ya ushindi wa kisiasa.

Hakuna na simuoni mwingine kwa Sasa zaidi ya Lissu Tundu Antiphas. John Heche ana msimamo mizito ila hana Habari na flow of secrets from the government officials kama alizonazo tundu lissu, pia hana ushawishi wenye mikito ya kisiasa kama Tundu Lissu. Tu najua wananchi unatupambania mno ila tunakuangusha lakini chondechode tunakuomba uje saizi utengeneze safari yako ya mafanikio.

Huyu Mwamba hata Rais Samia anamkubali.

Achana na wachumia tumbo wachache wanaomwogopa.
 
Naunga mkono hoja kutokana na ninachokiona mtaani. Huwa sichangii neno ila naobserve kwa kusikia na kulinganisha wengi wanasemaje kwa utawala uliopo. 2025 kama kweli itatendeka haki basi itakuwa aibu kwa chama X. Ukijua kuliteka jukwaa kwa kauli thabiti wakati wa kampeni unazo % fulani za kura achilia mbali background yako. Ukiongea speech nzima unashangiliwa na kikundi cha hamasa tu basi ujue kuna tatzo mahala.
 
Back
Top Bottom