Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Balaa hili. TAL kaja na kasheshe.
The cartoon reflects the reality. The opposition should be brilliant and ruthless to win the war.
Good. I love it.
Hii ndiyo laana inayoitafuna CCM.Angalia hii hadi mwisho
View attachment 1606586
Lissu ndiye chaguo la watanzaniaHabari za Jioni wana Nzengo!
Sasa iko wazi kutokana na umahiri, uwezo, nia na ari aliyonayo Mh Tundu Lissu Mgombea wa Chama cha Demokrasia na maendeleo ktk ngazi ya Urais atashinda uchaguzi huu.
Mbingu na Ardhi vimethibitisha hilo. Kwani kila anapopita ni shangwe na vigelegele kwa kuwa ni wazi Tundu akishinda ni Tanzania imeshinda.
Tundu Lissu akishinda ni watanzania wameshinda kwani wataondokana na utawala kandamizi wa kutunga sharia za kikoloni, kujilimbikizia mali, utawala usiozingatia sheria, ufujaji wa mali za umma na upendeleo kwenye ngazi mbali mbali za maamuzi ikiwemo mahakama na bunge.
Ni tanzania itakuwa imeshinda kwani ana dhamira ya dhati ya kutokomeza umaskini na changamoto zingine za maisha. Uwezo wake na historia yake havina shaka juu ya hili.
Ukifatilia namna Tundu Lissu alivyokuwa toka utoto wake hadi leo hajawahi kupita njia nyepesi kwenye mafanikio yake. Kila alipopita alikutana na vizingiti na njia yenye mawaa tele. Hata hivyo hakuwahi kukata tamaa siku zote amekuwa mshindi.
Mifano iko mingi, amewahi kushitakiwa mahakama mbalimbali kwa makosa mbali mbali zaidi ya 1000 lakini hata moja hakuwahi kukutwa na hatia.
Amewahi kusimamia kesi za wanyonge zaidi ya 500 hata moja hajawahi kushindwa kusimamia haki zao.
Tundu amewahi kushtakiwa ktk kesi ya ushindi wa ubunge wake alipokata Rufaa akalejeshewa ubunge wake.
Lissu aliwahi kupigwa risasi takribani arobaini, chini ya nusu yaani 16 tu ndio zilifanikiwa kufika kwenye mwili wake huku zingine ziki- repel. Hata hizo 16 hakuna hata moja iligusa cephalo body (kichwani) na hakuna hata moja ilileta kifo kwake. Wakati hata tembo au Mbogo wanyama wenye mguvu na mwili mkubwa wakipigwa risasi moja tu hawaamki tena.
Tundu Lissu ilikadiriwa kuwa hataweza kugombea kutokana navizingiti alivyokwisha andaliwa kumzuia asipate fursa hiyo. Pamoja na NEC, Mahakama, polisi na idara zingine za dola kutia jambajamba kila mahali mwisho wa siku alifanikiwa kupata wadhamini elfu 2000 alioweza kuonana nao physically uso kwa uso nchi nzima ndani ya wiki moja(ndio mgombea pekee alitimiza vigezo vya neck (sorry NEC)
Ikafika siku ya kurejesha fomu alizinguliwa kiasi ikatarajiwa huenda NEC pale dodoma wasipokee fomu zake, hadi jioni sana saa 12 ndio zikapokelewa.
Siku ya kupokea matokea ya NEC Lissu alikalishwa ofsi za NEC tar 26 August hadi saa nne usiku ili hali wagombea wengine Lipumba na Magufuli ilichukua dakika chini ya 30 kupitishwa.
Hata hivyo mambo hayakuishia hapo. Polisi na Mkurugenzi waliendelea kuvurumusha vitisho vya hapa na pale ili kukatisha tamaa hatima yake kadri walivyo mzuia ndivvyo nyota yake ilizidi kung'ara
Kwa sasa wooote nchi nzima ikiwemo na vyombo vya dola vimeshakubali yaishe. Maana ameshashinda kabla ya uchaguzi.
Nini tufanye!! Tusiogope eti hatatangazwa! Hicho kitu hakipo. Tujiandae ushindi Mgumu sana october 28.
Ebwanaeeh! Hakuna goli tamu kama la kuhangaikia na kukaba.
Chadema Safiiiiiiiiiii!
Tundu Lissu akishinda Nchi Imeshinda Afrika imeshinda.
Nyerere wa sasa amerudi
View attachment 1606538
Naunga mkono hojaHabari za Jioni wana Nzengo!
Sasa iko wazi kutokana na umahiri, uwezo, nia na ari aliyonayo Mh Tundu Lissu Mgombea wa Chama cha Demokrasia na maendeleo ktk ngazi ya Urais atashinda uchaguzi huu.
Mbingu na Ardhi vimethibitisha hilo. Kwani kila anapopita ni shangwe na vigelegele kwa kuwa ni wazi Tundu akishinda ni Tanzania imeshinda.
Tundu Lissu akishinda ni watanzania wameshinda kwani wataondokana na utawala kandamizi wa kutunga sharia za kikoloni, kujilimbikizia mali, utawala usiozingatia sheria, ufujaji wa mali za umma na upendeleo kwenye ngazi mbali mbali za maamuzi ikiwemo mahakama na bunge.
Ni tanzania itakuwa imeshinda kwani ana dhamira ya dhati ya kutokomeza umaskini na changamoto zingine za maisha. Uwezo wake na historia yake havina shaka juu ya hili.
Ukifatilia namna Tundu Lissu alivyokuwa toka utoto wake hadi leo hajawahi kupita njia nyepesi kwenye mafanikio yake. Kila alipopita alikutana na vizingiti na njia yenye mawaa tele. Hata hivyo hakuwahi kukata tamaa siku zote amekuwa mshindi.
Mifano iko mingi, amewahi kushitakiwa mahakama mbalimbali kwa makosa mbali mbali zaidi ya 1000 lakini hata moja hakuwahi kukutwa na hatia.
Amewahi kusimamia kesi za wanyonge zaidi ya 500 hata moja hajawahi kushindwa kusimamia haki zao.
Tundu amewahi kushtakiwa ktk kesi ya ushindi wa ubunge wake alipokata Rufaa akalejeshewa ubunge wake.
Lissu aliwahi kupigwa risasi takribani arobaini, chini ya nusu yaani 16 tu ndio zilifanikiwa kufika kwenye mwili wake huku zingine ziki- repel. Hata hizo 16 hakuna hata moja iligusa cephalo body (kichwani) na hakuna hata moja ilileta kifo kwake. Wakati hata tembo au Mbogo wanyama wenye mguvu na mwili mkubwa wakipigwa risasi moja tu hawaamki tena.
Tundu Lissu ilikadiriwa kuwa hataweza kugombea kutokana navizingiti alivyokwisha andaliwa kumzuia asipate fursa hiyo. Pamoja na NEC, Mahakama, polisi na idara zingine za dola kutia jambajamba kila mahali mwisho wa siku alifanikiwa kupata wadhamini elfu 2000 alioweza kuonana nao physically uso kwa uso nchi nzima ndani ya wiki moja(ndio mgombea pekee alitimiza vigezo vya neck (sorry NEC)
Ikafika siku ya kurejesha fomu alizinguliwa kiasi ikatarajiwa huenda NEC pale dodoma wasipokee fomu zake, hadi jioni sana saa 12 ndio zikapokelewa.
Siku ya kupokea matokea ya NEC Lissu alikalishwa ofsi za NEC tar 26 August hadi saa nne usiku ili hali wagombea wengine Lipumba na Magufuli ilichukua dakika chini ya 30 kupitishwa.
Hata hivyo mambo hayakuishia hapo. Polisi na Mkurugenzi waliendelea kuvurumusha vitisho vya hapa na pale ili kukatisha tamaa hatima yake kadri walivyo mzuia ndivvyo nyota yake ilizidi kung'ara
Kwa sasa wooote nchi nzima ikiwemo na vyombo vya dola vimeshakubali yaishe. Maana ameshashinda kabla ya uchaguzi.
Nini tufanye!! Tusiogope eti hatatangazwa! Hicho kitu hakipo. Tujiandae ushindi Mgumu sana october 28.
Ebwanaeeh! Hakuna goli tamu kama la kuhangaikia na kukaba.
Chadema Safiiiiiiiiiii!
Tundu Lissu akishinda Nchi Imeshinda Afrika imeshinda.
Nyerere wa sasa amerudi
View attachment 1606538
Libya walifanya uchaguzi gani ulioleta mabadiliko?mbona umeandika kama unakimbizwaHata Libya walifanya mabadiliko nini wameambulia?
Binadamu ni binadamu tu, asili yetu ni moja
Yeyote anaweza kutuvusha au kutuangusha
Hii faragha mnaipenda sana CCm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atakuwa Rais atakaeapishwa na Amsterdam kuongoza wazee wa faragha.
Naweka nadhiri kwa Mungu. Lazima nitoe sadaka ya kipekee kabisa kanisani ambayo sijawai kutoa tangu nizaliwe jambo hili litakapotimia mwaka huu.Habari za Jioni wana Nzengo!
Sasa iko wazi kutokana na umahiri, uwezo, nia na ari aliyonayo Mh Tundu Lissu Mgombea wa Chama cha Demokrasia na maendeleo ktk ngazi ya Urais atashinda uchaguzi huu.
Mbingu na Ardhi vimethibitisha hilo. Kwani kila anapopita ni shangwe na vigelegele kwa kuwa ni wazi Tundu akishinda ni Tanzania imeshinda.
Tundu Lissu akishinda ni watanzania wameshinda kwani wataondokana na utawala kandamizi wa kutunga sharia za kikoloni, kujilimbikizia mali, utawala usiozingatia sheria, ufujaji wa mali za umma na upendeleo kwenye ngazi mbali mbali za maamuzi ikiwemo mahakama na bunge.
Ni tanzania itakuwa imeshinda kwani ana dhamira ya dhati ya kutokomeza umaskini na changamoto zingine za maisha. Uwezo wake na historia yake havina shaka juu ya hili.
Ukifatilia namna Tundu Lissu alivyokuwa toka utoto wake hadi leo hajawahi kupita njia nyepesi kwenye mafanikio yake. Kila alipopita alikutana na vizingiti na njia yenye mawaa tele. Hata hivyo hakuwahi kukata tamaa siku zote amekuwa mshindi.
Mifano iko mingi, amewahi kushitakiwa mahakama mbalimbali kwa makosa mbali mbali zaidi ya 1000 lakini hata moja hakuwahi kukutwa na hatia.
Amewahi kusimamia kesi za wanyonge zaidi ya 500 hata moja hajawahi kushindwa kusimamia haki zao.
Tundu amewahi kushtakiwa ktk kesi ya ushindi wa ubunge wake alipokata Rufaa akalejeshewa ubunge wake.
Lissu aliwahi kupigwa risasi takribani arobaini, chini ya nusu yaani 16 tu ndio zilifanikiwa kufika kwenye mwili wake huku zingine ziki- repel. Hata hizo 16 hakuna hata moja iligusa cephalo body (kichwani) na hakuna hata moja ilileta kifo kwake. Wakati hata tembo au Mbogo wanyama wenye mguvu na mwili mkubwa wakipigwa risasi moja tu hawaamki tena.
Tundu Lissu ilikadiriwa kuwa hataweza kugombea kutokana navizingiti alivyokwisha andaliwa kumzuia asipate fursa hiyo. Pamoja na NEC, Mahakama, polisi na idara zingine za dola kutia jambajamba kila mahali mwisho wa siku alifanikiwa kupata wadhamini elfu 2000 alioweza kuonana nao physically uso kwa uso nchi nzima ndani ya wiki moja(ndio mgombea pekee alitimiza vigezo vya neck (sorry NEC)
Ikafika siku ya kurejesha fomu alizinguliwa kiasi ikatarajiwa huenda NEC pale dodoma wasipokee fomu zake, hadi jioni sana saa 12 ndio zikapokelewa.
Siku ya kupokea matokea ya NEC Lissu alikalishwa ofsi za NEC tar 26 August hadi saa nne usiku ili hali wagombea wengine Lipumba na Magufuli ilichukua dakika chini ya 30 kupitishwa.
Hata hivyo mambo hayakuishia hapo. Polisi na Mkurugenzi waliendelea kuvurumusha vitisho vya hapa na pale ili kukatisha tamaa hatima yake kadri walivyo mzuia ndivvyo nyota yake ilizidi kung'ara
Kwa sasa wooote nchi nzima ikiwemo na vyombo vya dola vimeshakubali yaishe. Maana ameshashinda kabla ya uchaguzi.
Nini tufanye!! Tusiogope eti hatatangazwa! Hicho kitu hakipo. Tujiandae ushindi Mgumu sana october 28.
Ebwanaeeh! Hakuna goli tamu kama la kuhangaikia na kukaba.
Chadema Safiiiiiiiiiii!
Tundu Lissu akishinda Nchi Imeshinda Afrika imeshinda.
Nyerere wa sasa amerudi
View attachment 1606538
Angejua kuwa kwa sasa CCM wanazunguka na Sindano ya Sumu angeongezeaAngalia hii hadi mwisho
View attachment 1606586
Wasisitize pia waendelee kuchangia kampeni, hapa tulipo ndio patamu sasa lazima nguvu iongozeke tumalize kwa kishindo.Tusijifariji. Bado kuna kazi pevu mbele yetu kuanzia kesho tarehe 21/10 ya kuhakikisha tuna mawakala walioapishwa kila kituo. Kuhakikisha wanawahi na kuingia vituoni, wanapewa nakala za matokeo na kuzihifadhi, n.k. La sivyo inakula kwetu.