Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akishinda Urais, Nchi imeshinda, Afrika imeshinda

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akishinda Urais, Nchi imeshinda, Afrika imeshinda

Naweka nadhiri kwa Mungu. Lazima nitoe sadaka ya kipekee kabisa kanisani ambayo sijawai kutoa tangu nizaliwe jambo hili litakapotimia mwaka huu.

Mungu bariki Mtumishi wako Tundu Antiphas Lissu kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025, kwa Jina lako Yesu Kristo. Amen
Na Mungu akusaidie
 
Takbirr
Allah Akbar
Inn shaa Allah Mara hii tunakwenda kupata rais muadilifu ambae hata watesa mashekh wetu na watanzania kwa ujumla
Ewe Mola wa haki tunakuomba umlinde huyu kiongozi wetu muadilifu dhidi ya yule katili Pombe na genge lake

Ewe Mola wa maajabu onyesha maajabu safari hii lissu ashinde dhidi ya yule katili Pombe Tumechoka kuona damu
Amiin yarabi Amiin
Kama Bwana Aishivyo Bwana Wa Majeshi amtendee Mtumishi wake TAL kama watanzania wapendavyo. Ameen
 
Polepole kamejua hali ni ngumu ndiyo maana kameomba pesa za kuihujumu kuidhoofisha chadema ili kapige kajilipe kiinua mgongo mapema maana mara baada ya uchaguzi lazima katafukuzwa tu
Polepole ccm ishinde isishinde habaki
 
Back
Top Bottom