Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

BabaMia

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
270
Reaction score
554
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.

20241008_133959.jpg
Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.

Screenshot_20241008-134152.png
Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.
View attachment 3118712
Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.
View attachment 3118713
Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
He survived to tell the Tale.
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.
View attachment 3118712
Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.
View attachment 3118713
Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
Tutakavyo kuwa tunapata live Updates kutoka Viunga vya Mahakama huko Frenkpurt London.

Wasiojulikana ambao hawakujulikana na watakaojulikana kwa Mujibu wa Pascal Mayalla.
 
Hivi na wale walionaswa sauti, kina Nape et al, wana wakili wao, wakuwasaidia kuwashitaki waliovujisha sauti zao-maongezi yao ya simu?
======
Laigwanaan Kakenua meno hapo, na huyo beberu anaonekana akisema 'Lissu you will pay' ikiwa ina maana akishika Uongozi ama madaraka, atakuwa kipapeti fulani hivi. Yani atawalipa sana kwa madili😌🧐
 
Bashite nataka wamkamate..
Robert Amsterdam huyo tapeli wakili wa Lisu.
Hana lolote tapeli wa mjini huyo

Muulize kesi ya Bob Wine wa Uganda mpinzani mkubwa kuliko Tundu Lisu hiyo.kesi alifika nayo wapi

Alikula pesa za Bob Wine na wafadhili wa Bob Wine mpinzani mkuu wa Museveni akapotea mitini kwa kesi ambayo alijua kabisa hawezi shinda

Hapo anataka kumtumia Tundu Lisu apige pesa kupitia wafadhili wa Lisu kwa kisingizio cha Legal fees au matapeli wawili wamekutana wa Sheria Lisu na Amsterdam wamepanga case wafadhili watoe pesa za legal fees wagawane

Katika mawakili matapeli kama wa Nigeria Huyo Amsterdam ni mmojawao
 
Hivi na wale walionaswa sauti, kina Nape et al, wana wakili wao, wakuwasaidia kuwashitaki waliovujisha sauti zao-maongezi yao ya simu?
======
Laigwanaan Kakenua meno hapo, na huyo beberu anaonekana akisema 'Lissu you will pay' ikiwa ina maana akishika Uongozi ama madaraka, atakuwa kipapeti fulani hivi. Yani atawalipa sana kwa madili😌🧐

..hata Mwalimu Nyerere wakati wa kugombea uhuru alikuwa na wakili mzungu, akiitwa Easton.

..pia Mwalimu Nyerere alikuwa na msaidizi wake Mama wa Kiingereza akiitwa Joan Wicken.

..huyo Amstedarm atalipwa baada ya Lissu kulipwa na Tigo.

..kwa hiyo anachofanya Amstedarm ni kuhakikisha Tigo wanakamuliwa vilivyo.
 
Robert Amsterdam huyo tapeli wakili wa Lisu.
Hana lolote tapeli wa mjini huyo

Muulize kesi ya Bob Wine wa Uganda mpinzani mkubwa kuliko Tundu Lisu hiyo.kesi alifika nayo wapi

Alikula pesa za Bob Wine na wafadhili wa Bob Wine mpinzani mkuu wa Museveni akapotea mitini kwa kesi ambayo alijua kabisa hawezi shinda

Hapo anataka kumtumia Tundu Lisu apige pesa kupitia wafadhili wa Lisu kwa kisingizio cha Legal fees au matapeli wawili wamekutana wa Sheria Lisu na Amsterdam wamepanga case wafadhili watoe pesa za legal fees wagawane

Katika mawakili matapeli kama wa Nigeria Huyo Amsterdam ni mmojawao

..kesi ya Bob Wine ingekuwa na nguvu ingechukuliwa na mawakili wengine.

..kwenye nchi za wenzetu kesi ya madai ikiwa na mashiko huwezi kukosa wakili wa kuitetea.
 
..hata Mwalimu Nyerere wakati wa kugombea uhuru alikuwa na wakili mzungu, akiitwa Easton.
Tupo nyakati tofauti kabisa.
..pia Mwalimu Nyerere alikuwa na msaidizi wake Mama wa Kiingereza akiitwa Joan Wicken.
It is almost Impossible to have TL and Mwl.Nyerere on the same pedestal. Haiwezekani na mda Utaongea. Ikumbukwe, Nyerere hakuwa kuwa msaliti ama puppet wa Wa kaburu.
..huyo Amstedarm atalipwa baada ya Lissu kulipwa na Tigo.

..kwa hiyo anachofanya Amstedarm ni kuhakikisha Tigo wanakamuliwa vilivyo.
What Amsterdam is doing, is medding in our Election process. Joan Wicken na Easton hawakuwa wakiingilia michakato yetu ya Uchaguzi

Na Kesi hii, mbali ya madai ya Tundu Lissu, ina lengo la kuingilia chaguzi za Uraisi 2025.
 
Back
Top Bottom