johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyo Mganga wa Kienyeji Ndio ana Akili?Huyu UWT hana akili kabisa
Au kwa Sababu ndiye aliyekupa Dawa ya kuvutia Walevi wa mbege kilabuni kwako pale Rau Madukani 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mganga wa Kienyeji Ndio ana Akili?Huyu UWT hana akili kabisa
Wakinga mbona nyie ni washirikina inajulikanaHuyo Mganga wa Kienyeji Ndio ana Akili?
Au kwa Sababu ndiye aliyekupa Dawa ya kuvutia Walevi wa mbege kilabuni kwako pale Rau Madukani 😂😂😂
Nyie mna Gaidi huko chamani kwenu🐼Malizia ni chama cha majangili
Warombo wote ndumba wanachukua Makete😂Wakinga mbona nyie ni washirikina inajulikana
Makete ni kiwanda cha ushirikina hilo lipo waziWarombo wote ndumba wanachukua Makete😂
Nenda Rombo ya Shekilango 😄😄😄🔥Makete ni kiwanda cha ushirikina hilo lipo wazi
Pale kuna kitimoto hakuna ushirikinaNenda Rombo ya Shekilango 😄😄😄🔥
2019 mlipata 100% mlifanya nini?Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura
Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha
Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa
Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana 🐼
Ww inakuuma Nini? Isotoshe hata wakijiandikisha bado ccm ni majizi ya kuraHalafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura
Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha
Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa
Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana 🐼
Wakati watu wako busy na familia zao, wewe uko busy kuposti jambo la maslahi Binafsi ya Tundu Lissu!Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura
Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha
Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa
Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana 🐼
Nitajie wa chama ambacho sio kwa ajili ya matumbo na familia zao. Anzia na Mwigulu na yule mtoto wake anayekula dola.Sio Lissu tu, upinzani wa bongo waganga njaa tu wote wapo hapo kwa ajili ya matumbo yao na familia zao.Imagine uchaguzi next year lakini upinzani hawana sera yoyote ya kuuza kwa wananchi. Upinzani wa kweli utakuja bongo siku hawawabinafsi na waganga njaa wakiondoka wote.
Wewe Maendeleo huyaoni?2019 mlipata 100% mlifanya nini?
Mbona mnalilia lia sana na CHADEMA. Jitangazeni mmeshinda kwa 100% then uje hapa uendelee kukopa bando
Wewe umepost nini? 😂😂😂Wakati watu wako busy na familia zao, wewe uko busy kuposti jambo la maslahi Binafsi ya Tundu Lissu!
UJINGA NI MZIGO
Ya kumfungia Ney wa Mitego nimeonaWewe Maendeleo huyaoni?
Ngoja huyo tapeli wa kimataifa awanyooshe mpaka mtoke kamasi wauaji, mahayawani na mashetani wakubwa nyie...Sema kakutana na tapeli wa kimataifa wa sheria
Wewe mpuuzi kweli....Tupo nyakati tofauti kabisa.
It is almost Impossible to have TL and Mwl.Nyerere on the same pedestal. Haiwezekani na mda Utaongea. Ikumbukwe, Nyerere hakuwa kuwa msaliti ama puppet wa Wa kaburu.
What Amsterdam is doing, is medding in our Election process. Joan Wicken na Easton hawakuwa wakiingilia michakato yetu ya Uchaguzi
Na Kesi hii, mbali ya madai ya Tundu Lissu, ina lengo la kuingilia chaguzi za Uraisi 2025.