Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura

Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha

Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa

Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana 🐼
JamiiForums kwa namna mnavyomuacha huyu mtu anavyoandika upuuzi anaishushia forum hadhi sana
Ni vema moderation kwenye post za namna hii ili JF ibaki na hadhi inayostahili
 
Ustaarabu imeshawashinda waTanzania, hivi suala la kufanya uhamasishaji kwa ajili ya wapiga kura ni jukumu la vyama vya siasa au tume iliyoandaa uchaguzi?
Au mmeshasahu pesa zilizopotea kwenye suala la katiba mpya ya Warioba alafu vyama ikaviteka kwa namna hii ya kufanya harmonization?
 
Jamaa una gubu kama la mama mkwe. Kama unampenda Lissu mplekee akuwashiee moto.
 
Wewe ulitakaje?
Yote ni maisha yake, kumbuka kesi hii ndio mwanzo wa kuwajua rasmi 'wauaji' wake
 
Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura

Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha

Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa

Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana 🐼
Kuna mtu anayehitaji upinzani Tanzania?
 
Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura

Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha

Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa

Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana 🐼
Wewe una siasa za rejareja sana. Unaandika upuuzi mwingi sana humu. Unadhalilisha jina la Yohana Mbatizaji kwa kuandika vitu vinavyoashiria wewe kuwa sadist na psychopath.
 
Sio Lissu tu, upinzani wa bongo waganga njaa tu wote wapo hapo kwa ajili ya matumbo yao na familia zao.Imagine uchaguzi next year lakini upinzani hawana sera yoyote ya kuuza kwa wananchi. Upinzani wa kweli utakuja bongo siku hawawabinafsi na waganga njaa wakiondoka wote.

..Ccm wenyewe hawana njaa?

..Wameshibaje, ktk umasikini huu wa Watanzania?
 
Toka lini CHADEMA ni chama Cha TUndulisu

naamini CHADEMA ni taasisi
ametumia chadema kama platform ya kuomba kuchangiwa mambo mbalimbali, na hivi sasa anatumia chadema kufanya kila kitu chake binafsi kutumia chadema...

hili liko wazi. Hakuna namna omba omba anaweza kusimama pekeyake 🐒
 
Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura

Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha

Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa

Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana 🐼
All are equally important. Ilaumu CCM ambayo inaleta mavi kama haya kukataa katiba bora na tume huru ya uchaguzi
 
Utakuwa na tatizo sehemu wewe siyo bure, Lisu aache kushughulikia maslahi yake ahangaike na huu uchaguzi wa kijinga ambao tayari umetekwa na TAMISEMI
 
JamiiForums kwa namna mnavyomuacha huyu mtu anavyoandika upuuzi anaishushia forum hadhi sana
Ni vema moderation kwenye post za namna hii ili JF ibaki na hadhi inayostahili
Wewe ni Mganga wa Kienyeji Siasani imekuleta Njaa tu

Angalia Zitto Kabwe na Addo Shaibu wanavyofanya siasa za kisayansi

Nyie mmebaki na siasa za kizamani za kujificha kwenye Novena Msimbazi center

Kuna Wakati mchungaji Msigwa anakuwa Sahihi anaposema Chadema ni Chama Cha family ya Freeman Mbowe kwa sababu hamko serious kabisa

Bure kabisa we mandondo uliyechangamka 😂😂
 
Back
Top Bottom