Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Robert Amsterdam huyo tapeli wakili wa Lisu.
Hana lolote tapeli wa mjini huyo

Muulize kesi ya Bob Wine wa Uganda mpinzani mkubwa kuliko Tundu Lisu hiyo.kesi alifika nayo wapi

Alikula pesa za Bob Wine na wafadhili wa Bob Wine mpinzani mkuu wa Museveni akapotea mitini kwa kesi ambayo alijua kabisa hawezi shinda

Hapo anataka kumtumia Tundu Lisu apige pesa kupitia wafadhili wa Lisu kwa kisingizio cha Legal fees au matapeli wawili wamekutana wa Sheria Lisu na Amsterdam wamepanga case wafadhili watoe pesa za legal fees wagawane

Katika mawakili matapeli kama wa Nigeria Huyo Amsterdam ni mmojawao
Kesi hata haijafunguliwa mumeshaanza kupata hedhi, tulieni, after all kesi haiwahusu nyie wala serikali yenu mbona mnajinyea nyea?
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.
View attachment 3118712
Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.
View attachment 3118713
Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
Vipi safari hii watamchangia? Au waunga mkono wa upinde wanamdhamini ?🤣🤣🤣🤣
 
"Wengine" ndio kina nani? Wazungu?😌

Uganda si nchi ya wenzetu? Bobi Wine amekosa Wakili?

..Uganda ni wenzetu, lakini si kati ya nchi ambayo mahakama zake ziko huru.

..nchi yoyote ile yenye mahakama zenye uhuru, mhanga mwenye madai yenye ushahidi unaojitosheleza, hawezi kukosa mawakili wa kusimamia kesi yake.
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.
View attachment 3118712
Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.
View attachment 3118713
Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
Mlenga shabaha anayekosa risasi 16 tena at close range sijui ni WA jeshi gani
 
Tupo nyakati tofauti kabisa.

It is almost Impossible to have TL and Mwl.Nyerere on the same pedestal. Haiwezekani na mda Utaongea. Ikumbukwe, Nyerere hakuwa kuwa msaliti ama puppet wa Wa kaburu.

What Amsterdam is doing, is medding in our Election process. Joan Wicken na Easton hawakuwa wakiingilia michakato yetu ya Uchaguzi

Na Kesi hii, mbali ya madai ya Tundu Lissu, ina lengo la kuingilia chaguzi za Uraisi 2025.


..ina maana waliomshambulia Lissu walikuwa na lengo la kuingilia uchaguzi wa 2020? Ni kina nani? Kwanini SERIKALI / POLISI haiwakamati?
 
Screenshot_20241008-152551_Instagram.jpg

Cc: Mtandao wa Mawasiliano wa simu wa tigo, Chama cha Mapinduzi na Msemaji mkuu wa Serikali. Sielewi kwanini wamekuwa mentioned.
Yajayo tunayasubiri.
 
..Uganda ni wenzetu, lakini si kati ya nchi ambayo mahakama zake ziko huru.

..nchi yoyote ile yenye mahakama zenye uhuru, mhanga mwenye madai yenye ushahidi unaojitosheleza, hawezi kukosa mawakili wa kusimamia kesi yake.
Awali ya yote hayo☝🏿 Nimekuuliza.

"Wengine" ndio kina nani?

Manake ulivyoandika ni kama unasema, Uganda hawana mawakili,(wakizungu)na kwa muktadha uliopo, ni kwamba Lissu ana wakili bora, "Mzungu"

"Wengine" ndio kina nani hao?
 
Picha linaanza sterling anafia kwenye maua.

Sana sana akifanikiwa ni kwa wafanyakazi tu.

Ila kuikamua pesa Tigo ajiandae kupanda kilima kikali.
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.
View attachment 3118712
Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.
View attachment 3118713
Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
Mara hii, kbibi cha kizimkazi macho ya kuregea, yatadondoka,
 
Awali ya yote hayo☝🏿 Nimekuuliza.

"Wengine" ndio kina nani?

Manake ulivyoandika ni kama unasema, Uganda hawana mawakili,(wakizungu)na kwa muktadha uliopo, ni kwamba Lissu ana wakili bora, "Mzungu"

"Wengine" ndio kina nani hao?

.." wengine " nimemaanisha nchi zenye mfumo wa mahakama ulio HURU.
 
Wakili wake alikuwa huyo huyo tapeli Amsterdam

Kesi kufunguliwa nje sio Big deal hata huko nje kuna mawakili matapeli wa kutupwa

Bob Wine Uganda alidhani akitafuta mzungu wakili yataenda kumbe mpiga dili tu

..hata kesi kufunguliwa na wakili Mzungu sio big deal.

..ushahidi wenye mashiko ndio big deal ktk nchi zenye mahakama zilizo huru.

..kama ushahidi wa Bob Wine ulikuwa mzito na wenye mashiko basi hawezi kukosa wakili mahiri wa kumtetea.
 
Picha linaanza sterling anafia kwenye maua.

Sana sana akifanikiwa ni kwa wafanyakazi tu.

Ila kuikamua pesa Tigo ajiandae kupanda kilima kikali.

..Eric Kabendera naye ameanza kuinyatia kampuni ya Voda. Sijui atafika wapi.

..jambo la msingi la kujiuliza ni kwanini Tundu Lissu hapewi HAKI yake? Kwanini POLISI wameshindwa kuwakamata waliojaribu kumuua?
 
Back
Top Bottom