JamiiForums kwa namna mnavyomuacha huyu mtu anavyoandika upuuzi anaishushia forum hadhi sanaHalafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura
Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha
Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa
Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana πΌ
Kuna mtu anayehitaji upinzani Tanzania?Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura
Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha
Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa
Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana πΌ
Wewe una siasa za rejareja sana. Unaandika upuuzi mwingi sana humu. Unadhalilisha jina la Yohana Mbatizaji kwa kuandika vitu vinavyoashiria wewe kuwa sadist na psychopath.Halafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura
Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha
Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa
Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana πΌ
Sio Lissu tu, upinzani wa bongo waganga njaa tu wote wapo hapo kwa ajili ya matumbo yao na familia zao.Imagine uchaguzi next year lakini upinzani hawana sera yoyote ya kuuza kwa wananchi. Upinzani wa kweli utakuja bongo siku hawawabinafsi na waganga njaa wakiondoka wote.
ametumia chadema kama platform ya kuomba kuchangiwa mambo mbalimbali, na hivi sasa anatumia chadema kufanya kila kitu chake binafsi kutumia chadema...Toka lini CHADEMA ni chama Cha TUndulisu
naamini CHADEMA ni taasisi
All are equally important. Ilaumu CCM ambayo inaleta mavi kama haya kukataa katiba bora na tume huru ya uchaguziHalafu CCM ikipata Ushindi wa kishindo Chadema mnalialia kuibiwa Kura
Uchaguzi ni michakato unaoanzia kwa wananchi kujiandikisha
Sasa Wakati huu muhimu ndio Tundu Lisu amejikita kwenye kesi ya TIGO Tanzania PLC ambayo yeye bado hausiki Moja kwa Moja kwa sasa
Upinzani wa Tanzania umekaa kimchongo sana πΌ
Wewe hujui maana ya dhamana za Uongozi πAll are equally important. Ilaumu CCM ambayo inaleta mavi kama haya kukataa katiba bora na tume huru ya uchaguzi
Kwahiyo Chadema sasa Kiongozi Mkuu ni Bony Yai? πΌWewe ulitakaje?
Yote ni maisha yake, kumbuka kesi hii ndio mwanzo wa kuwajua rasmi 'wauaji' wake
Wewe ni Mganga wa Kienyeji Siasani imekuleta Njaa tuJamiiForums kwa namna mnavyomuacha huyu mtu anavyoandika upuuzi anaishushia forum hadhi sana
Ni vema moderation kwenye post za namna hii ili JF ibaki na hadhi inayostahili
Sasa si mkifute tu hicho chama au mkigeuze kiwe Taasisi ya Mikopo Chechefu ππ₯Utakuwa na tatizo sehemu wewe siyo bure, Lisu aache kushughulikia maslahi yake ahangaike na huu uchaguzi wa kijinga ambao tayari umetekwa na TAMISEMI
CCM kaeni kimya nyie ni sehemu ya tatizo kuuSasa si mkifute tu hicho chama au mkigeuze kiwe Taasisi ya Mikopo Chechefu ππ₯
Huyu UWT hana akili kabisaJamiiForums kwa namna mnavyomuacha huyu mtu anavyoandika upuuzi anaishushia forum hadhi sana
Ni vema moderation kwenye post za namna hii ili JF ibaki na hadhi inayostahili
Wanaccm wamejipanga misururu wanajiandikishaCCM kaeni kimya nyie ni sehemu ya tatizo kuu
Tena ndiyo majangili makubwa ya mali za umma..Ccm wenyewe hawana njaa?
..Wameshibaje, ktk umasikini huu wa Watanzania?
Malizia ni chama cha majangiliWanaccm wamejipanga misururu wanajiandikisha
CCM ni Chama kikubwa π