Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
DAKIKA 31:49-37:50
Kwenye maridhiano kati ya CHADEMA na CCM kumefanyika vitu vingi ikiwa ni pamoja na wanachama wa CHADEMA waliokuwa nje kufutiwa kesi na kurudi nchini, wana wapinzani waliokuwa na kesi za kubambikizwa kuachiwa huru na pamoja na Lissu mwenyewe kulipwa stahiki.
Wakati haya yakienedela tulimsikia Tundu Lissu akiwa kwenye operesheni +255 akifurusha matusi kwa Rais Samia na akijitenga na maridhiano.
Naamini suala la hizo tuhuma za Makonda lilikuwemo kwenye items ambazo zilikuwa bado hazijatatuliwa. Kitendo cha Lissu kuanza kufurusha matusi na kubeza maridhiano ndicho sasa Samia kawajibu.
Kawaletea nunda muhangaike naye. Hata mimi simpendi na simkubali kabisa Makonda, ila kwa dharau zenu, wacha awape kichefuchefu.
Kwenye maridhiano kati ya CHADEMA na CCM kumefanyika vitu vingi ikiwa ni pamoja na wanachama wa CHADEMA waliokuwa nje kufutiwa kesi na kurudi nchini, wana wapinzani waliokuwa na kesi za kubambikizwa kuachiwa huru na pamoja na Lissu mwenyewe kulipwa stahiki.
Wakati haya yakienedela tulimsikia Tundu Lissu akiwa kwenye operesheni +255 akifurusha matusi kwa Rais Samia na akijitenga na maridhiano.
Naamini suala la hizo tuhuma za Makonda lilikuwemo kwenye items ambazo zilikuwa bado hazijatatuliwa. Kitendo cha Lissu kuanza kufurusha matusi na kubeza maridhiano ndicho sasa Samia kawajibu.
Kawaletea nunda muhangaike naye. Hata mimi simpendi na simkubali kabisa Makonda, ila kwa dharau zenu, wacha awape kichefuchefu.