Weakness ya adui ni mtaji kwenu. Hakuna haja ya kupinga uteuziKwani hayo maridhiano yalikuwa ni fadhila au hongo, kwa CHADEMA wasikemee chochote kinachofanywa na serikali kama hakina manufaa kwa wananchi?
Uteuzi wa Makonda, na wengine wa aina yake ni ishara kamili kabisa ya kuonyesha jinsi CCM ilivyo na hali mbovu.
Teuzi zote za wakati huu, huko ndani ya CCM na serikalini kwenyewe zinaonyesha ni hatua za kutapatapa; zenye lengo la kubahatisha tu kama zitasaidia kuliokoa jahazi linalozama.
Alikuwa anamtukana Kikwete kijanja! Ndio mwenye matatizo hayo.Ninayo ile aliyosema kuwa atatupima Tezi Dume Wanaume wote wa mrengo wa Upinzani.
Pengine anahoja. Kwanini amelaani?Nyambafu zake,anatakiwa ajifunze kumind business za chama chao.Yeye kasahau walivyomuweka Lowassa agombee urais kupitia chadema .Mtu waliemuita fisadi miaka yote.
Samia kafanya vizuri sana,hawa mbwa hawana shukrani kabisaDAKIKA 31:49-37:50
Kwenye maridhiano kati ya CHADEMA na CCM kumefanyika vitu vingi ikiwa ni pamoja na wanachama wa CHADEMA waliokuwa nje kufutiwa kesi na kurudi nchini, wana wapinzani waliokuwa na kesi za kubambikizwa kuachiwa huru na pamoja na Lissu mwenyewe kulipwa stahiki.
Wakati haya yakienedela tulimsikia Tundu Lissu akiwa kwenye operesheni +255 akifurusha matusi kwa Rais Samia na akijitenga na maridhiano.
Naamini suala la hizo tuhuma za Makonda lilikuwemo kwenye items ambazo zilikuwa bado hazijatatuliwa. Kitendo cha Lissu kuanza kufurusha matusi na kubeza maridhiano ndicho sasa Samia kawajibu.
Kawaletea nunda muhangaike naye. Hata mimi simpendi na simkubali kabisa Makonda, ila kwa dharau zenu, wacha awape kichefuchefu.
Saccos mmepuuzwa, kujipendekeza kote kule maridhiano uchwara ndio mmeona shubiri yake sasa.DAKIKA 31:49-37:50
Kwenye maridhiano kati ya CHADEMA na CCM kumefanyika vitu vingi ikiwa ni pamoja na wanachama wa CHADEMA waliokuwa nje kufutiwa kesi na kurudi nchini, wana wapinzani waliokuwa na kesi za kubambikizwa kuachiwa huru na pamoja na Lissu mwenyewe kulipwa stahiki.
Wakati haya yakienedela tulimsikia Tundu Lissu akiwa kwenye operesheni +255 akifurusha matusi kwa Rais Samia na akijitenga na maridhiano.
Naamini suala la hizo tuhuma za Makonda lilikuwemo kwenye items ambazo zilikuwa bado hazijatatuliwa. Kitendo cha Lissu kuanza kufurusha matusi na kubeza maridhiano ndicho sasa Samia kawajibu.
Kawaletea nunda muhangaike naye. Hata mimi simpendi na simkubali kabisa Makonda, ila kwa dharau zenu, wacha awape kichefuchefu.
Sina hakika kama kuna yeyote anapinga uteuzi.Weakness ya adui ni mtaji kwenu. Hakuna haja ya kupinga uteuzi
Makonda hana uwezo leo wa kufanya lolote kwa Chadema , bila Magufuli huyu hana lolote lileDAKIKA 31:49-37:50
Kwenye maridhiano kati ya CHADEMA na CCM kumefanyika vitu vingi ikiwa ni pamoja na wanachama wa CHADEMA waliokuwa nje kufutiwa kesi na kurudi nchini, wana wapinzani waliokuwa na kesi za kubambikizwa kuachiwa huru na pamoja na Lissu mwenyewe kulipwa stahiki.
Wakati haya yakienedela tulimsikia Tundu Lissu akiwa kwenye operesheni +255 akifurusha matusi kwa Rais Samia na akijitenga na maridhiano.
Naamini suala la hizo tuhuma za Makonda lilikuwemo kwenye items ambazo zilikuwa bado hazijatatuliwa. Kitendo cha Lissu kuanza kufurusha matusi na kubeza maridhiano ndicho sasa Samia kawajibu.
Kawaletea nunda muhangaike naye. Hata mimi simpendi na simkubali kabisa Makonda, ila kwa dharau zenu, wacha awape kichefuchefu.
Analaani nini kama CCM wamechemsha si ndo anatakiwa kufurahi as Chadema wao watakuwa vizuri.Pengine anahoja. Kwanini amelaani?
Kama Bashite alishiriki kutaka kumuua atakufa tu kama mwendazake. Mark my words wananngu.DAKIKA 31:49-37:50
Kwenye maridhiano kati ya CHADEMA na CCM kumefanyika vitu vingi ikiwa ni pamoja na wanachama wa CHADEMA waliokuwa nje kufutiwa kesi na kurudi nchini, wana wapinzani waliokuwa na kesi za kubambikizwa kuachiwa huru na pamoja na Lissu mwenyewe kulipwa stahiki.
Wakati haya yakienedela tulimsikia Tundu Lissu akiwa kwenye operesheni +255 akifurusha matusi kwa Rais Samia na akijitenga na maridhiano.
Naamini suala la hizo tuhuma za Makonda lilikuwemo kwenye items ambazo zilikuwa bado hazijatatuliwa. Kitendo cha Lissu kuanza kufurusha matusi na kubeza maridhiano ndicho sasa Samia kawajibu.
Kawaletea nunda muhangaike naye. Hata mimi simpendi na simkubali kabisa Makonda, ila kwa dharau zenu, wacha awape kichefuchefu.
Natamani hya yatokeeKwanini wamjadili mwenezi wa CCM badala ya kumjadili mwenezi wa chama chao? Kwanza huu sasa unakuwa ndiyo mtaji wa CHADEMA kuweza kupata point kwa wananchi kwa vile CCM ina mwenezi ambaye ni murderer cum blackmailer
All in all SAMIA kabugi sana kwenye uteuzi wa Bashite kuwa mwenezi wa CCM. Haya makosa hayawezi kukiacha CCM salama.
Kama ni kutafuta TURUFU ya Lake Zone bora angeenda na watu kama Luhaga Mpina, Mzee wa Samaki kwa rula, siyo kwa nafasi ya usemaji bali uwaziri ili kutafuta uungwaji na Sukuma Gang
Anajua kuna vifo vitafata....huwezi kufurahi hiiAnalaani nini kama CCM wamechemsha si ndo anatakiwa kufurahi as Chadema wao watakuwa vizuri.
Wewe unammiss nani au chawa anayejipendekeza ili atupiwe makapi?Lissu amemiss godfaza wake kule.ughaibuni
Lucy bana
Kitendo cha kum discuss tu ujuwe kuna kitu anacho dhidi ya wapinzani. Angekuwa hana basi mungekaa kimyaSina hakika kama kuna yeyote anapinga uteuzi.
Uteuzi wa aina ile ni faraja kwa upinzani, labda washindwe tu wenyewe kutumia fursa hiyo.. Makonda haongezi chochote chenye thamani ndani ya CCM, mbali ya kuwa nuksi tu kwa chama hicho.
Ni kweli. Kitu alicho nacho ni uhovyo na uchafu ukatili na upuuzi mwingine bila kusahau uchawaKitendo cha kum discuss tu ujuwe kuna kitu anacho dhidi ya wapinzani. Angekuwa hana basi mungekaa kimya
Rais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"Hakuna watu mpaka mchukue mtu alijefoji vyeti?
Malonda kaja kuwanyoosha,aaahaaKwanini wamjadili mwenezi wa CCM badala ya kumjadili mwenezi wa chama chao? Kwanza huu sasa unakuwa ndiyo mtaji wa CHADEMA kuweza kupata point kwa wananchi kwa vile CCM ina mwenezi ambaye ni murderer cum blackmailer
All in all SAMIA kabugi sana kwenye uteuzi wa Bashite kuwa mwenezi wa CCM. Haya makosa hayawezi kukiacha CCM salama.
Kama ni kutafuta TURUFU ya Lake Zone bora angeenda na watu kama Luhaga Mpina, Mzee wa Samaki kwa rula, siyo kwa nafasi ya usemaji bali uwaziri ili kutafuta uungwaji na Sukuma Gang
HakunaHakuna watu mpaka mchukue mtu alijefoji vyeti?