Hivi mbona Lissu hakwenda Kongwa kwa Ndugai??Utafikri kampeni zimeanza! Mungu ambariki Lissu
Sasa hivi utetezi wenu sio Chadema imekufa!!!?Na hapo kampeni hazijaanza😁😁!Hata mwaka 2015 ilikuwa hivi hivi lakini makamanda tulishindwa. je tulikosea wapi??
Kuna karata moja inatumiwa na wenyewe inaitwa abrakadabra.......jamaa wana mbinu nyingi huwezi washindaHata mwaka 2015 ilikuwa hivi hivi lakini makamanda tulishindwa. je tulikosea wapi??
Watu wanaenda kumshangaa Mtu anayetaka kubadili wimbo wa Taifa kwa manufaa yake. Wakimaliza kumshangaa watarudi tena? Subiri kampeini. Nawaza tu makamanda. Bila vionjo kama hivi uzi haunogi. Ha ha haaa!kweli nchi hii watu wamechoka aisee!
Ngoma ya watoto haikeshi....Sasa hivi utetezi wenu sio Chadema imekufa!!!?Na hapo kampeni hazijaanza😁😁!
Lissu atawatoa roho msimu huu!
Wamesombwa na malori hawa