dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,502
- 3,483
Kutoka Kushoto: Salum Mwalim Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania(CHADEMA), Tundu Lissu Mgombea Urais wa Tanzaniana(CHADEMA) Esther Bulaya Mgombea ubunge Jimbo la Bunda Mjini Kupitia CHADEMA
Mgombea Urais wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiwa ameambatana na Mgombea mwenza Mhe. Salum Mwalim wakizungumza na Wananchi wa Jimbo Bunda mjini waliofika kwa ajili ya kumdhamini. Leo Jumatano 12/08/2020.
#NiYeye2020
#SasaBasi #PeoplesPower
#NoHateNoFear