hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Muulize hili: fisiemu filishinda viti vingapi kiuhalisia? Jee JANDONI hawajakoromewa kuhusu UNAFIKUM? Hawajasonywa na kukoromewa MSITHUBUTU kamwe?. Mahasira na tahadhari kibao za nini?
Kaka hii ni siasa, toa mifano Hai, sio mifano ya jandoni sijui wapi
Kama umeibiwa ishu sio kujitoa, nenda mahakamani basi