startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Usiongee Kama umekatwa kichwa! Haya wanayachimba hayo madini...umeona mikataba wanayoingia?Ufisadi uliasisiwa na Nyerere pale alipotupa Muungano usio na faida kwetu,pili alizuia tusichimbe madini kitu ambacho kilikuwa haramu kwa wakati huo.
Lissu, Mbowe wote ni sehemu ya wanaolipwa mishahara na mfumo huu huu wanaouponda.Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana.
Tundu Lissu alimkimbia mtanganyika mwenzake akaenda kuishi ubeleji, mzanzibari alimfata mpaka ubeleji, akampa passport ambayo watanganyika walikataa kumrudishia.
Watanganyika walimyima fedha ya matibabu wakamfukuza bungeni.
Nashangaa Lissu anajitapa na utanganyika ili apate nini, waasisi wa bara hili na Afrika walitanguliza UTU
Dunia kwa bahati mbaya haimsubiri mjinga apate akili ili aweze kufaidika na utajiri aliopewa na Mungu.Usiongee Kama umekatwa kichwa! Haya wanayachimba hayo madini...umeona mikataba wanayoingia?
Yule mzee aliona mbali Sana alijua akiruhusu tu wakati taifa bado changa hatuna wataalam wa kutosha tungechezewa
Haya unaona kinachofanyika Sasa hivi?
Walimshambulia ili apae, risasi 16 walikusudia nini kama sio kuuaUnadhani walimshambulia Ili wamuuwe?!
Punguza porojoSasa hivi Lissu angekuwa ardhini anakenua tu
Mipango ya Mungu sio Kama ya wanadamuSasa hivi Lissu angekuwa ardhini anakenua tu