Tundu Lissu alishambuliwa na watanganyika, mzanzibari akaenda kumpa pole, aliwakimbia watanganyika, mzanzibari kamrudisha

Tundu Lissu alishambuliwa na watanganyika, mzanzibari akaenda kumpa pole, aliwakimbia watanganyika, mzanzibari kamrudisha

Ufisadi uliasisiwa na Nyerere pale alipotupa Muungano usio na faida kwetu,pili alizuia tusichimbe madini kitu ambacho kilikuwa haramu kwa wakati huo.
Usiongee Kama umekatwa kichwa! Haya wanayachimba hayo madini...umeona mikataba wanayoingia?
Yule mzee aliona mbali Sana alijua akiruhusu tu wakati taifa bado changa hatuna wataalam wa kutosha tungechezewa
Haya unaona kinachofanyika Sasa hivi?
 
Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana.

Tundu Lissu alimkimbia mtanganyika mwenzake akaenda kuishi ubeleji, mzanzibari alimfata mpaka ubeleji, akampa passport ambayo watanganyika walikataa kumrudishia.

Watanganyika walimyima fedha ya matibabu wakamfukuza bungeni.

Nashangaa Lissu anajitapa na utanganyika ili apate nini, waasisi wa bara hili na Afrika walitanguliza UTU
Lissu, Mbowe wote ni sehemu ya wanaolipwa mishahara na mfumo huu huu wanaouponda.

Mwanasiasa akikwambia mvua inanyesha hapo nje toka nae uhakikishe mwenyewe.
 
Usiongee Kama umekatwa kichwa! Haya wanayachimba hayo madini...umeona mikataba wanayoingia?
Yule mzee aliona mbali Sana alijua akiruhusu tu wakati taifa bado changa hatuna wataalam wa kutosha tungechezewa
Haya unaona kinachofanyika Sasa hivi?
Dunia kwa bahati mbaya haimsubiri mjinga apate akili ili aweze kufaidika na utajiri aliopewa na Mungu.
 
Back
Top Bottom