Tundu Lissu alishuhudia gari lake lililoshambuliwa kwa risasi, asema ataomba kulichukua

Tundu Lissu alishuhudia gari lake lililoshambuliwa kwa risasi, asema ataomba kulichukua

..walitaka wambambikie kesi dereva.

..sasa hivi wanaona aibu tu kusema kuwa hawakuwa wakimhitaji dereva.
Wambambikie kuwa ndiye kamshambulia Lisu? Hata waliomteka Mo na Roma tumeshawekewa hapa kuwa ni waliokuwa maadui wa Magufuli.

Huamini hilo! Msome vizuri yoga.
 
Wambambikie kuwa ndiye kamshambulia Lisu? Hata waliomteka Mo na Roma tumeshawekewa hapa kuwa ni waliokuwa maadui wa Magufuli.

Huamini hilo! Msome vizuri yoga.

..wangekuwa ni maadui wa Magufuli ange-deal nao haraka sana.

..yule dereva ana bahati. Wangembambikia kesi na hata kumuua baada ya hapo.

..Polisi wa Magufuli walisema Mo alitekwa na raia wa Afrika Kusini lakini mpaka leo picha na majina yao hayajulikani.
 
Nguruwe wenu aliyeagiza Lissu auwawe ametangulia ardhini bado wewe mbwa koko
Utafata wewe mbwa koko. Kifo hakiepukiki. Na hata huyo mungu wako lisu atakufa.

Fucked bustard.
 
..wangekuwa ni maadui wa Magufuli ange-deal nao haraka sana.

..yule dereva ana bahati. Wangembambikia kesi na hata kumuua baada ya hapo.

..Polisi wa Magufuli walisema Mo alitekwa na raia wa Afrika Kusini lakini mpaka leo picha na majina yao hayajulikani.
JokaKuu, naomba nikatishe huu mjadala. I know you know more than I know in this game.
 
..wangekuwa ni maadui wa Magufuli ange-deal nao haraka sana.

..yule dereva ana bahati. Wangembambikia kesi na hata kumuua baada ya hapo.

..Polisi wa Magufuli walisema Mo alitekwa na raia wa Afrika Kusini lakini mpaka leo picha na majina yao hayajulikani.
Sometimes you talk like an amateur pig.
 
..wangekuwa ni maadui wa Magufuli ange-deal nao haraka sana.
You are being naive Joka, kama Nyerere with all his wisdom and intelligence alishindwa kupambana na hao madhalimu hadi wakamuua, Magufuli kweli ndiye angewaweza!

Try to be serious, man.
 
Hapo inachezwa sanaa tu, wote tundu na dereva wake wana ukimbizi huko waliko.
Hiyo ndo kete , wanapata chao toka hela za walipa kodi huko.
Kama wanajishughulisha ni vizuri pia.
 
Back
Top Bottom