Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Chadema Tuache kuwa keyboard worriors ebu tujitafakari kwa haya matukio ya uchaguzi ya kuuawa kwa viongoz wetu na kuibiwa kura tutalalamika mpaka lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi uliisha kabla haujaanzaChadema Tuache kuwa keyboard worriors ebu tujitafakari kwa haya matukio ya uchaguzi ya kuuawa kwa viongoz wetu na kuibiwa kura tutalalamika mpaka lini
View attachment 3163487
Hii imesaidia sana. Hata mimi sikuwa nimejua faida ya hii kitu.Bila kushiriki, wananchi wangeona vipi madudu ya CCM?
Kwani alisema Mbowe au makubaliano ya Kamati Kuu?Hata Freeman alikuwa anajua sema ana mipango yake ndio maana hasikilizi mtu....
Chief fikiria kitu kabla ya kuandika. Chaguzi zote ambazo zimevurugwa na CCM ukiwepo wa 2019 bado wananchi hawajaona madudu ya CCM hadi saa hii?Bila kushiriki, wananchi wangeona vipi madudu ya CCM?
Chief fikiria kitu kabla ya kuandika. Chaguzi zote ambazo zimevurugwa na CCM ukiwepo wa 2019 bado wananchi hawajaona madudu ya CCM hadi saa hii?
Mbowe must goChadema Tuache kuwa keyboard worriors ebu tujitafakari kwa haya matukio ya uchaguzi ya kuuawa kwa viongoz wetu na kuibiwa kura tutalalamika mpaka lini
View attachment 3163487
Ukweli umethihirika kwa uchafuzi wa uchaguzi.Chadema Tuache kuwa keyboard worriors ebu tujitafakari kwa haya matukio ya uchaguzi ya kuuawa kwa viongoz wetu na kuibiwa kura tutalalamika mpaka lini
View attachment 3163487
Ule ulikua wakati wa Magufuli walitaka waone na kwa samiaChief fikiria kitu kabla ya kuandika. Chaguzi zote ambazo zimevurugwa na CCM ukiwepo wa 2019 bado wananchi hawajaona madudu ya CCM hadi saa hii?