Relax kwanza gentleman,Unaandikaga mavitu marefu halafu hayana kichwa wala miguu
Kwanini msisubiri uchaguzi? Kama wewe ni mpiga kura na unamwona hafai usimpe kura.Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
Kwa nini mtu akindika tofauti na mawazo yako una paniki? Tundu Lissu sisi CCM hatumtaki. Period.Gentleman,
nisingeandika kivipi sasa wakati mimi ni mtaalamu na mbobevu wa masula haya ya siasa?
unadhani mimi ni shabiki wa mihemko kama wewe?
Kwakweli nafanya haya for the record, na kwa faida ya wadau wa JF, kujua na kuelewa yanayojiri kuelekea uchaguzi wa chadema Taifa, na sio kufanya watu wapate mihemko na ghadhabu 🐒
Jamaa ana moyo wa kuandika pumba kwa kirefu.... Anakosa tu wakumshabikia.Unaandikaga mavitu marefu halafu hayana kichwa wala miguu
Gentleman hebu,Kwa nini mtu akindika tofauti na mawazo yako una paniki? Tundu Lissu sisi CCM hatumtaki. Period.
Kutokea korido za lumumbaMuungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
Member jf 2023 akili yako fupi sanaGODBLESS LEMA amakua GODBLESS TUNDU LISU gentleman?🐒
sasa mbona member mwenye expirience ya zaidi ya 10yrs na huna content za maana umejaa mihemko na makasiriko tu aise? na una tofauti gana na alie jiunga jf jana sasa gentlemanMember jf 2023 akili yako fupi sana
View attachment 3187028
Kama huwezi kutofautisha maneno ya GOD BLESS na neno GODBLESS basi uwezo wako wa kufikiri una walakini
0 brain.sasa mbona member mwenye expirience ya zaidi ya 10yrs na huna content za maana umejaa mihemko na makasiriko tu aise? na una tofauti gana na alie jiunga jf jana sasa gentleman
onyesha ukomavu na ubobevu wako kwa kuja na mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi kwa faida ya wadau sio kumbwelambwela na mipasho tu...
maana yake you are done mentally, right?
Zungumzia nyumbani kwako kwa jirani waachie yao.Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
Gentleman,Tz aisee Generation la vilaza ,kama kweli ndo kingekua kipindi cha wazee wetu wakipambana na mkoloni , hii Generation ilitakiwa kuwa Gwantanam, haibu kubwa hii, yani unakuta ya nyumbani kwako yanakushinda ,unafuata ya jirani, kama sio laana nini hii,pumbavu sana