BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Wewe si ukaipambanie mboga mboga na kumsifia mama eeh. Sherehe sio yako kanzu ya nini. ?kibaraka hatasahau wajumbe wa mktano mkuu wa chadema Taifa, watakacho mzawadia atapiga moyowe yotee![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si ukaipambanie mboga mboga na kumsifia mama eeh. Sherehe sio yako kanzu ya nini. ?kibaraka hatasahau wajumbe wa mktano mkuu wa chadema Taifa, watakacho mzawadia atapiga moyowe yotee![]()
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anagombea uenyekiti wa chadema Taifa, nchini Tanzania,Brother wewe ni kibaraka umetumwa
Pia tunamfuatilia wengi hata wewe uamfuatilia


Brother unaongea kishabikikibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anagombea uenyekiti wa chadema Taifa, nchini Tanzania,
halafu eti akishinda apande ndege na huo uenyekiti kuwapelekea mabwenyenye wanaomfadhili.
ajabu zaidi tiketi ya ndege anatembea nayo mfukoni, yuko standbay kwa safari
ndrugu zangu, hilo linawezekana kweli?![]()
Anapuuzwa na nani?Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
gentleman,Huna uhakika wala ushahidi wa unayoropoka. Ila walio wazima wote, kwa kupitia analysis ya maandiko yake, wana uhakika kichwa cha Tlaatlaah, kimekosa content muhimu inayokamilisha sifa ya kichwa, yaani ujazo ubongo katika ujazo sahihi.

Brother unaongea kishabikikibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anagombea uenyekiti wa chadema Taifa, nchini Tanzania,
halafu eti akishinda apande ndege na huo uenyekiti kuwapelekea mabwenyenye wanaomfadhili.
ajabu zaidi tiketi ya ndege anatembea nayo mfukoni, yuko standbay kwa safari
ndrugu zangu, hilo linawezekana kweli?![]()
CCM wanasumbua sanaBrother unaongea kishabiki
Bado haupo kwenye hoja
Kwenye ushabiki nishapita huko
WA CHIZIMKAZI umepanda Saaana 🤣🤣🚴🚴Muungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
gentleman,Brother unaongea kishabiki
Bado haupo kwenye hoja
Kwenye ushabiki nishapita huko

acha upotoshaji gentleman,Mbona naona wewe ndo umepuuzwa na wenzako asilimia 90 ya wachangiaji wamekudharua ni ishara tosha nani amepuuzwa kati ya Mbowe na Lisu

🚮🚮elezea wadau kwa kina kirefu kidogo gentleman,
huenda wakakuelewa![]()
Mbowe unafelishwa na machawa na bila kujua unaingia kwenye mtego wa aibu ambao hata masltani wenzio kimewapataMuungwana haaminiki tena,
Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.
Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.
Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.
Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.
Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.
Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒
Mungu Ibarki Tanzania.
Wewe Kibaraka (chawa) wa mafisadi na wezi wa chama cha mbaga mboga unateseka sana kama maharagwe jikoni.Tundu Lissu ameanza kupuuzwa, umaarufu wake umeshuka kwa kasi mno
relax bila kuporomosha matusi, heshimu wadau muhimu sana wa JFWewe Kibaraka (chawa) wa mafisadi na wezi wa chama cha mbaga mboga unateseka sana kama maharagwe jikoni.
Kila wakati unakuja na stori za kutunga, uzushi, umbea.. Angalia usivikwe dera.
Hivi huyo Lissu alikutomb.£a manzi wako, au?!!!