Pre GE2025 Tundu Lissu ameanza kupuuzwa, umaarufu wake umeshuka kwa kasi mno

Pre GE2025 Tundu Lissu ameanza kupuuzwa, umaarufu wake umeshuka kwa kasi mno

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Brother wewe ni kibaraka umetumwa

Pia tunamfuatilia wengi hata wewe uamfuatilia
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anagombea uenyekiti wa chadema Taifa, nchini Tanzania,

halafu eti akishinda apande ndege na huo uenyekiti kuwapelekea mabwenyenye wanaomfadhili.

ajabu zaidi tiketi ya ndege anatembea nayo mfukoni, yuko standbay kwa safari:pedroP:

ndrugu zangu, hilo linawezekana kweli?:pedroP:
 
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anagombea uenyekiti wa chadema Taifa, nchini Tanzania,

halafu eti akishinda apande ndege na huo uenyekiti kuwapelekea mabwenyenye wanaomfadhili.

ajabu zaidi tiketi ya ndege anatembea nayo mfukoni, yuko standbay kwa safari:pedroP:

ndrugu zangu, hilo linawezekana kweli?:pedroP:
Brother unaongea kishabiki

Bado haupo kwenye hoja

Kwenye ushabiki nishapita huko
 
Muungwana haaminiki tena,

Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.

Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.

Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.

Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.

Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.

Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Anapuuzwa na nani?
 
Huna uhakika wala ushahidi wa unayoropoka. Ila walio wazima wote, kwa kupitia analysis ya maandiko yake, wana uhakika kichwa cha Tlaatlaah, kimekosa content muhimu inayokamilisha sifa ya kichwa, yaani ujazo ubongo katika ujazo sahihi.
gentleman,
kichwa makini chenye bongo kali hakiwezi kumbwelambwela kama ulivyojieleza,

hata hivyo ,
ikiwa content mahususi sio muhimu, bongo kali inakuja na mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya hiyo content ambayo sio muhimu.

sasa unambwelambwela hapa halafu unajipiga kifua ati una akili? hiyo itakua akili au matope gentleman?:pedroP:
 
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anagombea uenyekiti wa chadema Taifa, nchini Tanzania,

halafu eti akishinda apande ndege na huo uenyekiti kuwapelekea mabwenyenye wanaomfadhili.

ajabu zaidi tiketi ya ndege anatembea nayo mfukoni, yuko standbay kwa safari:pedroP:

ndrugu zangu, hilo linawezekana kweli?:pedroP:
Brother unaongea kishabiki

Bado haupo kwenye hoja

Kwenye ushabiki nishapita huko
 
Mbona naona wewe ndo umepuuzwa na wenzako asilimia 90 ya wachangiaji wamekudharua ni ishara tosha nani amepuuzwa kati ya Mbowe na Lisu
 
Muungwana haaminiki tena,

Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.

Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.

Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.

Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.

Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.

Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
WA CHIZIMKAZI umepanda Saaana 🤣🤣🚴🚴
 
Brother unaongea kishabiki

Bado haupo kwenye hoja

Kwenye ushabiki nishapita huko
gentleman,
hoja mahususi ni moja tu,
kibaraka wa mabwenyenye ya magaharibi kachokwa na kwakweli hivi sasa hata mitandaoni anapuuzwa tu,

hii ni kumaanisha kazi yake ya makelele na mdomo imefika ukomo, hana te jambo la kumpa kiki right?:pedroP:
 
Mbona naona wewe ndo umepuuzwa na wenzako asilimia 90 ya wachangiaji wamekudharua ni ishara tosha nani amepuuzwa kati ya Mbowe na Lisu
acha upotoshaji gentleman,

wana nipuuza vip hali ya kua wewe na wadau wengine muhimu sana wa JF mnachangia hoja mahusus mezani bila mbambamba yoyote?

au una mawenge gentleaman? :pedroP:
 
Hiki chama wamejianzishia wachaga, kitendo cha kumuondoa Mbowe kitapoteza utambulisho wake, na ndio maana waliojazana nyumbani kwake huko Hai kumuomba aendelee ni walewale. Tucheze tu kula kila mtu kwa babake.
 
Muungwana haaminiki tena,

Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena.

Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu siku nyingi dhidi ya viongoz wenzake Chadema. Ameonekana ni kama mtu manafiki mwenye makusudi ya kuficha ushauri na kuombea mambo yaende kombo kwa viongozi wengine.

Kukosekana kwa utulivu, hekima na busara katika mambo anayoyaibua na watu anao watuhumu na kuwasingizia mambo mbalimbali bila ushahidi, kumemfanya ushawishi wake ushuke na kuonekana ni kama uzushi na uongo wa kutunga dhidi ya wenye nguvu zaidi yake ndani ya chadema.

Lisu anaingia katika historia ya wanasiasa nchini waliopoteza umaarufu, ushawishi na mvuto wa kisiasa kwa kasi mno, sababu kuu zikiwa ni pamoja na papara, tamaa na uchu wa madaraka, kukosa utulivu, hekima, busara na upendo miongni mwa viongozi wenzake waandamizi ndani ya chadema.

Ni vigumu sana kuaminika kwa wananchi ikiwa unahubiri, chuki, migawanyiko na ubaya dhidi ya wanaokubalika zaidi yako ndani ya chama, unawasema na kuwasingizia wengine mambo mabaya eti kusudi wewe uonekane wa maana na msafi zaidi ya pamba, kumbe ni mnafiki tu ulierubuniwa kifikra na fedha na mabwenyenye ya magharibi.

Kibaraka Utashindana Lakini Hautashinda 🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Mbowe unafelishwa na machawa na bila kujua unaingia kwenye mtego wa aibu ambao hata masltani wenzio kimewapata
Mfano Sultan lipumba
 
Tundu Lissu ameanza kupuuzwa, umaarufu wake umeshuka kwa kasi mno
Wewe Kibaraka (chawa) wa mafisadi na wezi wa chama cha mbaga mboga unateseka sana kama maharagwe jikoni.

Kila wakati unakuja na stori za kutunga, uzushi, umbea.. Angalia usivikwe dera.
Hivi huyo Lissu alikutomb.£a manzi wako, au?!!!
 
Wewe Kibaraka (chawa) wa mafisadi na wezi wa chama cha mbaga mboga unateseka sana kama maharagwe jikoni.

Kila wakati unakuja na stori za kutunga, uzushi, umbea.. Angalia usivikwe dera.
Hivi huyo Lissu alikutomb.£a manzi wako, au?!!!
relax bila kuporomosha matusi, heshimu wadau muhimu sana wa JF


ikiwa umefikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala, ni vizuri ukapumzika gentleman, kuliko kuporomosha matusi mazito kwa kukosa hoja.

hata hivyo,
ni kibaraka pekee ndie anaetunga tuhuma na kuwasingizia wengine bila uthibitisho.

na wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema taifa, wamepanga na kuamua kumkataa hadharini mchana kweupe kwenye sanduku la kura, ili iwe fundisho kwa wenye midomo na makelele kama yake 🐒
 
Back
Top Bottom