Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Kabisa mkuu, vyovyote vile iwavyo atalazimika kumuunga Lissu maana hao ACT bado hawana mtaji wa wapiga kura wa kutosha.

Cdm tumefanya kazi kubwa ya kukipeleka chama hadi mashinani ambako ccm walikuwa wanajivunia.

Sasa hivi hata uende kijijini kabisa kule mbwinde au mwandiga utaikuta cdm tena iliyo hai.
Kweli mkuu kama Membe atamuunga mkono Lissu ni safi sana.
Kikubwa ni kuondoa mkoloni mweusi mengine ya katiba yatafuata!!
Membe ana mtaji wa Coast Lindi na Mtwara hizo ni ngome za CCM.
Ila drawing board ya CCM imepwaya saana, wameisha chelewa na Watanzania wamefunguka macho sio wale wa zamani!!
Acha tusonge mbele tuu tutafika Kanani!!
 
Amina mkuu na Mungu daima ni kila kitu
Kweli mkuu kama Membe atamuunga mkono Lissu ni safi sana.
Kikubwa ni kuondoa mkoloni mweusi mengine ya katiba yatafuata!!
Membe ana mtaji wa Coast Lindi na Mtwara hizo ni ngome za CCM.
Ila drawing board ya CCM imepwaya saana, wameisha chelewa na Watanzania wamefunguka macho sio wale wa zamani!!
Acha tusonge mbele tuu tutafika Kanani!!
 
Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;

Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk.

Watanzania wengi mioyo yao imejaa mashaka na kutojiamini tena.

Ni enzi za watawala wachache kuneemeka na kufanya walitakalo bila kuwajibishwa na yeyote.

Lakini baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea wa urais na kuanza kitema cheche, naona mioyo ya Watanzania ikihuishwa tena kuingia ulingoni kuipigania Tanzania yenye neema.

Wito wangu, tumuunge mkono huyu shujaa aliyejitoa Sadaka.

Kuthubutu kuyanyooshea kidole mapungufu ya huyu mfalme yahitaji moyo lakini huyu mwamba amedhamiria.

Kwa masikio yangu nimewasikia ccm wengi wakibadili gia angani na kuahidi kumpigia kura Lissu.

Shime Watanzania tuipiganie heshima ya nchi yetu nzuri ya maziwa na asali, upendo na mshikamano


1596729500910.png
 
Hata mimi ntampigia.
Haiwezekani ndege zetu zisikamatwe
Haiwezekani ACACIA tusiwalipe mabilioni kwa kukamata mchanga wao
Haya maflyover yooote ya nini wakati tulishazoea foleni?
Eti umeme vijijini. Kwani koroboi zina shida gani?
Eti elimu bure, kwani tulimwambia hatuna hela?
Hata mimi ntampigia kura yangu huyu mwamba - Aturudishe tulikokuwa.
Acha unafiki na uzandiki, waliompiga Lisu risasi, waliompoteza Azory Gwandu na Ben Saanane wamekamatwa??
Wasiojulikana wapo wapi, kwa hiyo unaona hatuna sababu ya kuuliza??
Wewe utakuwa mnafiki sio bure!!!
 
Nilikuwa nimekata tamaa ya kupiga kura ila kwa lissu kura yangu anayo.
Ubunge nampa wa ccm
Usijikologe Mkuu eti ubunge umpe CCM??
Utasababisha kuwana weak Gvt, itakuwa ngumu kupitisha maamuzi bungeni!!
Sio kuvunja sheria na katiba!!
 
Usijikologe Mkuu eti ubunge umpe CCM??
Utasababisha kuwana weak Gvt, itakuwa ngumu kupitisha maamuzi bungeni!!
Sio kuvunja sheria na katiba!!
Labda tumuulize anamuunga mkono mbunge gani
 
wacha wananchi waseme ukweli wenyewe usiwasemehe
Ugonjwa kitu kibaya sana, hapa tunamwongelea Lisu.
Hilo la kuzomewa umesahau Magufuli alivyozomewa Mbeya wakati wa kampeni?
 
Kweli mkuu kama Membe atamuunga mkono Lissu ni safi sana.
Kikubwa ni kuondoa mkoloni mweusi mengine ya katiba yatafuata!!
Membe ana mtaji wa Coast Lindi na Mtwara hizo ni ngome za CCM.
Ila drawing board ya CCM imepwaya saana, wameisha chelewa na Watanzania wamefunguka macho sio wale wa zamani!!
Acha tusonge mbele tuu tutafika Kanani!!
Membe hana uchaguzi inampsa amuunge Lisu
 
Kabisa nchi imepoteza mwelekeo kila kitu ni mzaha mzaha tu, sasa ni zamu ya chama kingine kuongoza.
Tena ccm imechoka na imeishiwa mbinu, sasa inaanza kuua raia wake, damu ya waliouawa na kujeruhiwa itanena kisasi juu yao na hawatashinda
 
Back
Top Bottom