Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Wewe bado unaishi hujafa hujaumbika. Inawezekana siku moja na wewe ukaungwa kwa vyuma.
Sijaongelea kwa ubaya kama akili yako fupi inavyowaza.....
nimetumia tasifida.....
nakufafanulia we usiyeelewa....
Lisu amekomaa kisiasa wakati huu zaidi kuliko wakati wwte ule......
attempt ya kuuwawa kwake imemfanya awe imara zaidi.....
siku nyingine usirudie ku quote kitu usichoelewa...
omba ufafanuzi alaa...
 
Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;

Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk.

Watanzania wengi mioyo yao imejaa mashaka na kutojiamini tena.

Ni enzi za watawala wachache kuneemeka na kufanya walitakalo bila kuwajibishwa na yeyote.

Lakini baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea wa urais na kuanza kitema cheche, naona mioyo ya Watanzania ikihuishwa tena kuingia ulingoni kuipigania Tanzania yenye neema.

Wito wangu, tumuunge mkono huyu shujaa aliyejitoa Sadaka.

Kuthubutu kuyanyooshea kidole mapungufu ya huyu mfalme yahitaji moyo lakini huyu mwamba amedhamiria.

Kwa masikio yangu nimewasikia ccm wengi wakibadili gia angani na kuahidi kumpigia kura Lissu.

Shime Watanzania tuipiganie heshima ya nchi yetu nzuri ya maziwa na asali, upendo na mshikamano


Ni ujasiri wa hali ya juu kisiasa kunena Haya. Tundu A. Lissu ameamsha mwamko wa siasa uliokuwa umepotea na upinzani wakijipanga vizuri mambo yatakuwa mswano
 
Sijaongelea kwa ubaya kama akili yako fupi inavyowaza.....
nimetumia tasifida.....
nakufafanulia we usiyeelewa....
Lisu amekomaa kisiasa wakati huu zaidi kuliko wakati wwte ule......
attempt ya kuuwawa kwake imemfanya awe imara zaidi.....
siku nyingine usirudie ku quote kitu usichoelewa...
omba ufafanuzi alaa...
Uko sahihi, amejaribiwa na kuthibitika kuwa anafaa kukabidhiwa mambo magumu
 
Ni ujasiri wa hali ya juu kisiasa kunena Haya. Tundu A. Lissu ameamsha mwamko wa siasa uliokuwa umepotea na upinzani wakijipanga vizuri mambo yatakuwa mswano
Kweli mkuu
 
Uko sahihi, amejaribiwa na kuthibitika kuwa anafaa kukabidhiwa mambo magumu
Ni kama ukiitaka pure gold ni lazima ipitishwe kwenye joto kali sana ili kutoa makapi makapi ya chuma na madini mwengine. Lissu amelipitia hilo na sasa amethibitika kuwa yeye ni pure mwanasiasa
 
Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;

Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk.

Watanzania wengi mioyo yao imejaa mashaka na kutojiamini tena.

Ni enzi za watawala wachache kuneemeka na kufanya walitakalo bila kuwajibishwa na yeyote.

Lakini baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea wa urais na kuanza kitema cheche, naona mioyo ya Watanzania ikihuishwa tena kuingia ulingoni kuipigania Tanzania yenye neema.

Wito wangu, tumuunge mkono huyu shujaa aliyejitoa Sadaka.

Kuthubutu kuyanyooshea kidole mapungufu ya huyu mfalme yahitaji moyo lakini huyu mwamba amedhamiria.

Kwa masikio yangu nimewasikia ccm wengi wakibadili gia angani na kuahidi kumpigia kura Lissu.

Shime Watanzania tuipiganie heshima ya nchi yetu nzuri ya maziwa na asali, upendo na mshikamano


Lisu atashinda uchaguzi October 28 saa nne asubuhi tu.
 
Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;

Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk.

Watanzania wengi mioyo yao imejaa mashaka na kutojiamini tena.

Ni enzi za watawala wachache kuneemeka na kufanya walitakalo bila kuwajibishwa na yeyote.

Lakini baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea wa urais na kuanza kitema cheche, naona mioyo ya Watanzania ikihuishwa tena kuingia ulingoni kuipigania Tanzania yenye neema.

Wito wangu, tumuunge mkono huyu shujaa aliyejitoa Sadaka.

Kuthubutu kuyanyooshea kidole mapungufu ya huyu mfalme yahitaji moyo lakini huyu mwamba amedhamiria.

Kwa masikio yangu nimewasikia ccm wengi wakibadili gia angani na kuahidi kumpigia kura Lissu.

Shime Watanzania tuipiganie heshima ya nchi yetu nzuri ya maziwa na asali, upendo na mshikamano


Lisu atashinda uchaguzi October 28 saa nne asubuhi tu.
 
Lisu atashindwa uchaguzi October 28 saa nne asubuhi tu.
Akishindwa kihalali/bila figisu figisu wala hilo sio tatizo kabisa.

Tatizo linaanziaga hapa"yaani nikuteue mimi,nikulipe mshahara,nikulipie nyumba,nikulipie dereva na bado umtangaze mpinzani kua mshindi,hiiiiiiiiiiiiiii'.
 
Back
Top Bottom