Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Hamna kitu hapo, ujinga umejaa tu kichwani, mnasifu anajua sheria mbona anazikimbia kesi kwa kisingizio anaumwa akini kwenye majukwaa anapona. Watanzania tuweni makini sana na watu wa dizaini hii ya kina SULI na wenzie kina TOZI, imagine mtu anapondea miundombinu na bado kila siku anaitumia, kw aufupi upinzani hamna mwenye akili timamu. Wale wengine wamepa mtu agombee URAIS kwa kuwa tu ana chuki dhidi ya MPJ. Kuna wanafunzi nawaona mnamtaka tapeli. Kama nchi yetu ingekuwa na sheria ya wazi ya umiliki silaha kama huko nje amini kuna vyama wangezaminiwa silaha ili walete vita. Binaaam asili yake ni mgumu kuuona ukweli. Tazameni Libya walidanganywa Gadafi dikteta wakakubali kumtoa leo wako wapi? Vipi kuhusu Sadam Hussein mnajua kilichompata. Wazungu wanapona unakwamisha mipango yao wanakuita dikteta ili wapate sababu ya kukushambulia sasa hawa kina Vichwa tupu wanaungwa mkono na wazungu mnajua nini kitatokea wakichukua madaraka? Watamtii bwana wao.
 
Nimemsikiliza Tundu Lissu anaongea kama binadamu aliyechanganyikiwa vile ambaye hana matumaini.

Anajaribu kwa kila namna kutafuta huruma ya wananchi na kwa bahati mbaya safari hakuna kura za huruma.

Anafanya uchochezi wa makusudi ili aonekane anaonewa kwa bahati mbaya au nzuri vyombo vya dola vimelitambua hilo na kuamua kumupuiza.

Niwashukuru Chadema kwa kumchagua huyu kupeperusha bendera yenu, maana baada kushindwa vibaya kwenye uchaguzi,uchaguzi wa mwaka 2025 hamtakuwa na propaganda za kitoto.


Si Lisu tu anayeonewa , kila Mtz anaonewa na hili jinamizi la CCM

Huku Zanzibar hivi sasa vijana zaidi ya 50 000 wamekatwa hawajapatiwa vitambulisho , unafikiri hii ni kitu gani ?? Moto mnaanza kuwasha wenyewe , TUTAKULA NANYI SAHANI MOJA MARA HII
 
Hamna kitu hapo, ujinga umejaa tu kichwani, mnasifu anajua sheria mbona anazikimbia kesi kwa kisingizio anaumwa akini kwenye majukwaa anapona. Watanzania tuweni makini sana na watu wa dizaini hii ya kina SULI na wenzie kina TOZI, imagine mtu anapondea miundombinu na bado kila siku anaitumia, kw aufupi upinzani hamna mwenye akili timamu. Wale wengine wamepa mtu agombee URAIS kwa kuwa tu ana chuki dhidi ya MPJ. Kuna wanafunzi nawaona mnamtaka tapeli. Kama nchi yetu ingekuwa na sheria ya wazi ya umiliki silaha kama huko nje amini kuna vyama wangezaminiwa silaha ili walete vita. Binaaam asili yake ni mgumu kuuona ukweli. Tazameni Libya walidanganywa Gadafi dikteta wakakubali kumtoa leo wako wapi? Vipi kuhusu Sadam Hussein mnajua kilichompata. Wazungu wanapona unakwamisha mipango yao wanakuita dikteta ili wapate sababu ya kukushambulia sasa hawa kina Vichwa tupu wanaungwa mkono na wazungu mnajua nini kitatokea wakichukua madaraka? Watamtii bwana wao.

Waambie hao Lumumba wakufundishe kuandika. Sahani ya ugali na bia mbili na paketi ya sigara zisikufanye ukapotezewa muda wako
 
Siasa za awamu ya tano za Magufuli zinatakiwa watu kama Lissu kukabiliana nazo... Mungu kamleta Lissu tena ili atuvushe...ni Sisi tu sasa kuanua kuibwaga CCM ...njia hiyoo nyeupeee pee

Membe kaishika turufu ya pili...akijiunga na CDM basi tena ; saa sita mchana chaliii!! Watu haoo warudi kwao chato, wakigoma basi mataifa yatawashughulikia.

Process ni nyeupe mno sababu walioumizwa na awamu hii ni wengi mno ila hawana pa kusemea. ..
 
Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;

Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk.

Watanzania wengi mioyo yao imejaa mashaka na kutojiamini tena.

Ni enzi za watawala wachache kuneemeka na kufanya walitakalo bila kuwajibishwa na yeyote.

Lakini baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea wa urais na kuanza kitema cheche, naona mioyo ya Watanzania ikihuishwa tena kuingia ulingoni kuipigania Tanzania yenye neema.

Wito wangu, tumuunge mkono huyu shujaa aliyejitoa Sadaka.

Kuthubutu kuyanyooshea kidole mapungufu ya huyu mfalme yahitaji moyo lakini huyu mwamba amedhamiria.

Kwa masikio yangu nimewasikia ccm wengi wakibadili gia angani na kuahidi kumpigia kura Lissu.

Shime Watanzania tuipiganie heshima ya nchi yetu nzuri ya maziwa na asali, upendo na mshikamano


Hata mimi ntampigia.
Haiwezekani ndege zetu zisikamatwe
Haiwezekani ACACIA tusiwalipe mabilioni kwa kukamata mchanga wao
Haya maflyover yooote ya nini wakati tulishazoea foleni?
Eti umeme vijijini. Kwani koroboi zina shida gani?
Eti elimu bure, kwani tulimwambia hatuna hela?
Hata mimi ntampigia kura yangu huyu mwamba - Aturudishe tulikokuwa.
 
Si Lisu tu anayeonewa , kila Mtz anaonewa na hili jinamizi la CCM

Huku Zanzibar hivi sasa vijana zaidi ya 50 000 wamekatwa hawajapatiwa vitambulisho , unafikiri hii ni kitu gani ?? Moto mnaanza kuwasha wenyewe , TUTAKULA NANYI SAHANI MOJA MARA HII
Wazanzibar ninwaaminia sana, tufanyeni kweli
 
Wazanzibar ninwaaminia sana, tufanyeni kweli


Hilo halina ubishi , CCM tunao mitaani humu na wengi wanatuambia wamechoka , ila hawajionyeshi wamebaki hao vijoka joka , ndivyo vinavyojaribu kuwasha moto. Wajue hakuna pa kukimbilia . Nchi zote kuna CORONA , tutasuguana humu humu ndani

Ruanda walikimbilia Congo na Tanzania hapa hakuna makimbilio Mwaka huu wasalimu amri TUUUUUUUU kwa amani wasilete figisufigisu mapema
 
Huyu amejitoa sadaka, anavyoongea hadi mimi mwili wasisimka nikijaribu kuuva uhusika wa JPM anavyokasirika aliko
Yaani hata Mimi mwili umesisimka
Jamani damu ya Lissu ikamee damu nuingine ziwe nyingi Sana kizazi kiamke
 
Acheni woga waTanzania, sasa basi, wakati umefika wa kuitoa CCM Mpya!
 
2015, Chadema waliofanya kosa kutowasikiliza Watanzania. Binafsi naamini walishinda but it was tight.... Ndiyo maana waliibiwa kirahisi. Kikitoa chama tawala you need a landslide kitu ambacho siyo rahisi kwa sasa.
Mimi hata membe simwamini kbs
 
Back
Top Bottom