Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mkombozi awe na sifa za kutisha, ccm hakutoshi sasa
Iringa kuna viumbe wa sampuli ile??Huyo nasikia ni iringa
Iringa kuna viumbe wa sampuli ile??
Ndiyo kwao mkuuKwao lakni
Mungu atusaidie tuamke wote
Tumuunge mkono kwa kila mbinu, hakuna namna. Miaka mitano ya Magufuli ya kuswaga binadama kama mifugo inatosha!Kwa Watanzania wenye akili timamu mtakubaliana nami kuwa miaka 5 ya awamu hii ya 5, kimekuwa kipindi kigumu sana kilichojaa;
Hofu
Mashaka
Umasikini uliotopea
Ombwe la kiuongozi nk...
Lo! Na kweli kumbe kwenye msafara wa mamba na mi kenge imoSteve Nyerere je
Dah!...hii awamu (5) walioipigania kuingia madarakani imewatapika.Makamba nape na kinana ndio wanakuelewa subiri Polepole zamu yake ifike atakumbuka yaliyomtokea nape mzee wa handgoal
Magufuli amefanikiwa kuwajengea hofu kuhusu utawala wake, ndio maana ujasiri wa Lissu unawashitua wengi kwa sasa.
Hii ndio Chadema ninayoijua iliyopotea 2015.
Tunahitaji kubadilikaWatanzania wengi wetu taumwa ule ugonjwa niuitao "ukondoo wa Nyerere". Huyu baba kwa kutuingiza kwenye chama kimoja ambacho alihahakisha kinakuwa chamadola alitufunga akili. Akaweka katiba ya raisi wa kifalme na hata tulipokwenda vyama vingi katiba ile ilibaki kuwa ya chama kioja...