Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

Umeonaeeeeee? Kama utakumbuka leo hotuba ya mh Lissu ameligusia kwa akili kubwa sana.

Aliposema kuwa kwa sasa upinzani kuungana inawezekana lkn kwa kuangalia ni upande gani ni salama.

Amesema kuwa kwa sasa kuna mitego mingi sana kwa wapinzani. Huo ni ujumbe wenye kubeba maana kubwa sana.
Wametuondolea imani hadi hatuwaamini wengine
 
Umeonaeeeeee? Kama utakumbuka leo hotuba ya mh Lissu ameligusia kwa akili kubwa sana.

Aliposema kuwa kwa sasa upinzani kuungana inawezekana lkn kwa kuangalia ni upande gani ni salama.

Amesema kuwa kwa sasa kuna mitego mingi sana kwa wapinzani. Huo ni ujumbe wenye kubeba maana kubwa sana.
Ilikuwa hotuba fikirishi sana
 
Safi kabisa Lissu kaza hapohapo Mpaka Jiwe aangukie pua mwaka huu, Jiwe bye bye.
 
Wakurugenzi wanakimbia ofisi kipinfi cha kurudishiwa fomu,halafu bado tunaishi nao mitaani,wanakataa kuwatangaza washindi halali wa uchaguzi kisa wana hofu ya kunyang'anywa nafasi zao na wale wanaowapa magari na mafuta na vyeo,bado tuko nao uraiani.

Muda mwingine Lissu yuko sawa, haki inakiukwa waziwazi sana.
 
Bado sijasikia Lissu atalifanyia nini Taifa zaidi nasikia miruzi mingi ikipigwa ya ushabiki bila hoja za msingi.

Kwani hao wanaosema ilani yao kila uchaguzi wamefanya nini kwanza tumechoka mno na hizo ilani zisizotekelezeka tunataka mabadiliko na wengine waingie tuache kudanganywa na ilani miaka 59 bado maadui wetu wale wale watatu ujinga umasikini na maradhi ilani zinatusaidia nini.
 
Mkuu kwa sasa watanzania wengi wamesha amua na wapo tayari kumchagua mh Lissu
Mkuu kuwa makini unapotumia neno Watanzania wengi, Unapolitumia neno wengi maana yake unatafuta justification ya kitu fulani, ambayo ni makosa.

Jaribu sana kuepuka kauli jumuishi. Tundu Lissu ni mgombea wa CHADEMA, hao ndio wanaomuhitaji, Kwa Watanzania kipimo chake ni siku ya uchaguzi hivyo usiwasemehe usiwajua mioyo yao, Period.
 
Magufuli amefanikiwa kuwajengea hofu kuhusu utawala wake, ndio maana ujasiri wa Lissu unawashitua wengi kwa sasa.
Tumekuwa taifa la waoga, amebaki mwanaume mmoja tu anafanya atakavyo, anakuteua kwa mujibu wa sheria lkn anakutumbua hadharani mbeleni ya kadamnasi atakavyo yeye.

Akiamua anakutukana pia...tumuunge Lisu mkono
 
Watanzania wengi sana wana imani kubwa sana na mh Lissu
Mkuu kuwa makini unapotumia neno Watanzania wengi, Unapolitumia neno wengi maana yake unatafuta justification ya kitu fulani, ambayo ni makosa.
Jaribu sana kuepuka kauli jumuishi.
Tundu Lissu ni mgombea wa CHADEMA, hao ndio wanaomuhitaji, Kwa Watanzania kipimo chake ni siku ya uchaguzi hivyo usiwasemehe usiwajua mioyo yao, Period.
photo%20266%2012-18-0.jpeg
 
Tumekuwa taifa la waoga, amebaki mwanaume mmoja tu anafanya atakavyo, anakuteua kwa mujibu wa sheria lkn anakutumbua hadharani mbeleni ya kadamnasi atakavyo yeye.
Akiamua anakutukana pia...tumuunge Lisu mkono
Ujio wa Lissu umewazindua Watanzania wengi wameona kumbe inawezekana...

Lisu pamoja na kujibu hoja anaenda samba na kufundisha somo la Katiba na Sheria kutambua haki zako zinavyolindwa kikatiba.
 
Back
Top Bottom