Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu LIKE , nashauri tuendelee kuwahimiza watu wakapige kura, tusitishane jameni, mmeanza na The Hague, sasa Ukonga,Pascal utaketi karamuni kwenye ukumbi wa The Hague
japo wewe itakuwa section ya Ukonga,jiingize kichwakichwa
Tundu Lissu ana backup yahao wenye the hague, kwahiyo hatokwenda.Ha ha ha , yeye pia likitokea la kutokea anaweza kupelekwa depending na uhuska wake katika Jambo Hilo. Asijidanganye kuwa anaweza akahamasisha vurugu watu wakadhurika halafu yeye akabaki salama..
LabdaTundu Lissu ana backup yahao wenye the hague,kwaiyo hatokwenda.
Atabetuliwa bichwa lile asipate hata nafasi ya kuongea na beberu wake AmsterdamLissu mshamba Sana anadhani ameshinda uchaguzi wakati hawezi hata kupata 3% ya kura, anachoandaa ni mazingira ya kuleta fujo ili afiche aibu yake kwa damu ya watanzania baadhi wasiojitambua
Vyombo vya usalama viue watu? Vutamuua nani?Subiri vyombo vya usalama waue watu ndipo utaelewa kama ni mikwara ya kitoto au la..
Lisu ana kura za kuibiwa?..maandamano ikiwa ataibiwa kura.
..hivi ccm mkiibiwa kura hamtaandamana, mtakubali yaishe?
Kwa hiyo Makonda sasa kakosa msosi sababu haendi USA?Wakat unasema hayo Makonda na familia yake hawez kanyaga USA nzima. Kupitia msaada ya mtandao kwa sasa ICC kukusanya ushahidi sio kazi ngumu tena. Uzuri ICC unakubali ushahidi wa mtandao. Mzee hizi YOU TUBE video huwa haziozi, zitawaumbua wakiwa kweny kiziba. Daah nikikumbuka UHURU KINYATA na RUTO walivyokuwa wapole wamejikunyata. Fikilia hawa wa kwetu itakuwaje, wengine hata kimalikia hawajui
Kenyata na Rutto sasa leo wako Hague wamefungwa ama siyo?Wakat unasema hayo Makonda na familia yake hawez kanyaga USA nzima. Kupitia msaada ya mtandao kwa sasa ICC kukusanya ushahidi sio kazi ngumu tena. Uzuri ICC unakubali ushahidi wa mtandao. Mzee hizi YOU TUBE video huwa haziozi, zitawaumbua wakiwa kweny kiziba. Daah nikikumbuka UHURU KINYATA na RUTO walivyokuwa wapole wamejikunyata. Fikilia hawa wa kwetu itakuwaje, wengine hata kimalikia hawajui
Sawa kabisa, jiwe na timu yake the Hague inawasubiri.Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekutana na Waandishi wa habari kuzungumzia hali ya ya kampeni zake ilivyo mpaka sasa na kile kinachoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu mnamo tarehe 28/10/ 2020. katika Mkutano huo ambao waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walihudhuria, Tundu Lissu ametolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali...
Magufuli yeye akituvurugia uchaguzi wetu atabetuliwa lile bichwa lake.Vyombo vya usalama viue watu? Vutamuua nani?
Lisu akiletwa nyoko atabetuliwa miguu yeye na wafausi wake hatakiogopwa kitu!
Hii ni nchi huru
Hahaha usiogope sana hizo ni siasa, kaeleza yanayofanyika anayoyajua yeye , na hayo yako ni yako.Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!.
Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Kuanzia lini hii.. jomba upo bongo kweli au naww unachukua tu unaweka... Nishatuma text kama mia mbili hivi mpaka muda huu na simu nimeongea mingi tuu.... Mzee za kuambiwa changanya na zako
Mkuu umeongea point nzuri sana ambayo watu wengi hawaijui. Vurugu zikitokea, na kama kweli kutakuwepo watu kupelekwa The Hague, Lissu hawezi kukwepa kutokana na kauli zake hata za kabla ya uchaguzi.Ha ha ha , yeye pia likitokea la kutokea anaweza kupelekwa depending na uhuska wake katika Jambo Hilo. Asijidanganye kuwa anaweza akahamasisha vurugu watu wakadhurika halafu yeye akabaki salama..
Kilicho tokea ni kwamba mashahidi wiliingia mitini, wengine walipoteza maisha kwenye mizingira ya kutatanisha kabla hawajatoa ushahidi, mwisho wa siku hakuna shahidi aliye kuwa na ujasiri wa kwenda the Hague kutoa ushahidi dhidi ya Kenyatta na Rutto - hicho ndicho kilicho wanusuru Rutto na Kenyatta, kuna baadhi ya wachangiaji hapa wanataka kutoa an impression as if Kenyatta na Rutto walipuuzia au kugoma kwenda kwenye Mahakama ya ICC huko the Hague - hiyo si kweli hata kidogo, kilicho kosekana ni mashahidi ambao waliogopa kwenda the Hague kutoa ushahidi dhidi ya Kenyatta na Rutto, walihofia maisha yao kama wangerudi Kenya baada ya kutoa ushahidi.Kenyata na Rutto sasa leo wako Hague wamefungwa ama siyo?
nafikiri ile kauli ya MKURUGENZI NAKULIPA MSHAHARA NAKUPA NYUMBA NA GARI HALAFU UNATANGAZA MPINZANI KASHINDA inaweza ikamaliza kesi video yake ikiwa playedKilicho tokea ni kwamba mashahidi wiliigia mitini, wengine walipoteza maisha kwenye mizingira ya kutatanisha, mwisho wa siku hakuna shahidi aliye kuwa na ujasiri wa kwenda the Hague kutoa ushahidi dhidi ya Kenyatta na Rutto - hicho ndicho kilicho wanusuru Rutto na Kenyatta, kuna baadhi ya wachangiaji hapa wanatoa impression as if Kenyatta na Rutto walipuuzia au kugoma kwenda kwenye Mahakama ya ICC the Hague - hiyo so kweli hata kidogo kilicho kusekana ni mashahidi.
Lissu nae anaweza kuburuza the Hague kwa ku-incite raia wafanye vurungu Chama chake kikishindwa kwenye uchaguzi huu - ushahidi hupo wa kumtia hatiani, Lissu akumbuke kwamba sheria ni msumeno.