Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu LIKE , nashauri tuendelee kuwahimiza watu wakapige kura, tusitishane jameni, mmeanza na The Hague, sasa Ukonga,Pascal utaketi karamuni kwenye ukumbi wa The Hague
japo wewe itakuwa section ya Ukonga,jiingize kichwakichwa
Sii wengi humu, wanaojua kuwa kuna watu Keko na Segerea zinawasubiri mara tuu baada ya uchaguzi.
Tanzania ni nchi yetu sote, tusitishane jameni!.
P