Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa habari kuelezea mwenendo wa kampeni. Asema Jaribio la kuvuruga Uchaguzi litasababisha watu wapelekwe 'The Hague'

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa habari kuelezea mwenendo wa kampeni. Asema Jaribio la kuvuruga Uchaguzi litasababisha watu wapelekwe 'The Hague'

Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!.

Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Kuna watu wanawewesekaweweseka tu wakisikia hilo jina. Afrika Mungu atupe nini tena? We have got everything, wake up Africa, kajisemea dada moja kutoka Kenya.
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekutana na Waandishi wa habari kuzungumzia hali ya ya kampeni zake ilivyo mpaka sasa na kile kinachoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu mnamo tarehe 28/10/ 2020. katika Mkutano huo ambao waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walihudhuria, Tundu Lissu ametolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali....
Utamu wa ndoto huisha asubuhi. Ni mwansheria gani huyu asiyejuwa hata jurisdication ya ya ICC? Nilishasema kuwa Lissu ni mropokaji tu anaywongea lolote ili kufurahishwa walioko mbele yake.

Mambo ya uchaguzi wa nchi sovereign siyo sehemu ya jurisdication ya ICC; Kenyatta alipelekewa kwa tuhuma za kuuwa watu waliokuwa wanampinga, siyo kwa sababu za kisiasa.
 
Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!.

Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
The economist washa ripoti mabomu yaliyopigwa jana kuwatawanyisha watu wasihudhurie kampeni ya lissu. Tuna aibisha taifa letu.
 
Ha ha ha , yeye pia likitokea la kutokea anaweza kupelekwa depending na uhuska wake katika Jambo Hilo. Asijidanganye kuwa anaweza akahamasisha vurugu watu wakadhurika halafu yeye akabaki salama...
Wakat unasema hayo Makonda na familia yake hawez kanyaga USA nzima. Kupitia msaada ya mtandao kwa sasa ICC kukusanya ushahidi sio kazi ngumu tena.

Uzuri ICC unakubali ushahidi wa mtandao. Mzee hizi YOU TUBE video huwa haziozi, zitawaumbua wakiwa kweny kiziba. Daah nikikumbuka UHURU KINYATA na RUTO walivyokuwa wapole wamejikunyata. Fikilia hawa wa kwetu itakuwaje, wengine hata kimalikia hawajui
 
Mbona juzi kati hapa kapigwa pini na USA na amenywea. Boya Kama Boya Wengine. Ukiona Mtu yeyote kutoka Nchi Maskini Kama Afrika anapewa Position kubwa Kama hiyo, basi ujue, lengo ni atumike dhidi ya Waafrika wenzake. Huyu Bibi na the late Kofi Anan ni mifano hai!
Wewe bongolala dawa hapo ni HAKI tu sio porojo
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekutana na Waandishi wa habari kuzungumzia hali ya ya kampeni zake ilivyo mpaka sasa na kile kinachoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu mnamo tarehe 28/10/ 2020. katika Mkutano huo ambao waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walihudhuria, Tundu Lissu ametolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali...
Hali ya CCM ni mbaya sana kweli ndani ya huu mda wa lala salama. Ni dhahili kabisa sasa wameona lolote na liwe maana kwa hujuma wanazomfanyia Lissu huku wakikataza vyombo vya habari kutangaza haya madhira yote ni hakika wameona hawamwezi Tundu Antiphas Lissu kwa namna yeyote ile.

Kwa walichofanya kea Tundu Lissu jana kwenye mikoa ya Pwani , Lindi na Mtwara ni vizuri wajue tu badala ya kumsaidia Magufuli wao ambaye ameshindwa kabisa kufanya kampeni kwenye mikoa hiyo, ndo wamemuharibia vibaya sana. Taarifa kutoka LINDI na Mtwara zinasema wananchi wameshaamua kuwa vyovyote vile, kura zote ni kwa Tundu Antiphas Lissu na watazilinda kweli kwa nguvu zote!!
 
Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!.

Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Bro MTU wanaemtusha ni CHUMA walishajaribu wakashindwa. Naona hawana mbinu nyingine kabisa wameona kilichotokea kanda ya Kaskazini a.k.a Ngome ya CHADEMA HAWANA HAMU.
TUTAWAPIGA MPGA THE HAGUE WATOE PONGEZI KW CHUMA
 
Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!.

Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Pascal utaketi karamuni kwenye ukumbi wa The Hague

japo wewe itakuwa section ya Ukonga,jiingize kichwakichwa
 
Mimi mpaka nisikie kauli kutoka uingereza ndo nitaamini kweli ccm mwaka huu hawana Chao.
 
Eti the Hague mtishie nyau tu si jiwe, unafikiri The Hague mtu yeyote tu eenh?
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekutana na Waandishi wa habari kuzungumzia hali ya ya kampeni zake ilivyo mpaka sasa na kile kinachoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu mnamo tarehe 28/10/ 2020. katika Mkutano huo ambao waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walihudhuria, Tundu Lissu ametolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali....
Aache kutapatapa, yeye ndo anataka kuharibu uchaguzi kwa kuhofia kushindwa!
 
Haka kajamaa kana mikwara Sana. Kalituambia MIGA' leo kanakuja na sound nyingine 'the HAGUE.
Kaache kujambajamba trh 28 katakumbuka kurudi kwa waume zake ubelgiji
 
Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!.

Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Nawe ulisoma sheria eti? Nauliza tu maana ata kufanya reference kwa majirani tumeshindwa? Kwahiyo mnataka kuharibu Uchaguzi kisa hamko accountable kwa ICC?
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekutana na Waandishi wa habari kuzungumzia hali ya ya kampeni zake ilivyo mpaka sasa na kile kinachoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu mnamo tarehe 28/10/ 2020. katika Mkutano huo ambao waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walihudhuria, Tundu Lissu ametolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali...
Lissu anaogopwa kulico koroca na SARS
 
Mkuu Dada yangu mrembo beth , Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' ya nini?, haya sio mambo!.

Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Lissu mshamba Sana anadhani ameshinda uchaguzi wakati hawezi hata kupata 3% ya kura, anachoandaa ni mazingira ya kuleta fujo ili afiche aibu yake kwa damu ya watanzania baadhi wasiojitambua
 
Lisu iyo mikwara yako ni ya ki toto, Hebu kuwa serious kidogo unapo ongea na Watanzania.
 
Kwa nini Serikali yetu haimnyang'anyi tundu lisu passport yetu?
Mke wa Makonda za siku!Umezisikia nondo kutoka kwa LISSU?Naona umeishiwa na point baada ya kusikiliza !Maana malaya wa kisiasa Kama wewe Huwezi kukosa cha kusema
 
Back
Top Bottom