Tundu Lissu amekuwa Champion wa Tume za Uchunguzi kuhusu Muundo wa Muungano za Rais Mwinyi, Mkapa na Kikwete

Tundu Lissu amekuwa Champion wa Tume za Uchunguzi kuhusu Muundo wa Muungano za Rais Mwinyi, Mkapa na Kikwete

umeongea point ya msingi sana....

umeona mabali mno....:KasugaYeah:
iu


Haiwezekani tukawa na vibaraka wa mabeberu.
 
iu


Haiwezekani tukawa na vibaraka wa mabeberu.
ni aibu na fedheha sana kwa utaifa, umoja na uzalendo wetu kama Tanzania, kunajisiwa na mtu moja mbinafsi alie kubali kurubuniwa kifikra na pengine kwa fedha, mali, maisha mazuri ya ng"ambo au uraia na mabwenyenye ya magharibi kuja kujaribu kujipenyeza kuvuriga mshikamano wa taifa :BillyApprove:

haitawezekana kamwe:BillyApprove:
 
Muungano wenu ni wa viongozi....yeye ataleta muungano wa Wananchi.
Kinyume chake ndio Ukweli.


Malalamiko yote yanatokea kila kona ya nchi hii, ni chuki baina ya Watu wa Zanzibar na Tanganyika- Watanzania.

Wewe unadai Muungano ni wa Viongozi. Lissu ni Kiongozi, kwa mantiki hiyo, yeye anavuruga Muungano wa Watu. Ana waunganisha kivipi...

Na hiyo imetokana na kauli za Laigwanaan Tundu Liss ambazo ndizo zinahamasisha na zinazopandikiza Chuki. Zinaleta tafrani kwenye Muungano wa watu. Kwa manufaa ya Uongozi wa CHADEMA.

Wananchi waelezwe Ukweli.
 
Shida ya upinzani hawawezi kutengeneza hoja zenye mashiko zaidi ya kupinga kila kitu na kueneza chuki dhidi ya wananchi.
Kuna vitu muhimu sana ambavyo upinzani wanatakiwa waviongelee lakini wao wako bize kupinga na kueneza chuki.
LISU pamoja na MBOWE ngoja niwasaidie fikra.
Chukueni ripoti ya CAG ichambueni mwamnzo mpaka mwisho.
kila sehemu ambayo CAG ameonesha kuna madudu jengeeni hoja.
Hiyo kitu itawasaidia kugusa kila idara ya nchi na mwananchi mmoja mmoja.
TANZANIA ni ya kwetu tunatakiwa TUIJENGE sio TUIBOMOWE
Je Rais wako na Bunge lako wamechukua hatua gani madhubuti kushughulikia Ripoti ya CAG?
 
Kinyume chake ndio Ukweli.


Malalamiko yote yanatokea kila kona ya nchi hii, ni chuki baina ya Watu wa Zanzibar na Tanganyika- Watanzania.

Wewe unadai Muungano ni wa Viongozi. Lissu ni Kiongozi, kwa mantiki hiyo, yeye anavuruga Muungano wa Watu. Ana waunganisha kivipi...

Na hiyo imetokana na kauli za Laigwanaan Tundu Liss ambazo ndizo zinahamasisha na zinazopandikiza Chuki. Zinaleta tafrani kwenye Muungano wa watu. Kwa manufaa ya Uongozi wa CHADEMA.

Wananchi waelezwe Ukweli.
Tundu Lissu ana quote yale yaliyoandikwa kwenye Katiba ya JMT vs kwenye Katiba ya Zanzibar na Matokeo ya Tume mbali mbali za Marais.

Ukimlaumu basi shida iko kwako kichwani na rohoni.
 
WACHENI ZANZIBAR IPUMUE ANGALAU KIDOGO.
Sisi hatutazungumzia tena Muungano,alimradi Fungu la Zanzibar Kutoka Muungano linapatikana japo kwa uchache wake lakini fedha ziletwe.
Mukikata fedha tunakata Amani. 🤣 👍
 
Je Rais wako na Bunge lako wamechukua hatua gani madhubuti kushughulikia Ripoti ya CAG?
Yes hapo ndio pakuanzia sasa.
kuna hatua gani zilizochukuliwa kwenye ripoti ya CAG? na kama hakuna ni kwanini hazijachukuliwa hatua zozote?
Hizo ndio hoja.
Kusambaza udini, ukabila, kujaza wananchi chuki haitaijenga Tanzania ispokua itabomoa.
 
Jamani yule Jabali la siasa bora zenye Tija kwa taifa limeanza Phase 2 hapo jana.

Tundu Lissu Mwenyekiti wa Chadema Taifa ameonekana akiwa kwenye mkutani Mkoano Dodoma wilaya ya Mpwapwa huku akishangiliwa na Umati wa watu wengi sana.

Alifafanua namna Marais wa Jamhuru ia Muungano wa Tanzania wa awamu zilizopita namna walivyounda Tume za Kushughulikia Muungano.

Amezitaja na kuzieleza kuwa tangu hapo awali Watanganyika hawajanyamanza kuhusu kero za Muungano.

Amezitaja na kuzieleza tume hizo kama ifuatavyo

1. Tume iliyoundwa na Rais Ali Hassani Mwinyi, iliitwa Tume ya Jaji Nyalali ya Mwaka 1992
2. Tume ya Jaji Kisanga ya Mwaka 2003 chini ya Rais Mkapa
3. Tume ya Jaji Josefu Sinde Warioba ya 2012

Alieleza kuwa Tume zote hizo zilikuja na hitimisho kuwa Muundo wa Mungano wetu unahitaji marekebisho. Watanzania wanapenda Muungano ila wanakerwa na namna ulivyoundwa na namna ya uendeshaji wake.
Hata hivyo Mh Tundu alitumia Jukwa hilo kuendelea kukemea tetesi za Dalili za Rushwa zilizooneka ndani ya Chama hicho huku akidai ya Kuwa Chadema kimekuwa chama chenye Mfano Bora kupinga Rushwa na hivyo ni Kheri kwa kila Mwanachama kupinga Rushwa Wazi wazi ili wananchi wawaelewe.

Amesema wao kama Chama wameathiriwa na Madhara ya Rushwa kutoka Chama cha mapinduzi ambapo Makatibu Wakuu wa Chama wafuatao walihongwa na kukimbia chama

1. Dr Aman Walidi Kaburou
2. Dr Wilbroad Peter Slaa na
3. Dr Mashinji
Lissu hana uwezo wa kutoa hoja bila kutukana,Lissu ni debe tupu.
 
WACHENI ZANZIBAR IPUMUE ANGALAU KIDOGO.
Sisi hatutazungumzia tena Muungano,alimradi Fungu la Zanzibar Kutoka Muungano linapatikana japo kwa uchache wake lakini fedha ziletwe.
Mukikata fedha tunakata Amani. 🤣 👍
Hahaaaa
 
Yes hapo ndio pakuanzia sasa.
kuna hatua gani zilizochukuliwa kwenye ripoti ya CAG? na kama hakuna ni kwanini hazijachukuliwa hatua zozote?
Hizo ndio hoja.
Kusambaza udini, ukabila, kujaza wananchi chuki haitaijenga Tanzania ispokua itabomoa.
Kwa nini serikali inafumbia macho madudu yanayoibuliwa na ofisi ya CAG?
 
Kwa nini serikali inafumbia macho madudu yanayoibuliwa na ofisi ya CAG?
Hilo ndio swali la msingi la kujengea hoja na kuwashinikiza serikali kuchukua hatua stahiki.
nje ya hayo kuna miradi inayochelewa au kutokuanza kabisa.
BIMA za afya kwa kila mwananchi.
Hivyo ndio vitu vya kuongelea sio kusambaza chuki na udini
 
Back
Top Bottom